Ona sababu ya ugomvi wao sasa!We mkeo ananenepa hovyo unamwona tu unashindwa kumshinikiza afanye mazoezi na kula vyakula visivyo na Wanga na faty nyingi. Mambo mengine tusiwasingizie wanawake tu we sema unapenda totozi ukikaa bar au mahali pa starehe upige miluzi vibinti vije.
Sent using Jamii Forums mobile app
Woiiiii juu kwenye post yako ujue umeandikaje [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe
Niko ndoani mwaka wa kumi huu! Huwa naamini kile moyo wangu unachoniambia! Amani yangu na watoto wangu kwanzaaa kama Mungu akinijaalia watoto!
Kwendraaaaaaa
Shida ndo inaanzia hapo...Ndioooo amesema juu huko maombi gani yatakayomsaidia
Na ukiangalia ugomvi kwenye ndoa za vijana ni mfumo wa maisha haswa mara wakitoka kazini, au wkendOna sababu ya ugomvi wao sasa!
Watu wengine bwana!
Sio uongoKazia uongo tuu...
Sio wote bwana watu tupo kwenye ndoa mwaka wa 10 huu kugombana kupo lakini sio mwanamke kuwa na sauti kwa mumewe
Mkuu wewe mkeo amekupanda kichwani mkeo ana sauti kuliko wewe na hiki ulikosea toka mwanzo mlivyoanzana
Mwanaume anatakiwa awe na sauti akiongea mara moja harudii baba kaongea kwenye nyumba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]Woiiiii juu kwenye post yako ujue umeandikaje [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani hakuna sababu yoyote ya msingi ni basi tuuNa ukiangalia ugomvi kwenye ndoa za vijana ni mfumo wa maisha haswa mara wakitoka kazini, au wkend
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona mwanzo waliishi kwa amani na furaha kwa nn sasa ni mapito tu haya yatapita wataishi kama zamaniNa mie namuombea yaishe aishi kwa amani na furaha!
Shida ni kwamba inaonekana shida ni kubwa, kwani wangapi mnakosea na kusameheana eti?!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa dadaMbona mwanzo waliishi kwa amani na furaha kwa nn sasa ni mapito tu haya yatapita wataishi kama zamani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shida ndo inaanzia hapo...
Ngoja niwaache na ndoa zenu jamaniii...
Kwa heri Shunie
Uko sahihi, nilichogundua demokrasia ndani ya nyumba ni chanzo cha matatizo
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ngoja niondoke tuu mimi![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ebu baki uko update uzoefu unafikili ndoa lelemama