Hapa pia pana ukweli.....Hivi hujuagi kuwa ubaya ndo huwa unavuma kuliko wema? Wapo wenye ndoa njema kibao tu, sema wengi wao hawanaga muda hata wa kuandika. Na hata wakiandika kusifia ndoa zao, tunakuwa wa kwanza kuwaongelea mbovu, sijui ndoa yenu ina miaka mingapi blah blah blah. In short binadamu hatupendi habari nzuri
Sasa
Mkuu kama mimi huyu wangu naweza kutaka kuzungumza naye ili tujadili maisha yetu kiujumla ananijibu, "KWA SASA SINA MUDA NINA SHUGHURI ZANGU/NIMECHOKA/NALALA/KESHO NAFANYA USAFI" yaani kwa sasa naamua hata kufanya swala la maendeleo kwa ajili ya maisha yetu ya baadae mwenyewe au namshirikisha Dada yangu
Sijaona faida ya kuwa katika ndoa zaidi ya kuepuka dhambi ya kuzini
Ndoa ndo kwanza ina MIEZI MIWILI
Nafikiria kutoa Talaka nirudie maisha yangu ya usela
Nilishawahi mara nyingi tu, sema mkifika huko baada ya nusu saa anaanza kuboa na raha yote inakuwa karaha, utasikia ohoo mbona kama tunapoteza tu hela, siturudi tu nyumbani, mara mbona pesa ya kulipa hela ya bima ya gari unasema huna mpaka tunatembea nalo usiku tu kama wanga alafu hapa tunazipoteza tu bure, mtu gani huna mipangilio ya expenditure zako ! Dah yani kero zinakuwa nyingi mpaka naamuua kwa hasira turudi tu home kwani hapo nakuwa nshakwazika sana.
Ndyo lakini kujipa furaha ni lazima ndoa ni furaha si mateso mmoja wenu anapofanya jambo la kuwaleta pamoja kma wanandoa mfurahi pamoja huwezi sema anapoteza pesa vp kma angetoka nalo usiku bila ww kuwepo na akatumia iyo pesa bila ww kuwepo na gari likapakiwa apo ndani mda mwingine nyie wanawake mnakuwa kero na wachungu kama pili pili
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo Udicteta utategemea na unae mdictetiIli ndoa idumu milele mmojawapo lazima awe Dictator!
Hahahahaaaa! Kuoa bila mipango au kulenga ishu moja tuu matokeo yake ndiyo hayo!!
Kabla ya kuoa ulipaswa kujua au kujifunza utaishi vipi na mkeo na hata baadae wanao! Yanayobaki muachie Mungu
Mie nina zaidi ya miaka 10 kwenye ndoa, mwanzoni nilipata ugumu flani coz kuna mmoja wetu kabadili dini so kufundishana na kuwekana sawa ilikuwa shida kidogo! Pia nilikiwa mnywaji, kurudi usiku hakuna muda na familia napo vilichangia kuweka gap kwenye ndoa yangu na wakati huo kipato kilikuwa chini, so tukawa na matamanio yasiyotimia matokeo yake ni stress na kugombana!
Kabla ya kuoa nilipanga kuwa na familia yenye furaha, outings na vacations na safari ni vitu napenda sana kiukweli!! Nilihitaji mtu wa kufanana nae!
Nilipoanza kazi na NGO moja hivii inadeal na maswala ya ndoa! Nilikuja kugundua visababishi vya vikubwa vya migogoro ya ndoa ni nini! Kimoja wapo ni kitendo cha kila siku kurudi nyumbani usiku wa manane, umelewa wanawake wanaumia sana ila basi tu! Yakimzidi ndipo nae hutafuta faraja kwa namna ingine au hubadilika tabia na ndipo hapo, migogoro inaanzia!
Niliamua kubadilika, pombe nikaacha na familia yangu ikawa ndiye rafiki zangu wakubwa!!
Naishi kwa amani na nafurahia maisha ya ndoa to maximum!! Sijutii kwa hakika na naamini hata mke wangu vile vile!!
Tunatoka outing wote, tunasafiri tunavyopenda tunafanya yanayotupasa yaan ni full furaha! Namshukuru Mungu kwa kweli.
Ndoa ya furaha inawezekana ila kwa jitihada za pande zote mbili!! Ukiona unaleta furaha ila upende mwingine hauhitaji uwe hivyo hilo ni tatizo na hapo inabidi kuchukia hatua!
Kikubwa tumia muda mwingi kuchunguza utayetaka kuoa au kuolewa nae. Kama ana tabia usiyoipenda jikatae mapemaaaa! Usitarajie atabadilika akishaingia kwenye ndoa, na hili ndiyo kosa la wengi!!
Mbona anakushauri vitu vya msingi kabisa hapa, sema umemchukia huyo mwanamke sababu labda wewe ni si mtu wa malengo na yeye ana malengo!
