mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,253
- 22,843
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha yaaani wewe hapana aiseeeAsante sana mpendwa wangu ubarikiwe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe tena kwa kupasha viporo
Alikuambia ana mimba yangu??Naanzaje kutokujua mm mm na yeye hatufichani kitu
Hakuna kitu kibaya kama watoto kuona baba na mama wanishi kwa ugomviArudi alee watoto wake
Shunie ukuje huku
Mie sina
Sijasema hilo la mimbaaAlikuambia ana mimba yangu??
Na aombe kweli maana nikimkata namfyekeleaa mbaliHahaha yaaani wewe hapana aiseee
Uombe na kufunga! Ndo silaha kuu ya mwanamke
Ooooh
KhaaaaWajue tu kwani ni nini we babu ebu tomboka
Ukilijua hilo huwezi pata shida mkuu kila mtu ana majanga yake kikubwa uvumilivu sababu hakuna aliyetafutiwa mke au mume na wazazi
Karibu sana
Usinicheke ni kweli namkumbuka. Miaka ya juzi hapa nilikutana nae, aisee ilikuwa balaa ikabidi nimblock maana mmh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kweli, lkn Kama ulimuacha kwa manyanyaso lazima umkumbuke. Mi pia Kuna ex wangu namkumbuka sana nahisi angefaa kuwa mume wangu
Kweli kabisa dada,.manake wengine humu wanachukulia wanandoa kuachana ni rahisi tu kama boyfriend na girlfriend. Halafu watoto sasa watakavyoathirika kisaikolojia na kimaleziKweli kaka mito mtu ambaye yupo kwenye ndoa hawezi mshauri aondoke na amwachie mwanaume watoto kuna mda tunatakiwa tuchuje na ushauri tunaopewa na watu
Tulishapasha, tatizo tungeendelea ingekuwa balaa