Picha ya pili chuchu nimezielewa[emoji7][emoji7][emoji39][emoji39][emoji39]
Huyu jamaa ni shida,ila hata hao wengine pia wako vizuri sanaWakwanza ni uyu bwana rugangiraa anafanya kazi nzuri sanaa unaeza mfuta ig kwa kujionea kipaji halisi
View attachment 1056611View attachment 1056612View attachment 1056613
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ujumbe si sababu kuu
Njoo tuyajenge,hyo kazi ndo inanisomeshea watoto,I can dwitKuna mtanzania anajua kuchora hivyo? Nahitaji anichore
Nipo mahali nimeajiriwa kwa kazi hyo,nazichora sana pencil sketch zinaenda nje,acha nitulie niwaletee kazi zanguwapo tatizo ni kwamba wengi hawajulikani na sanaa Tanzania bado haijapewa kipaumbele ndio maana huwezi kuwasikia,Kuna mzee mmoja alikua akinifundisha kuchora anachora picha nzuri mno nina picha zake na sanamu alizotengeneza niliweka kwenye laptop ila bahati mbaya ipo mbali kuna Siku nitazileta humu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umemsahau King Kinya na Ibra radi Washokera kwenye listHabari za wakati huu kwenu wote!
UCHORAJI ni sanaa ya kuweka alama kwa kutumia vifaa mbalimbali vya kuchorea, kama vile kalamu ya wino au ya risasi , burashi ,
penseli za rangi ya wax, crayoni, makaa, choko, pastels, aina mbalimbali za erasers, markers, styluses, metali mbalimbali (kama silverpoint) na siku hizi hata elektroniki au kitu kingine cha kuandikia au kupaka rangi katika karatasi ,
kitambaa , ubao , metali , mwamba, kadi, plastiki, ngozi, canvas, na bodi au penginepo.
Mimi kama mchoraji wa kiwango cha kawaida tu, nimeamua kuleta uzi huu kwa watu wote ndani ya jf na nje.
kwa kua na heshimu kazi za wachoraji WAKUBWA, wakawaida na hata wadogo ndani na nje ya Tanzania.
Kama wewe ni mchoraji au umeona sehemu mchoro unaweza kuleta hapa na sisi tukaona vipaji vya watu na kufurahi pamoja.
Kuna baadhi ya michoro si rahisi mtu aamini kama imechorwa na mkono wa mtu lakini ndivo ilivyo.
Baadhi ya majina ya wachoraji ni hawa
1-Da Vinci
2-picasso
3-Kipanya
4-Tingatinga
5-Olumide
6-mimi ( [emoji23])
Na picha au michoro ni hii hapo chini,
Yenye rangi ni ya mnigeria anaitwa OLUMIDE
Ongezeni michoro mingine Tafadhali View attachment 1055295View attachment 1055296View attachment 1055297View attachment 1055298View attachment 1055299View attachment 1055300View attachment 1055301View attachment 1055302
Sent using Jamii Forums mobile app
NitafuteNimetangaza tenda ya kuchorwa, napenda picha ya kuchora.
T[emoji769]
Nzuri,Hata mimi sipo nyumaa.View attachment 1056389
Nitawasiliana na wewe nikiwa tayari mkuu. Thanks
Safi tuleteeNipo mahali nimeajiriwa kwa kazi hyo,nazichora sana pencil sketch zinaenda nje,acha nitulie niwaletee kazi zangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wana sabab nying za kutuacha.Ndo nninavyofanya mkuu ila kiukweli wenzetu wametuacha mbalii