Mada maalum kwa wachoraji, sanaa ya picha na rangi

Mada maalum kwa wachoraji, sanaa ya picha na rangi

Nimekumbuka wakati nipo secondary tulishinda kwenye mashindano ya uchoraji hapa tz ..tuka enda kuiwakilsha taifa huko Canadá tuliondoka watatu kule ushindani ulikua mkubwa sana sisi wengi wa africa tulikua tunatumia pencil na brush za kawaida tu lakini picha zilikua ni shiiida. Zoezi lilikua ni gumu Ushindani hatari mpka kufikia top 10 ..wakatoa assignment moja yakuchora mpira. Kilichotokea ni kwamba wote tuliochora mpira kama duara kesho yake tulianza safari ya kurudi home. ndipo nikatundika brush na pencil

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekumbuka wakati nipo secondary tulishinda kwenye mashindano ya uchoraji hapa tz ..tuka enda kuiwakilsha taifa huko Canadá tuliondoka watatu kule ushindani ulikua mkubwa sana sisi wengi wa africa tulikua tunatumia pencil na brush za kawaida tu lakini picha zilikua ni shiiida. Zoezi lilikua ni gumu Ushindani hatari mpka kufikia top 10 ..wakatoa assignment moja yakuchora mpira. Kilichotokea ni kwamba wote tuliochora mpira kama duara kesho yake tulianza safari ya kurudi home. ndipo nikatundika brush na pencil

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanachora 3D

[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ellen Walker
FB_IMG_1553714603279.jpeg
FB_IMG_1553715625081.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekumbuka wakati nipo secondary tulishinda kwenye mashindano ya uchoraji hapa tz ..tuka enda kuiwakilsha taifa huko Canadá tuliondoka watatu kule ushindani ulikua mkubwa sana sisi wengi wa africa tulikua tunatumia pencil na brush za kawaida tu lakini picha zilikua ni shiiida. Zoezi lilikua ni gumu Ushindani hatari mpka kufikia top 10 ..wakatoa assignment moja yakuchora mpira. Kilichotokea ni kwamba wote tuliochora mpira kama duara kesho yake tulianza safari ya kurudi home. ndipo nikatundika brush na pencil

Sent using Jamii Forums mobile app
hongereni sana!!! tena sana
 
Niliwahi kutokea mshindi wa kwanza kwenye mashindano ya uchoraji ya watoto ya dunia.nikapata medali na vitu vingine lakini ..
Wazazi na hata walimu hawakukubali offer niliyopewa kwenda kusoma Japan miaka mitatu...
Kisa wale ni makafiri ..watanikengeusha! Jamii nzima iliungana kupiga vita...matokeo sikwenda na wala sikuendelezwa tena.Ila toka ndani ya moyo wangu napenda mno kuchora...ni basi tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole jamaa yangu Africa vipaji vingi sana vimeuliwa kwa kutaka kufuata mitaala yetu ya elimu. Mtoto hata akiwa na kipaji atazuiwa ili asome masomo ya sec na chuo
Niliwahi kutokea mshindi wa kwanza kwenye mashindano ya uchoraji ya watoto ya dunia.nikapata medali na vitu vingine lakini ..
Wazazi na hata walimu hawakukubali offer niliyopewa kwenda kusoma Japan miaka mitatu...
Kisa wale ni makafiri ..watanikengeusha! Jamii nzima iliungana kupiga vita...matokeo sikwenda na wala sikuendelezwa tena.Ila toka ndani ya moyo wangu napenda mno kuchora...ni basi tu!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom