Mada maalum kwa wanandoa

Hapa pia pana ukweli.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ninachokiona hapa umeshakuwa too negative na mkeo pamoja na ndoa yako kutokana na sumu mbalimbali na baadhi ya matendo yake!

Nakushauri, ndoa bado changa sana. Hebu kaeni muyajenge kwa kuongea na kuonyana na kupeana miiko. Inaonekana yeye anaona kafika tayari mipango yote ni mume kuendana na maisha aliyoishi pengine kumbe mngekaa na kuongea serious anaweza kubadilika na kuwa mke bora kabisa kwako
 

Mbona anakushauri vitu vya msingi kabisa hapa, sema umemchukia huyo mwanamke sababu labda wewe ni si mtu wa malengo na yeye ana malengo!

Inawezekana approach yake pia si nzuri labda sababu ya kabila au malezi! Mfano unataka uoe Mkurya au Mchaga then utegemee lugha laini kama ya Mbondei ni ndoto!!

Huyo ni maendeleo oriented, msikilize mtatoboza hata kama ni mie unaspend 50,000 wakati gari hujalipia bima nakuchapa makofi kabisa!!

Akili gani hizo halafu unaambiwa unasema anakuboa, unataka mke gani tena?
 

Akili matope, hivi akili gani hizi?

Yaan umepata mke anakushauri maendeleo na vitu vya msingi unalalamika?

Mwanamke anakushauri kupunguza matumizi mabaya ya pesa ufanye vya maana unakasirika unaona hafai?

Hivi ungepata mke komba akifika hapo anagida pombe mpaka senti ya mwisho ndiyo ungefurahi??

Anakushauri punguza matumizi ulipie bima uwe free kudrive muda wote unakasirika? Hivi hata huo usiku ukipata ajali itakuwaje? Bado hujaona alichokiona mke hapo??

Grow up guys, siongeagi vibaya lakini hapa utanisamehe!! Kwa statement hiyo uliyotoa hapo bado huna akili ya kuoa!!
 


Hongera sana sana mkuu...!nataman wanaume wote wajitmbue wenyew kwa comment km hii...
 

Mkuu nakuelewa vizuri sana, ishu ni approach ila pia siyo kwa kuwa kuna majukumu muhimi hujatimiza basi usijipe mda wa kupumzika na kula starehe hata kidogo, hii inakera sana sometimes


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mshana Jr, katika ulimwengu wa sasa wa TEHAMA, ni zaidi ya hayo katika ndoa maana mawasiliano yamekuwa ni vidole kwenye simu ya kiganjani wakati wote.

Hali ni mbaya sana maana watu wanajifaraji kwa kupapasa simu.

"Video Clip" hapa chini inatoa changamoto za hizi simu katika mahusiano hata na Mwenyezi Mungu.
View attachment VID-20190124-WA0002.mp4
 

Attachments

[emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Jr[emoji769]
 
Hii ni kwa wanaume njia pekee ya ndoa kubaki salama ni mfumo dume tu si wa kumkandamiza mwanamke ila wakuonyesha

Simba wafamilia uko ukiiunguruma lazma faraja iwepo na huzuni iwepo kma kuna ujinga umetndeka
.
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahihi kwa asilimia 99.9999999999999999999999999999999999999999999999999999% Bila shaka mwanamke anahitaji redirection kila wakati. Isifike mahali akawa ndio kichwa cha familia. Familia na ndoa kwa ujumla Itayumba kama mianzi kwenye upepo mkali. Big up kamanda shikilia uskani vyema barabara yetu inahitaji dereva asiyeyumbishwa na abiria
 
πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜› hahahaha Jr acha basi haahhaha nimejikuta nacheka ujue
Si jambo baya wawili wanapojenga nia ya kuwa mwili mmoja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…