Ukilijua hilo huwezi pata shida mkuu kila mtu ana majanga yake kikubwa uvumilivu sababu hakuna aliyetafutiwa mke au mume na wazaziHatari sana, sema hivi ni vitu vidogo vidogo tu japo pia vinakwaza
Sent from my iPhone using JamiiForums
Anifanye nini eti
Eiiish ombi gani hilo we babuUngekuwa una roho nzuri usingenikatalia lile ombi langu
Mie sina
Hahahhaha we mume wa mtu una shida sana
Mpaka kila mtu ajue?Eiiish ombi gani hilo we babu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni kweli, lkn Kama ulimuacha kwa manyanyaso lazima umkumbuke. Mi pia Kuna ex wangu namkumbuka sana nahisi angefaa kuwa mume wangu
Tunashukuru sanaKwa niaba ya ambao hatuna ndoa bado, naomba niwape pole mnoo wanandoa wenye changamoto!
Ndoa ni ngumu sana ukiwa na mtu asiye sahihi, na ni chungu mnoo ukiwa na mtu ambaye halingani na ubavu wako!
Asilimia kubwa sana ya wanandoa wanishi na watu ambao hawalingani na ubavu wao! Yapo yanayopelekea hayo, kwanza muda mchache wa kujuana, na kingine ni mmoja wao kufake uhalisia wake!
Huwa napenda kufananisha hatua ya kumpata mwenza kama kwenda sokoni na kununua kiatu ambacho utakivaa miaka yako yote ilobaki, sasa wewe jitoe ufahamu ununue bajaji halafu utembelee wakati wa jua na hutakiwi kukivua chini ni miiba, lazima ujute! Wapo watakao nunua rain boot kipindi cha jua ndo maumivu yake watayasikia na hutakiwi kuvua, ndo ushachagua hivyo!
Kwa sie ambao bado, tusiwe na haraka, halafu la mno tumshirikishe Mungu kwa kweeli! Hizi ndoa zinapumulia mashine! Bila sala hatutaweza peke yetu wapendwa!
Mie niwatie moyo tuu, baba ni kichwa cha familia, na mama utailinda ndoa yako kwa maombi! Kila mmoja asimame kwenye nafasi yake kikamilifu naamini mkiamua mnaweza!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimeishia kucheka. Eti manengelo we bado kuingia kwenye ndoa?
Naanzaje kutokujua mm mm na yeye hatufichani kituNilikuwa nafikiri ulikuwa hujui...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nishawahi fungiwa mlango kisa kwenda kuangalia mpira usiku, ndoa ilikuwa na siku 10 tu, nikalala chumba cha jirani mpka asubuhi
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]We mke wa uache kunisingiziaHahahhaha we mume wa mtu una shida sana
Wajue tu kwani ni nini we babu ebu tombokaMpaka kila mtu ajue?
Asante sana mpendwa wangu ubarikiweKwa niaba ya ambao hatuna ndoa bado, naomba niwape pole mnoo wanandoa wenye changamoto!
Ndoa ni ngumu sana ukiwa na mtu asiye sahihi, na ni chungu mnoo ukiwa na mtu ambaye halingani na ubavu wako!
Asilimia kubwa sana ya wanandoa wanishi na watu ambao hawalingani na ubavu wao! Yapo yanayopelekea hayo, kwanza muda mchache wa kujuana, na kingine ni mmoja wao kufake uhalisia wake!
Huwa napenda kufananisha hatua ya kumpata mwenza kama kwenda sokoni na kununua kiatu ambacho utakivaa miaka yako yote ilobaki, sasa wewe jitoe ufahamu ununue bajaji halafu utembelee wakati wa jua na hutakiwi kukivua chini ni miiba, lazima ujute! Wapo watakao nunua rain boot kipindi cha jua ndo maumivu yake watayasikia na hutakiwi kuvua, ndo ushachagua hivyo!
Kwa sie ambao bado, tusiwe na haraka, halafu la mno tumshirikishe Mungu kwa kweeli! Hizi ndoa zinapumulia mashine! Bila sala hatutaweza peke yetu wapendwa!
Mie niwatie moyo tuu, baba ni kichwa cha familia, na mama utailinda ndoa yako kwa maombi! Kila mmoja asimame kwenye nafasi yake kikamilifu naamini mkiamua mnaweza!
Inategemea na hali ya babaInavyoonyesha watoto wamevuka umri wa kuishi na mama wangekuwa wadogo asingewaacha
Ujue miaka 7 sijui baba anaruhusiwa kuishi na mtoto wake na miaka 9 kwa mtoto wa kike
Si umpandie hewani hata upashe kiporo kidogoNi kweli, lkn Kama ulimuacha kwa manyanyaso lazima umkumbuke. Mi pia Kuna ex wangu namkumbuka sana nahisi angefaa kuwa mume wangu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Arudi alee watoto wakeInategemea na hali ya baba
Sasa kama baba ni mlevi unaanzaje kumwachia watoto
Wewe tena kwa kupasha viporo