Mada maalum kwa wachoraji, sanaa ya picha na rangi

Mada maalum kwa wachoraji, sanaa ya picha na rangi

Habari za wakati huu kwenu wote!

UCHORAJI ni sanaa ya kuweka alama kwa kutumia vifaa mbalimbali vya kuchorea, kama vile kalamu ya wino au ya risasi , burashi ,
penseli za rangi ya wax, crayoni, makaa, choko, pastels, aina mbalimbali za erasers, markers, styluses, metali mbalimbali (kama silverpoint) na siku hizi hata elektroniki au kitu kingine cha kuandikia au kupaka rangi katika karatasi ,
kitambaa , ubao , metali , mwamba, kadi, plastiki, ngozi, canvas, na bodi au penginepo.
Mimi kama mchoraji wa kiwango cha kawaida tu, nimeamua kuleta uzi huu kwa watu wote ndani ya jf na nje.
kwa kua na heshimu kazi za wachoraji WAKUBWA, wakawaida na hata wadogo ndani na nje ya Tanzania.

Kama wewe ni mchoraji au umeona sehemu mchoro unaweza kuleta hapa na sisi tukaona vipaji vya watu na kufurahi pamoja.

Kuna baadhi ya michoro si rahisi mtu aamini kama imechorwa na mkono wa mtu lakini ndivo ilivyo.
Baadhi ya majina ya wachoraji ni hawa

1-Da Vinci
2-picasso
3-Kipanya
4-Tingatinga
5-Olumide
6-mimi ( [emoji23])
Na picha au michoro ni hii hapo chini,

Yenye rangi ni ya mnigeria anaitwa OLUMIDE

Ongezeni michoro mingine Tafadhali View attachment 1055295View attachment 1055296View attachment 1055297View attachment 1055298View attachment 1055299View attachment 1055300View attachment 1055301View attachment 1055302

Sent using Jamii Forums mobile app
Mna attach/kuwekaje picha vipi katika post
Mbona mie naambiwa picture failed?



Sent using iPhone 7
 
By Freeman
Wa Ivory Cost
FB_IMG_1553708771922.jpeg
View attachment 1055589View attachment 1055588
FB_IMG_1553708479755.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
New monalisa?

Hivi michoro ya kina da vinch inayosifika Ni ipi? Mbona sioni upekee was hiyo michoro yao? Maana vijana wa Sasa wanachora balaa
Michoro iliyo sifika ni kuwa :

Wao ni watu wa kwanza kubadili sanaa ya uchoraji kutoka 2D kuwa 3D,
Pia mazingira yao ya uchoraji yakkua magumu lakini walitoa vitu vikubwa,
Mfano rangi na brashi za kucholea...

Mfano wali design majengo n.k

Lakini kiukweli sasa watu wanachora hatari ila tayari ULIMWENGU ni rahisi,
Kuna rangi
Vifaa vya kisasa,
N. K

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom