Mada maalum kwa wachoraji, sanaa ya picha na rangi

Mada maalum kwa wachoraji, sanaa ya picha na rangi

Hao wote wanafanya poa sanaa
Ila mm narudi nyumbani naona mnawapanba wachoraji wa nnje sana ila nyumbani kuna vipaji moto sanaa zaidi ya ivyo nalet apicha zao za ig hapa wanavipaji vikubwa kuliko hap wazungu na wagana nimechafua wachache mana mm napenda kuangalia vitu kama ivyo ila sijui kuchora



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wakwanza ni uyu bwana rugangiraa anafanya kazi nzuri sanaa unaeza mfuta ig kwa kujionea kipaji halisi
IMG_5180.JPG
IMG_5179.JPG
IMG_5178.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wa pili ni uyu bwanaa Rams tagram
Uyu bwana anakipaji kikubwaa sanaaaa
Anachora katika mitimdo tofauti na bado kila picha inakuwa tamu sanaa amin na kwambia wabongo wanavipaji vikubwa sana

IMG_5184.JPG
IMG_5183.JPG
IMG_5181.JPG
IMG_5182.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Attachments

  • IMG_5181.JPG
    IMG_5181.JPG
    93.7 KB · Views: 51
wapo tatizo ni kwamba wengi hawajulikani na sanaa Tanzania bado haijapewa kipaumbele ndio maana huwezi kuwasikia,Kuna mzee mmoja alikua akinifundisha kuchora anachora picha nzuri mno nina picha zake na sanamu alizotengeneza niliweka kwenye laptop ila bahati mbaya ipo mbali kuna Siku nitazileta humu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo mahali nimeajiriwa kwa kazi hyo,nazichora sana pencil sketch zinaenda nje,acha nitulie niwaletee kazi zangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za wakati huu kwenu wote!

UCHORAJI ni sanaa ya kuweka alama kwa kutumia vifaa mbalimbali vya kuchorea, kama vile kalamu ya wino au ya risasi , burashi ,
penseli za rangi ya wax, crayoni, makaa, choko, pastels, aina mbalimbali za erasers, markers, styluses, metali mbalimbali (kama silverpoint) na siku hizi hata elektroniki au kitu kingine cha kuandikia au kupaka rangi katika karatasi ,
kitambaa , ubao , metali , mwamba, kadi, plastiki, ngozi, canvas, na bodi au penginepo.
Mimi kama mchoraji wa kiwango cha kawaida tu, nimeamua kuleta uzi huu kwa watu wote ndani ya jf na nje.
kwa kua na heshimu kazi za wachoraji WAKUBWA, wakawaida na hata wadogo ndani na nje ya Tanzania.

Kama wewe ni mchoraji au umeona sehemu mchoro unaweza kuleta hapa na sisi tukaona vipaji vya watu na kufurahi pamoja.

Kuna baadhi ya michoro si rahisi mtu aamini kama imechorwa na mkono wa mtu lakini ndivo ilivyo.
Baadhi ya majina ya wachoraji ni hawa

1-Da Vinci
2-picasso
3-Kipanya
4-Tingatinga
5-Olumide
6-mimi ( [emoji23])
Na picha au michoro ni hii hapo chini,

Yenye rangi ni ya mnigeria anaitwa OLUMIDE

Ongezeni michoro mingine Tafadhali View attachment 1055295View attachment 1055296View attachment 1055297View attachment 1055298View attachment 1055299View attachment 1055300View attachment 1055301View attachment 1055302

Sent using Jamii Forums mobile app
Umemsahau King Kinya na Ibra radi Washokera kwenye list

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom