MADA: Fahamu zaidi kuhusu mbinu za kilimo cha tikitimaji, faida na changamoto zake

MADA: Fahamu zaidi kuhusu mbinu za kilimo cha tikitimaji, faida na changamoto zake

Habari za majukumu wadau sababu za kuanzisha uzi huu nikuwataka wadau mchangie ili watu wajue faida na hasara za kilimo cha matikiti maji maana watu wengi wamekuwa wakisema mambo katika lugha nyepesi ambayo ukitafakari kwa kina lazima ushindwe kupata jibu kamili mi kwa upande sijawahi ona mtu aliefanikiwa katika kilimo hichi maana wengi nao waona wamekuwa wakilima mara moja na kupotelea mitini kama wewe ni mhanga toa ushuhuda wako ilikiwaje ukapata hasara na kama ni mnufaika wa hii kitu toa maelezo na kwa upande wako ilikiwaje ukapata faida na vp bado unaendelea na hichi kilimo au ishakuwa pasua kichwa.


Sent using Jamii Forums mobile app
eb04ba278c530530c6ddb52c09624d56.jpg
d607e8d62fbdb2d2df86b4770e093d61.jpg
Ni zao zuri sana kutokana na soko lake kuwa kubwa. Ukifata kanuni za kilimo utafanikiwa na kutajirika kwa muda mfupi. Nitatoa mfano, kuna rafiki yangu yeye alipandaga karibu heka moja ila alichokosea ni kwamba alipanda ktk msimu ambao sio muda wake. Yani kipindi cha masika kilifika wakati ambapo miche ya mitikiti haijakomaa shambani, hivyo mvua ilivyonyesha miche yote ilivunjika vunjika na jamaa akala hasara. Kabla hujajiingiza kwenye kilimo hiki ni vizuri ukawatembelea wazoefu wakakupa maujuzi na mbinu wanazotumia vinginevyo hasara utayopata hutoisahau maishani mwako
 
Kilimo bwana ni kamari ni kama biashara nyingine zotekuna kupata na kukosa jitahidi kujua kua unapplima kuna kupata na kukosa hapo hutakua na mawazo ya kutajirika tu

kitu kingine unapotafuta wakulima jitahidi usipate watu wapwan au wavivu hapa ntapaongelea zaidi siku nkitoka shamba

jitahidi kutembelea mara kwa mara shambani kwako

usijifanye unajua kila kitu fanyia ushauri uzoefu wa wakulima naongea hayo coz kuna mwanajeshi hapa wakulima wakewalimshauriapandie na samadi yye kagoma anachokipata hapa Mungu anajua

kama unaaanzakufanya kilimo hiki ni bora upate mtu mzoefu kabla hujawekeza hela nyingi
 
Nataka kujalibu namm wakati wa mvua,,, hasa mwezi wa pili kwenda mwezi wa tano,,,,, nataka kujua wakati huu wa mvua haitakuwa vibaya? Kama ulivosema tikiti haliitaji maji mengi
 
Nataka kujalibu namm wakati wa mvua,,, hasa mwezi wa pili kwenda mwezi wa tano,,,,, nataka kujua wakati huu wa mvua haitakuwa vibaya? Kama ulivosema tikiti haliitaji maji mengi
mvua nzuri ni hizi za vuli mwez wa 11 hadi wa12 za masika labd upate eneo la juu sana eneo la chni ni shida tupu
 
Habari yenu,
Nadhani hapa kuna wataalamu wa kilimo, nimepata sehem nataka nilime matikiti maji kwa kuangalia nimeona ndo biashara inayolipa haraka haraka,

Mtaji nilionao wa kuanzia ni 20,000,000 naomba ushauri wenu juu ya hatua za kufuata,
 
Usijaribu kuwekeza hela nyingi hvo anza taratibu hafu sikuhizi matikitiki yapo mengi hata soko lake si nzuri, Fanya utafiti wengi waliolima matikitiki wanalia, mwenzako aliwekeza million 60 sasa hivi analia. Kilimo bongo hii ni janga anza na hela dongo upate uzoefu.
 
Usijaribu kuwekeza hela nyingi hvo anza taratibu hafu sikuhizi matikitiki yapo mengi hata soko lake si nzuri, Fanya utafiti wengi waliolima matikitiki wanalia, mwenzako aliwekeza million 60 sasa hivi analia. Kilimo bongo hii ni janga anza na hela dongo upate uzoefu.
ushauri mtamu sana, unapoanza biashara sio vyema kutupa pesa nyingi.
ni vyema kujifunza upate uzoefu ndipo uongeze mtaji kulingana na uhitaji
 
Kuna nyuzi humu watu wanalalamika kwa sabab ya biashara hyo. Ushauri wangu. Calm down. Usikurupuke mtafute aliyetusua hata kwa kumlipa ausimamie Mradi wako. Wewe hauwezi ukibisha nakupa Goo AhEad. [emoji56][emoji56][emoji56][emoji56]
 
Kwa Biashara mpya kwako sio vizur kuanza na Mtaji mkubwa namna hiyo,
Pia unalo soko tayari?
Nenda kwenye masoko makubwa hapo uliko uulize kwanza biashara ikoje,
Mfano kwa Dar waweza kwenda Temeke au Buguruni kuulizia
 
Habari yenu,
Nadhani hapa kuna wataalamu wa kilimo, nimepata sehem nataka nilime matikiti maji kwa kuangalia nimeona ndo biashara inayolipa haraka haraka,

Mtaji nilionao wa kuanzia ni 20,000,000 naomba ushauri wenu juu ya hatua za kufuata,
Chukua jembe chimba shimo weka mbolea yyte ile weka hizo hela fukia kisha mwagia maji juu hapo subiri kuvuna hyo hela baada ya wk tatu.

Yajayo yanafurahisha uko tayari?

Yaani kilimo ndio unaanza kwa mtaji wote huo, fuata ushauri niliyokupa.
 
Kama ni kilimo cha umwagiliaji na miundo mbinu iko vizuri;piga kazi.
 
njoo ujifunze shambani kwangu kwanza mkuranga alaf kama utavutiwa utakuja tufanye share
Habari yenu,
Nadhani hapa kuna wataalamu wa kilimo, nimepata sehem nataka nilime matikiti maji kwa kuangalia nimeona ndo biashara inayolipa haraka haraka,

Mtaji nilionao wa kuanzia ni 20,000,000 naomba ushauri wenu juu ya hatua za kufuata,
 
ushauri mtamu sana, unapoanza biashara sio vyema kutupa pesa nyingi.
ni vyema kujifunza upate uzoefu ndipo uongeze mtaji kulingana na uhitaji
Ni kweli biashara au CHOCHOTE anza kidogo kidogo ili kikue vzuri ila kukichukulia mkopo utakuja kulia bure humu baadae aisee, mi nawajua wakulima na kilimo inahtaji kujipanga
 
Fanya biashara ambayo hata ukiyumba bado mtaji unakuwa stable,nani kakwambia matikiti dili si bora ulime nyanya zikiwa nyingi sokoni utauzia viwanda vya kusindika chill&tomato sauce.
 
Back
Top Bottom