Macron wa Ufaransa afika uwanjani kumpokea muislamu halafu atoweka

Macron wa Ufaransa afika uwanjani kumpokea muislamu halafu atoweka

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Wiki moja tu tangu Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron kusema uislamu ni janga la dunia mambo yamemgeukia.

Muda aliotamka maneno hayo ulinasibiana na kuachiwa huru kwa mateka muhimu na raia wa ufaransa bi Sophie Petronin ambaye alitekwa nchini Mali mwaka 2016 alipokuwa akifanya shughuli za huruma za kibinadamu za kugawa misaada na chakula.

Shughuli ya kumpokea bi Sophie ilifanywa tukio la kitaifa kwenye uwanja wa Villacoublay kusini magharibi ya Paris ambapo muda mfupi kabla ya kuwasili bibi huyo raisi Macron aliandika kwenye ukurasa wake wa Twitter alisema Yeye na wafaransa wote wana furaha kumuona tena bi Petronim na akamalizia kwa kusema ''Welcome home!" .

Mara baada ya kutua uwanjani hapo bi Sophie akiwa amezungukwa na waandishi wa habari waliokuwa wakisubiri hotuba maalum ya raisi Macron walimuwahi bibi huyo kwa maswali naye akajibu kwa umahiri na utulivu mkubwa “Nina furaha isiyo kufani kuona kwamba kumbe kazi yangu iliweza kuendelezwa na wasaidizi wangu hata muda nilipokuwa sipo nao. Nitaendelea kuiombea nchi ya Mali ili Allah aibariki kwa sababu mimi ni muislamu. Nyote mnadhani aliyepo mbele yenu ni Sophie balli mimi ni Mariam"

Baada ya kusikia hayo raisi Macron alinyerereka na kupotelea kwenye majukumu mengine huku waandishi wa habari wakipigwa na butwaa.

1602489625120.png


Freed French humanitarian reveals she is Muslim
 
Mkuu Imani ni kitu cha ajabu sana hasa imani hizi mbili yaani uislam na ukiristo hizi dini ni kuziangalia kama zilivyo.
kwa umri wa huyo bibi sio wa kubadilishwa kirahisi.
trust me kama wale wanafunzi waliotekwa kula Nigeria baadae wakaachiwa, lakini wakatoroka tena kuwafuata magaidi unadhani sababu ni nini?

Kuna mambo yanaendeshwa nyuma ya pazia huwezi amini ukisimuliwa
 
kwa umri wa huyo bibi sio wa kubadilishwa kirahisi.
trust me kama wale wanafunzi waliotekwa kula Nigeria baadae wakaachiwa, lakini wakatoroka tena kuwafuata magaidi unadhani sababu ni nini?

Kuna mambo yanaendeshwa nyuma ya pazia huwezi amini ukisimuliwa
Mkuu imani ni kitu kinacho weza kumbadilisha mtu yeyote haijarishi ni umri gani.
 
Limbwata ni ngumu sana kuimaliza. Wale watekaji wanajua mbinu zao kucheza na psychology ya mtekwaji
Naona umeichukua too personal,,elewa kuwa haya mambo ya imani very complicated yaani,,utapoteza muda mwingi wako kuhate vitu visivyo hatika,mwisho utaondoka na kuyaacha mambo yako vilevile,utakuwa umepoteza miaka yako bure ukiumia kwa vitu huna uwezo wa kuvibadili,,mmoja wa watu kama wewe ni huyo macaron,,
 
Mkuu Imani ni kitu cha ajabu sana hasa imani hizi mbili yaani uislam na ukiristo hizi dini ni kuziangalia kama zilivyo.
Ni kweli unaweza kupoteza muda mwingi sana kwa hizi mambo for nothing,,unaweza chukia watu kwa mambo ya kipuuzi sana,macaron mwenye kishatoa amri ndege zineua raia kwa malaki huko,yeye na hao isis hawana tofauti yeyote
 
kwa umri wa huyo bibi sio wa kubadilishwa kirahisi.
trust me kama wale wanafunzi waliotekwa kula Nigeria baadae wakaachiwa, lakini wakatoroka tena kuwafuata magaidi unadhani sababu ni nini?

Kuna mambo yanaendeshwa nyuma ya pazia huwezi amini ukisimuliwa
Yale ya Nigeria ni usanii na ujinga wa viongozi wa nchi ile.Hii ya Mungu kumuonesha Macron ni kitu halisi na cha kuzingatiwa.
 
Alichosema macron ni sahihi kabisa na wanaouchafua uislamu ni hao wavaa vipedo.
Usahihi huwezi kuujua wewe kuliko Allah aliyemjibu Macron na kuwaonesha wafaransa na walimwengu.
Tukubali tu kuwa pamoja na jeuri zetu zote wanadamu ni watu dhaifu sana. Macron ana mandege makubwa ya kijasusi na hata Mali wanaiendesha kama koloni lao lakini hakujuwa kilichokuwa kichwani kwa bibi Sophie asingefika uwanjani kumpokea na kuadhirika namna ile.
Firauni siku alipotaka ligi na nabii Mussa hakujuwa jinsi ambavyo angeshindwa na wachawi wake kumkana hadharani na kumfuata nabii Mussa.
 
Back
Top Bottom