barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Na ni all weather car, tairi zote mziki mbele kwa mbele, hamna kukwama!Naishi kijijini mwakaleli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ni all weather car, tairi zote mziki mbele kwa mbele, hamna kukwama!Naishi kijijini mwakaleli.
Kama niko sahihi, kodi yake tra ni kama 8.9 hivi! Nimekuwa nikiifanyia research hii gari ingawa sina gari, niko obssessed nayo!Million 14 kununua mkonon kwa mtu n gharama kubwa sana,jaribu kupitia website zinazouza magari hapa bongo mfano,Be forward, sbt,enhance angalia gharama za subaru kama hiyo yako then uingie TRA uangalie kodi ya hiyo gari ndio utapata jibu je ununue ilo la mkonon au ununue kutoka Japan
Nashukuru kiongozi, nami nimecheki website ya TRA calculator nimeona hayo malipo. Hivi nomba kujua huyu agent wa kutoa bandalini niandae kiasi gani ? Vilevile kama kuna malipo yoyote ya ziada tofauti na hayo niliyopigiwa nomba kujuzwa ili niweke budget fresh nisije bugi.Import tax pamoja na registration kwa Forester ya 2002 ni Tsh.6.5m.komaaa kamanda na mtandao jipatie mnyama
Ajenti unamlipa laki tatu na ishirini (beforward tz)na port charges kama laki mbili hivi.unamiliki mkokoNashukuru kiongozi, nami nimecheki website ya TRA calculator nimeona hayo malipo. Hivi nomba kujua huyu agent wa kutoa bandalini niandae kiasi gani ? Vilevile kama kuna malipo yoyote ya ziada tofauti na hayo niliyopigiwa nomba kujuzwa ili niweke budget fresh nisije bugi.
Naishi kijijini mwakaleli.
HyuväHapo pia andaa pesa ya ajenti,Port charges na shipping line
Hyuvä
Safi kumbe kifini upo poa.[/Qns
Ndio nipo huku
Kwa kukadilia yaweza ikawa kiasi gani Agent, Port charges, shipping line?Hapo pia andaa pesa ya ajenti,Port charges na shipping line
Clearing agent 300000, Port charges 500000 na shipping line 200000Kwa kukadilia yaweza ikawa kiasi gani Agent, Port charges, shipping line?
Asantee kiongozi nimekusoma!Clearing agent 300000, Port charges 500000 na shipping line 200000
Kiukweli hiyo gari ni nzuri sana, aitumii mafuta mengi kama watu wanavyosema kinachotakiwa ni service kila muda unapofika, nakushauri nunua kuanzia mwaka 2002 ndo vimekaa poa sana, karibu kwenye ulimwengu wa subaru a.k.a mnyamaaaaah
Jaman ni ushauri tu, wala mm sio muuzaji ila ni mmiliki wa subaru, nazijua hiz gari ni nzuri ndo mana nmemshauri anunue tujamaa muuzaji mwenyewe umekuja kutetea biashara yako? ha ha ha... huyu jamaa yako hakujua nawe upo JF spares za subaru ni issue sana. so kuwa mkweli tu kwake. na ndo maana nawe unaiuza.
Achana na huyo mfia toyota. Sijui anaishi kijiji ganiJaman ni ushauri tu, wala mm sio muuzaji ila ni mmiliki wa subaru, nazijua hiz gari ni nzuri ndo mana nmemshauri anunue tu
Nisajiri aisee. Nsije kua napitwa na vituOoh......nilidhani upo Chugga nikusajili kwenye team Subaru Kaskazini..........