MADA: Fahamu zaidi kuhusu mbinu za kilimo cha tikitimaji, faida na changamoto zake

MADA: Fahamu zaidi kuhusu mbinu za kilimo cha tikitimaji, faida na changamoto zake

shamika,
Kuna thread humu itafute inahusiana na maswali na majibu yanayohusu kilimo tu hebu itafute mkuu, humo utapata na faida za ziada.
 
Habari,
Mimi ni graduate ktk fani ya IT, mwaka 2015, katika chuo kimoja wapo jijin Dar es Salaaam, nilihitimu chuo mwaka 2015 july, nikabahatika kuaply nafasi ya customer care katika moja ya kampuni jijin arusha kupitia zoom nikaipata hiyo nafasi, kwa kweli maisha yalienda sawa kwani walikuwa wana nipa 900k per month.

Niliona uzi wa kilimo cha tikiti maji kuwa kinalipa na mm nikaamua kujaribu kilimo hiko huku nikiwa kazini. Nilikodi shamba heka mbili kwa kila heka ni 100k, kulima heka moja ni 30k, kukata matuta ni 30k per heka, niliamua kulima heka mbili, na jana niliuza matikiti yangu shambani kwa bei ya 9M, nimeuza kwa kupima kwa kilo,

Nashukuru wana jamvi kwani ujuzi na ujasiri nimeupata humu humu jamii forum, nawashauri wanawake wenzangu tujaribu tunaweza, samahani kwa gazeti kama kuna niliyemkwaza haikuwa lengo langu
Uliikuwa na jumla ya matunda mangapi kwa eka moja?
Kwa wastani tikiti moja lilikuwa na uzito gani (kilo)?
 
nimepanda SUKARI F1
Miss Naire nimependa mrejesho wako na nimevutiwa zaidi kufahamu maeneo hayo ya Nduruma. Binafsi mwaka huu nina mpango wa kulima matikiti ila maeneo niliokua natafiti kulima ni Moshi, ila kwakua ninaishi Arusha nami nimevutiwa kulima hukuhuku. Ninaomba mawasiliano yako kwa msaada zaidi.
 
Niliufuatilia comments za watu humu mwaka jana 2017 nikasema na mimi nisibaki nyuma, ngja nikajaribu hichi kilimo ambacho wengine wanakisifia, na wengine wanasema wamepata hasara kuhusu hichi kilimo, na sasa nina elimu ya kutosha kuhusu kilimo hichi,
sio mjuzi sana wa kuandika makala lakini kwa uchache nitakaouandika unaweza kuwapa manufaa ama kuwa ka elimu kidogo,
kilimo cha matikiti kinahitaji ujitoleee sana, na sio kifedha tu kwamba unatoa fedha watu wanalima shambani, la hasha kujitolea usimamizi makini shamani,
iko hivi, wakati wa kupanda matikiti hupandwa ka mita tatu kwa moja kwa distance ya mche hadi mche na unatakiwa upande mmoja tu, na endapo ukapanda mbegu mbili hakikisha unafuatilia kuungóa mwingine kama itaota yote, pili pindi maua yanapoanza kuchanua hakikisha unabakisha maua manne tu kama si matano ambayo ndio yataleta matikiti katika kila mmea,
usimamizi wa kupiga dawa kila baada ya muda, KUMBUKA, mdudu mmoja akishaanza kula tikiti moja tu shambani ndugu umekwisha, kazi itakuwa ngumu sana kuzuia tena, wanasema kinga ni bora kuliko tiba, hakikisha sumu ya wadudu unapiga kila mara, pili kumekuwa na danganya danganya nyingi kwamba matikiti yanataka maji mengi, la hasha yanahitaji maji mengi kweli lakini sio ya wingi wa kuzidi,

kinachowashinda watu ni usimamizi wa kilimo hichi,
Kimenipa faida kidogo kwa hekari mbili nilizolima na sasa ndio kilimo changu ninafyeka shamba langu jipya la hekari 10 kwa ajili ya matikiti tu, karibuni shamba nikija mjini nitawakaribisha katika vikao vya viti virefu,!

ukitaka elimu zaidi nipm tu nitakupa elimu kulingana na eneo unalotaka kulima, pia msisahau kusoma vitabu vya kilimo, hasa vya matikiti, mjini hali imekaza, NJOONI TULIME
 
Niliufuatilia comments za watu humu jf, kuhusu kilimo cha matikiti mwaka jana 2017 nikasema na mimi nisibaki nyuma, ngja nikajaribu hichi kilimo ambacho wengine wanakisifia, na wengine wanasema wamepata hasara kuhusu hichi kilimo, na sasa nina elimu ya kutosha kuhusu kilimo hichi,
sio mjuzi sana wa kuandika makala lakini kwa uchache nitakaouandika unaweza kuwapa manufaa ama kuwa ka elimu kidogo,
kilimo cha matikiti kinahitaji ujitoleee sana, na sio kifedha tu kwamba unatoa fedha watu wanalima shambani, la hasha kujitolea usimamizi makini shamani,
iko hivi, wakati wa kupanda matikiti hupandwa ka mita tatu kwa moja kwa distance ya mche hadi mche na unatakiwa upande mmoja tu, na endapo ukapanda mbegu mbili hakikisha unafuatilia kuungóa mwingine kama itaota yote, pili pindi maua yanapoanza kuchanua hakikisha unabakisha maua manne tu kama si matano ambayo ndio yataleta matikiti katika kila mmea,
usimamizi wa kupiga dawa kila baada ya muda, KUMBUKA, mdudu mmoja akishaanza kula tikiti moja tu shambani ndugu umekwisha, kazi itakuwa ngumu sana kuzuia tena, wanasema kinga ni bora kuliko tiba, hakikisha sumu ya wadudu unapiga kila mara, pili kumekuwa na danganya danganya nyingi kwamba matikiti yanataka maji mengi, la hasha yanahitaji maji mengi kweli lakini sio ya wingi wa kuzidi,

