Mamaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 5,067
- 4,434
Huyo mnyama watasumbuana na nissan sykyline gt tu maana hata kilimo kwanza anaomba po!Kiukweli hiyo gari ni nzuri sana, aitumii mafuta mengi kama watu wanavyosema kinachotakiwa ni service kila muda unapofika, nakushauri nunua kuanzia mwaka 2002 ndo vimekaa poa sana, karibu kwenye ulimwengu wa subaru a.k.a mnyamaaaaah