Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,921
MJINI CHAI,
Mkuu kama perception yako ndivyo ilivyo, basi kamwe hutoweza kuja kuthubutu na utaendelea kukaa na utegemezi wako na kazi za kitumwa... kwa kukosa utashi wakusoma nyakati.
Kilimo kinahitaji timing, lazima ujue soko linataka nini na kwa muda gani ndio ulime ilo zao utakalo,
Ata kama utakuwa na mtaji leo, maji na kila kitu lakini sokoni iyo bidhaa imeja, hapo utakua umefanya kazi ya kanisa tuu.
Kilimo cha biashara sio kuingia shambani muda wowote na kulima tuu, bali kilimo cha biashara ni timing ya soko, muda na hali nzuri kwaajili ya ustawi wa mazao.
Hivyo jitathimini tena angalia ulikosea wapi urekebishe..
Kila la kheri
Mkuu kama perception yako ndivyo ilivyo, basi kamwe hutoweza kuja kuthubutu na utaendelea kukaa na utegemezi wako na kazi za kitumwa... kwa kukosa utashi wakusoma nyakati.
Kilimo kinahitaji timing, lazima ujue soko linataka nini na kwa muda gani ndio ulime ilo zao utakalo,
Ata kama utakuwa na mtaji leo, maji na kila kitu lakini sokoni iyo bidhaa imeja, hapo utakua umefanya kazi ya kanisa tuu.
Kilimo cha biashara sio kuingia shambani muda wowote na kulima tuu, bali kilimo cha biashara ni timing ya soko, muda na hali nzuri kwaajili ya ustawi wa mazao.
Hivyo jitathimini tena angalia ulikosea wapi urekebishe..
Kila la kheri