kinachowashinda watu ni usimamizi wa kilimo hichi,
Kimenipa faida kidogo kwa hekari mbili nilizolima na sasa ndio kilimo changu ninafyeka shamba langu jipya la hekari 10 kwa ajili ya matikiti tu, karibuni shamba nikija mjini nitawakaribisha katika vikao vya viti virefu,!

ukitaka elimu zaidi nipm tu nitakupa elimu kulingana na eneo unalotaka kulima, pia msisahau kusoma vitabu vya kilimo, hasa vya matikiti, mjini hali imekaza, NJOONI TULIME
 
Boss vp kuhusu gharama, kwa heka mbili kuanzia kukodi shamba na shughuli za kuhudumia hadi wakati wa mavuno, nikiwa na 2millions, naweza toboa.
 
Niliufuatilia comments za watu humu mwaka jana 2017 nikasema na mimi nisibaki nyuma, ngja nikajaribu hichi kilimo ambacho wengine wanakisifia, na wengine wanasema wamepata hasara kuhusu hichi kilimo, na sasa nina elimu ya kutosha kuhusu kilimo hichi,
sio mjuzi sana wa kuandika makala lakini kwa uchache nitakaouandika unaweza kuwapa manufaa ama kuwa ka elimu kidogo,
kilimo cha matikiti kinahitaji ujitoleee sana, na sio kifedha tu kwamba unatoa fedha watu wanalima shambani, la hasha kujitolea usimamizi makini shamani,
iko hivi, wakati wa kupanda matikiti hupandwa ka mita tatu kwa moja kwa distance ya mche hadi mche na unatakiwa upande mmoja tu, na endapo ukapanda mbegu mbili hakikisha unafuatilia kuungóa mwingine kama itaota yote, pili pindi maua yanapoanza kuchanua hakikisha unabakisha maua manne tu kama si matano ambayo ndio yataleta matikiti katika kila mmea,
usimamizi wa kupiga dawa kila baada ya muda, KUMBUKA, mdudu mmoja akishaanza kula tikiti moja tu shambani ndugu umekwisha, kazi itakuwa ngumu sana kuzuia tena, wanasema kinga ni bora kuliko tiba, hakikisha sumu ya wadudu unapiga kila mara, pili kumekuwa na danganya danganya nyingi kwamba matikiti yanataka maji mengi, la hasha yanahitaji maji mengi kweli lakini sio ya wingi wa kuzidi,

kinachowashinda watu ni usimamizi wa kilimo hichi,
Kimenipa faida kidogo kwa hekari mbili nilizolima na sasa ndio kilimo changu ninafyeka shamba langu jipya la hekari 10 kwa ajili ya matikiti tu, karibuni shamba nikija mjini nitawakaribisha katika vikao vya viti virefu,!

ukitaka elimu zaidi nipm tu nitakupa elimu kulingana na eneo unalotaka kulima, pia msisahau kusoma vitabu vya kilimo, hasa vya matikiti, mjini hali imekaza, NJOONI TULIME
Safi sana Ndugu, mimi naamini ukitaka kufanya kitu usisikilize maneno ya kila mtu, tafuta wataalam au wazoefu. Na siku zote jua kwamba unapofanya kitu kuna mawili kupata faida au kupata Uzoefu.

Ila ndugu PM ni mbali sana ebu tumwagie vitu hapa hapa jukwaani.
 
hongera me hnalima heka 3 vp uliuzaje? uliuzia wap
 
ninashauku kubwa ya kufanya hiki kilimo na ninaimani Mungu atanitimizia shauku yangu AMEN
 
Wakuu tukitaka kulima zao fulani tusikurupuke,


Tufanye utafiti wa kina kuhusu tunachotaka kukifanya na tusifanye kwasababu ya thread za JF,

Tafuta wataalamu wa ile kitu kaa nao ana kwa ana uhoji kwa kina ,

Tembelea mashamba ya kilimo hicho angalia ulizia gharama vizuri ujiridhishe,

Kama huwezi kukaa shambani tafuta mtu utakayemwamin uingie nae ubia hapa nashuri awe mkulima mwenye mtaji mdogo,

Ongea nae mwambie m nipo busy nafanya hiki na kile so naomba tuchangie tulime shamba kubwa wewe ndo utakuwa msimamizi,


If possible hata kwenye mgawo awe na pesa yake ya usimamizi,

Fanya kutembelea shamba walau mara mbili mara tatu kwa week kama upo karibu na kama uko mbali hata once kwa mwezi sio mbaya hakikisha unaingia shambani unaangalia kinachoendelea,

Sasa sisi tunalima kwa simu tgo pesa mpesa airtel money ndo link yetu hapo lazima uwe na hasara,

Sisi hao pesa tunazitaka na mambo yasiyo ya msingi tunayataka lazima kimoja kiponyoke na alwayz kinachoponyoka ndo huwa na faida.
mkuu nimejifunza kitu hapa asante sana
 
Back
Top Bottom