Inawezekana approach yake pia si nzuri labda sababu ya kabila au malezi! Mfano unataka uoe Mkurya au Mchaga then utegemee lugha laini kama ya Mbondei ni ndoto!!
Huyo ni maendeleo oriented, msikilize mtatoboza hata kama ni mie unaspend 50,000 wakati gari hujalipia bima nakuchapa makofi kabisa!!
Akili gani hizo halafu unaambiwa unasema anakuboa, unataka mke gani tena?
Vaa twende church my mane[emoji39]Hongera sana sana mkuu...!nataman wanaume wote wajitmbue wenyew kwa comment km hii...
Mshana Jr, katika ulimwengu wa sasa wa TEHAMA, ni zaidi ya hayo katika ndoa maana mawasiliano yamekuwa ni vidole kwenye simu ya kiganjani wakati wote.Ni siku nyingine tena imepita, tumerudi salama majumbani mwetu, kuungana tena na wapendwa wetu, familia na watoto pia... Baadhi yetu hatujarejea, tuko mishe na viti virefu... Baadhi tuna sababu za msingi na nyumbani wanafahamu na tumewapa taarifa, wanatusubiri watupokee kwa upendo, kwa furaha kwa bashasha kuu
Baadhi hali ni tofauti, hatungependa kuchelewa nyumbani.... Tungependa tuwahi, tuungane na familia, tuimalize jioni kwa furaha kuu kabla hatujaungana kwa dinner na maombi ya usiku.... Lakini hali ni tofauti tunapoteza muda nje saa zisogee ili tukifika tu ni chakula kuoga na kulala... Tunakimbia kero na malumbano yasiyoisha
Ndoa haina furaha.... Ndoa haina amani, majuto ni mengi mno moyoni.. Kila mmoja anajutia kivyake... Hakuna upendo tena... Hakuna kuaminiana tena... Ni mwendo wa kutuhumiana na kuviziana.... [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]baba ana chumba chake.. Mama naye ana chake... Ama la chumba ni kimoja lakini kila mmoja ana kitanda chake...
Hakuna upendo, hakuna sharing, hakuna majadiliano ya changamoto, ya maumivu ya kushinda na kushindwa, ya kutiana moyo na kufarijiana... Kila mtu kivyake... Kila mtu na lwake... [emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji24][emoji17][emoji17][emoji17]
Karibuni wanandoa wote.. Ni mada ya kupeana faraja na kushare maumivu... Itambueni nguvu ya kuongea... Kuongea hupunguza maumivu mengi... Kupitia mada hii utajiona hauko pekeyako na pengine utaona kuwa kumbe wewe una nafuu kubwa ukisikia ya mwenzako. Jisikie huru ufunguke....
Funguka kwenye ndoa yako iliyoumizwa na kujeruhiwa sana, iliyotiwa vidonda na makovu ya kila aina
Ya usaliti
Ya kuchapiwa
Ya kusingiziwa
Ya kunenewa mabaya
Ya kudharauliwa kutukanwa na kudhalilishwa
Funguka upate nafuu
Funguka upate faraja
Funguka upunguze sumu mwilini
Funguka upate kupona sasa....
Karibuni wanandoa wote
Jr[emoji769]
[emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Mshana Jr, katika ulimwengu wa sasa wa TEHAMA, ni zaidi ya hayo katika ndoa maana mawasiliano yamekuwa ni vidole kwenye simu ya kiganjani wakati wote.
Hali ni mbaya sana maana watu wanajifaraji kwa kupapasa simu.
"Video Clip" hapa chini inatoa changamoto za hizi simu katika mahusiano hata na Mwenyezi Mungu.
View attachment 1005105
Upo sahihi kwa asilimia 99.9999999999999999999999999999999999999999999999999999% Bila shaka mwanamke anahitaji redirection kila wakati. Isifike mahali akawa ndio kichwa cha familia. Familia na ndoa kwa ujumla Itayumba kama mianzi kwenye upepo mkali. Big up kamanda shikilia uskani vyema barabara yetu inahitaji dereva asiyeyumbishwa na abiriaHii ni kwa wanaume njia pekee ya ndoa kubaki salama ni mfumo dume tu si wa kumkandamiza mwanamke ila wakuonyesha
Simba wafamilia uko ukiiunguruma lazma faraja iwepo na huzuni iwepo kma kuna ujinga umetndeka
.
Sent using Jamii Forums mobile app
πππππ hahahaha Jr acha basi haahhaha nimejikuta nacheka ujueKuna dalili njema naziona hapa[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
Jr[emoji769]
Mimi nimeamua kukaa kando!kiroho safi ..ingawa nna uchungu sana sana..najaribu kuhimili hii hali lakini nafeli vby sana sana...!silali!
Pole sana.
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
nipo magomeni kanisaniπ!acha kelele basVaa twende church my mane[emoji39]