Mada maalum kwa wachoraji, sanaa ya picha na rangi

Mada maalum kwa wachoraji, sanaa ya picha na rangi

Niliwahi kutokea mshindi wa kwanza kwenye mashindano ya uchoraji ya watoto ya dunia.nikapata medali na vitu vingine lakini ..
Wazazi na hata walimu hawakukubali offer niliyopewa kwenda kusoma Japan miaka mitatu...
Kisa wale ni makafiri ..watanikengeusha! Jamii nzima iliungana kupiga vita...matokeo sikwenda na wala sikuendelezwa tena.Ila toka ndani ya moyo wangu napenda mno kuchora...ni basi tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah pole sana, may be ungekuwa mbali sana sasa hivi
 
Kuna mtanzania anajua kuchora hivyo? Nahitaji anichore
wapo tatizo ni kwamba wengi hawajulikani na sanaa Tanzania bado haijapewa kipaumbele ndio maana huwezi kuwasikia,Kuna mzee mmoja alikua akinifundisha kuchora anachora picha nzuri mno nina picha zake na sanamu alizotengeneza niliweka kwenye laptop ila bahati mbaya ipo mbali kuna Siku nitazileta humu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni mmoja ya watu wanaopenda sanaa hasa kuchora na kuchonga vinyago

Kuna mchoraji mmoja anatoka huko nchi za Caribbean anaitwa Chevelin Pierre napendaga sana Kazi zake
FB_IMG_1553773695710.jpeg
FB_IMG_1553773763986.jpeg
FB_IMG_1553773848957.jpeg
FB_IMG_1553773829516.jpeg
FB_IMG_1553774009484.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole tu ndugu,

Lakini sasa Unaendleaje na kipaji?
Niliwahi kutokea mshindi wa kwanza kwenye mashindano ya uchoraji ya watoto ya dunia.nikapata medali na vitu vingine lakini ..
Wazazi na hata walimu hawakukubali offer niliyopewa kwenda kusoma Japan miaka mitatu...
Kisa wale ni makafiri ..watanikengeusha! Jamii nzima iliungana kupiga vita...matokeo sikwenda na wala sikuendelezwa tena.Ila toka ndani ya moyo wangu napenda mno kuchora...ni basi tu!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom