Mada: Fahamu namna ya kufungua (Ku- unlock) Moderm za aina mbalimbali

Jamani naomba nisaidiwe ku unlock modem yangu ys vodafone K 3772-Z made in china
 
Wadau naomba msaada namna ya kui unlock hii modem ili niweze kutumia na laini za mitandao mingine
 
file
firmware ya dwm157 ina passwrd
 
Wataalamu, ninaomba msaada jinsi ya ku Unlock ZTE Moderm nimejaribu kuseach kwenye google nimekwama kabisa.

No ya Moderm ni EVDO AC ZTE 8710 PID:V3

Picha zipo chini

Natanguliza shukrani za dhati



 
Mkuu EVDO ni 3G ya CDMA, mitandao yetu ni GSM haitasoma hio modem.

Sasatel, TTCL na zantel ndio walikuwa CDMA na kwa ufahamu wangu minara walisha zima.
 
Kwa kutumia software ya NCK pro box utaweza kuunlock Alcatel, Huawei, Vodafone na ZTE kwa kutumia IMEI namba. Nimeipata Youtube. Hakuna password, wala malipo ya aina yoyote. Haitaji box
 
1. Ukiweka laini ya mtandao mwingine inaomba SIMLOCK Code?
2. Ukiandika inaandikika?
3. Inaomba NCK code ngapi 8 au 16?
1. Ndio inasoma simlock code
2. Ndio inaandikika
3. NCK code inaomba 16
 
1. Download DC unlocker crack.
2. Chomeka router yako kwenye computer kwa usb cable
3. Run DC unlocker as administrator.
4. Bonyeza kwenye magnifying glass km italeta details za router yako

1. Ndio inasoma simlock code
2. Ndio inaandikika
3. NCK code inaomba 16
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…