MADA: Fahamu zaidi kuhusu mbinu za kilimo cha tikitimaji, faida na changamoto zake

MADA: Fahamu zaidi kuhusu mbinu za kilimo cha tikitimaji, faida na changamoto zake

Jozi 1,
Tatizo lako unafikiri kila sehemu ya Tanzania ipo kama Arusha, kuna sehemu ni Kame Mvua ni wakati wa Msimu tu na hakuna Maji ya Umwagiliaji.

Maji ya Kunywa tu ni shida Unaenda kisimani Leo unarudi kesho na Ndoo yako moja, utamwagilia hapo? watu si watakuua!

Acheni ujinga hapa watu tumeunia unafuata masharti yote ya Kilimo na unavuna kweli kimbembe ni Soko na kumbuka siyo kila sehemu ya Nchi utalima mazao Mbadala ndiyo maana nilienda Mbinga kulima TANGAWIZI nikapata Gunia 200 soko likawa shida.

nyinyi unaleta Kilimo chenu cha Makaratasi hapa! KILIMO BILA: Soko, Mtaji, Maji ya uhakika. SILIMI HATA KAMA SINA KAZI!
 
MJINI CHAI,
Huyu mleta mada kaleta ushuhuda wake. Mrejesho wa uwekezaji wake kwenye kilimo. Hajakulazimisha ukubali au ufuate.

Tatizo umejikita kupinga na kukejeli watu ambao huwajui.
 
MJINI CHAI,
Naamini hii si 'paukwa pakawa'. Watu wengi wamejaribu na wameweza. Ninachoona ni:

1. Ukosefu wa uthubutu;
2. Ukosefu wa Maafisa Ugani mashinani;
3. Ujuzi wa namna ya kuyafikia masoko.
 
Mi ningependa kufahamu kwa kua kidogo sasa una 'kauzoefu' ni changamoto zipi ulizokutana nazo katika uwekezaji wako?
 
Mi ningependa kufahamu kwa kua kidogo sasa una 'kauzoefu' ni changamoto zipi ulizokutana nazo katika uwekezaji wako?
Hili swali anatakiwa alijibu Massanda OMtima Massanda mimi nimemuuliza SOKO la MBAAZI anaeleza mambo ya kwenye Makaratasi na Makongamano tu...............!!!! TWENDE SOKONI ukiwauliza wapi? wanaishia kutoa MIMACHO tu...........!!!!
 
Ivi unaweza lima tikitik mwez wa 12 kwa mikoa ya pwani...

Msaada kwa anaefahamu [emoji115]
 
Kazi nzuri sana bibie big up
Angalia MJINI CHAI asije akakusikia! Mimi nilijaribu kumpongeza huyo bibie huyo bwana akanivurumishia mitusi mpaka nikatamani nikimbilie nymbani kwa JF!

Hata hivyo nashukru kwamba kuna watu wana hamu na utashi wa kufanya kazi hii ya kilimo! Wakati mwingine huwa najiuliza: tusingekuwa na wakulima, meza zetu za chakula zingekuwaje? Majiko yetu yangekuwaje? Afya zetu zingekuwaje?

Nikifikiria hayo, huwa nabaki kuwaona wanaobeza kilimo kama mazezeta fulani (kama MJINI CHAI yupo asifikiri namsema yeye)!
 
Naomba kwa anae jua anielekeze namna ya upandaji mpaka mwisho uvunaji
Ila kazi kubwa ni namna gan naweza sia mbegu mpk kulipta tunda?

Mahitaji yake katika kutunza shamba mfano madawa,mbolea na kadhalka kwakuanzia nataka kulima ekari moja kwanza.

Pia naomba kujuzwa aina ya udongo rafiki kwa matikiti maji

Pia uhitaji wake WA maji

Lakin mwish mbegu bora na inachukua muda gani kupandwa hadi kuvunwa
 
Back
Top Bottom