Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Duh!..Limbwata ni ngumu sana kuimaliza. Wale watekaji wanajua mbinu zao kucheza na psychology ya mtekwaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!..Limbwata ni ngumu sana kuimaliza. Wale watekaji wanajua mbinu zao kucheza na psychology ya mtekwaji
Ufaransa na uingereza ndo waliounda taifa la israel kupitia sykes-picot,na ndiyo waliowafuata watu kwenye mataifa yao na kuwatawala,na utawala wao lazima ushambulie tamaduni za watu,wasingeenda huko na kuwa na uadui na watu wala hao watu wasingekua na uadui na wao..kwa hiyo janga ni ubeberu wa mzunguSawa.ila haiondoi ukwel aliosema macron
Ww ndio uache usengeMkuu jaribu kuacha usenge basi.
Umeongea point kal sana...kila mtu angebak kwake yote yasingetokea...mwarabu nae mshenz.katufunga sana minyororo.infact mwarab ndie alimu atract mzungu kuja huku..so malipo ni hapa hapa dunian.ipo siku nae mzungu yatamkuta tuuUfaransa na uingereza ndo waliounda taifa la israel kupitia sykes-picot,na ndiyo waliowafuata watu kwenye mataifa yao na kuwatawala,na utawala wao lazima ushambulie tamaduni za watu,wasingeenda huko na kuwa na uadui na watu wala hao watu wasingekua na uadui na wao..kwa hiyo janga ni ubeberu wa mzungu
Keshapewa Majini 1,000 hapo, sio yeye tena.Mkuu kama angekuwa amerazimishwa angeukana uislam mara tu baada ya kuachiwa.
Ni kweli,ishu ni wanaungwa mkono na hao hao kina macaronAlichosema macron ni sahihi kabisa na wanaouchafua uislamu ni hao wavaa vipedo.
Mzungu hayo yote kayapitia,Umeongea point kal sana...kila mtu angebak kwake yote yasingetokea...mwarabu nae mshenz.katufunga sana minyororo.infact mwarab ndie alimu atract mzungu kuja huku..so malipo ni hapa hapa dunian.ipo siku nae mzungu yatamkuta tuu
Nilidhani watumiaji wote wa jamiiForums ni gt kumbe sivyo, ama kweli kwenye msafara wa mamba kenge hawakosi.Katekwa mkristo 2016 miaka minne kalazimishwa wee mpaka akaslim ndo 2020 akaachiwa aiseee
Nilidhani watumiaji wote wa jamiiForums ni gt kumbe sivyo, ama kweli kwenye msafara wa mamba kenge hawakosi.
Sent from my SM-N910W8 using JamiiForums mobile app
Naona umeichukua too personal,,elewa kuwa haya mambo ya imani very complicated yaani,,utapoteza muda mwingi wako kuhate vitu visivyo hatika,mwisho utaondoka na kuyaacha mambo yako vilevile,utakuwa umepoteza miaka yako bure ukiumia kwa vitu huna uwezo wa kuvibadili,,mmoja wa watu kama wewe ni huyo macaron,,
Usahihi huwezi kuujua wewe kuliko Allah aliyemjibu Macron na kuwaonesha wafaransa na walimwengu.
Kama Macron atakuwa mkweli basi mkasa huu atauona ni wa kipekee katika maisha yake na hatoacha kuuandika kwenye historia ya maisha yake.Umeongea point kal sana...kila mtu angebak kwake yote yasingetokea...mwarabu nae mshenz.katufunga sana minyororo.infact mwarab ndie alimu atract mzungu kuja huku..so malipo ni hapa hapa dunian.ipo siku nae mzungu yatamkuta tuu
Onja uone na uujue ukweli. Kama hujaonja huwezi jua uhalisia wake.Mnabishana upuuzi mtupu... Hizi dini zote ni man made na Zimewekwa mahususi na watawala waliotangulia enzi za empire ya warumi kwaajili ya kuwatawala watu kwa wepesi na kuwachuna pesa zao kwa wepesi .huku baadhi ya vikundi vya watu wakiwa wananufaika ...
Huyo macron mwenyewe pia analijua hilo
For sureOnja uone na uujue ukweli. Kama hujaonja huwezi jua uhalisia wake.
Baada ya kuonja ndio utajua, it's something beyond man made stuffs.
Mreno ndiye aliyewafundisha biashara ya watumwa wazungu wenzie,1400s,anafika congo kabla haijagawanyika brazzavile na drc,akawapeleka kwenye mashamba ya miwa kwa ajili ya sukari amerika,siku hizo sukari ilikua kama mafuta na gesi leoUmeongea point kal sana...kila mtu angebak kwake yote yasingetokea...mwarabu nae mshenz.katufunga sana minyororo.infact mwarab ndie alimu atract mzungu kuja huku..so malipo ni hapa hapa dunian.ipo siku nae mzungu yatamkuta tuu
Mkuu kama angekuwa amerazimishwa angeukana uislam mara tu baada ya kuachiwa.
Tatizo ukiwa umetekwa unakuwa huna jinsi na kukaa miaka yote hiyo katika hali ya kutekwa mwishowe inabidi ukubaliane na hali hiyo ili uione kesho yakokwa umri wa huyo bibi sio wa kubadilishwa kirahisi.
trust me kama wale wanafunzi waliotekwa kula Nigeria baadae wakaachiwa, lakini wakatoroka tena kuwafuata magaidi unadhani sababu ni nini?
Kuna mambo yanaendeshwa nyuma ya pazia huwezi amini ukisimuliwa
Hapo alipoyasema hayo hao waliomteka hawakuwepo hata mmoja na wala hawawezi kufika kule.Zaidi ya hayo alijuwa kuwa yupo mbele ya raisi wa Ufaransa.Kama anayoyasema alilazimishwa hiyo ingekuwa fursa yake kuangua kiliio na kusema mabaya aliyoyaona kule Mali.Tatizo ukiwa umetekwa unakuwa huna jinsi na kukaa miaka yote hiyo katika hali ya kutekwa mwishowe inabidi ukubaliane na hali hiyo ili uione kesho yako
Sawa ni vizuri anefuata dini iliyo sahihi katika wakati sahihiHapo alipoyasema hayo hao waliomteka hawakuwepo hata mmoja na wala hawawezi kufika kule.Zaidi ya hayo alijuwa kuwa yupo mbele ya raisi wa Ufaransa.Kama anayoyasema alilazimishwa hiyo ingekuwa fursa yake kuangua kiliio na kusema mabaya aliyoyaona kule Mali.