MADA: Fahamu zaidi kuhusu mbinu za kilimo cha tikitimaji, faida na changamoto zake

MADA: Fahamu zaidi kuhusu mbinu za kilimo cha tikitimaji, faida na changamoto zake

Gaddaf aliwapa watu wake Mitaji kwa ajili ya Kilimo. Bila ya Mtaji kilimo ni Ndoto ya Mchana Tusidanganyane Unaweza kulima na ukakosa soko. Sasa hivi Mbazi baadhi ya Mikoa kilo ni Tsh 150/= na Mnunuzi hakuna mpaka wakulima wamezitelekeza Mbaazi shambani hawaoni faida ya kuzivuna.

HATA KAMA SINA KAZI Kilimo bila SOKO, MTAJI, MAJI ya uhakika sifanyi Kazi hii. Nakumbuka Tangawizi zangu.
 
Hongera mdau!!! Ila maeneo ya dumila loo hazina hata soko mpaka watu wanajuta
 
Hongera kwa kufanya kilimo na kutuhabarisha. Wanasema jembe halimtupi mtu. Safi sana kuleta mrejesho ili wengine nasi tujitathmini.
 
Hongera mkuu. Inaelekea usimamizi ulikuwa mzuri maana nduruma kunafigisu sana kwenye issue ya maji pamoja na wizi.
 
kweli ww ni ironlady hongera na asante kwa inspiration yako.
 
Nijipanga kwa mwakani. Nitakaribia nduruma kuna heka kama mbili hivi. Hongera sana
 
hongera sana mkuu ni nan alikusaidia kusimamia wakat ukiwa kazini niliwahi kulima mahindi huko ukiritimba ukanishinda kabisa...
 
Back
Top Bottom