Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,638
aiseeSasa mtu amezeeka na mtambi huo utafikiri meneja wa kiwanda cha utapiamlo au mataptap, utoke naye out kwa misingi ipi, watu si watakushangaa? Wanawake wanajidhalilisha wenyewe, utajiachiaje kwa kujiharibu shepu kisa umezaa?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Aisee...! Mi nna miezi miwili tu ya ndoa nafikiria kutoa Talaka nibaki maisha yangu ya usela maana kabla sijaoa nilikua na furaha lakini sa hv furaha ni asilimia tano tu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ulishawahi kuona mwanamme anafurahia ndoa siku ya kufunga? Bibi harusi anakuwa mtu wa furaha na bwana harusi anawaza ataanzaje kumfunga kamba bi harusi ili aendeleze kubembeleza nyumba ndogo na kufurahisha nafsi yake. Ndoa ni kwa ajili ya wanawake tu, kwetu wanaume ni zigo la hasara.
vipi umeshatoa?? [emoji3][emoji3][emoji3]Sasa
Mkuu kama mimi huyu wangu naweza kutaka kuzungumza naye ili tujadili maisha yetu kiujumla ananijibu, "KWA SASA SINA MUDA NINA SHUGHURI ZANGU/NIMECHOKA/NALALA/KESHO NAFANYA USAFI" yaani kwa sasa naamua hata kufanya swala la maendeleo kwa ajili ya maisha yetu ya baadae mwenyewe au namshirikisha Dada yangu
Sijaona faida ya kuwa katika ndoa zaidi ya kuepuka dhambi ya kuzini
Ndoa ndo kwanza ina MIEZI MIWILI
Nafikiria kutoa Talaka nirudie maisha yangu ya usela
haha[emoji3][emoji3][emoji3], huyo mama alikuchana??Mimi kuna Mama katika ukoo kuna Mwaka alitembelea Mji naoishi lakini hakufika kwangu kisa sina Mke!!
Ubachela una raha na karaha, napenda uhuru wangu, sipendi kerokero. Mimi hata urafiki kuuvunja nikiona ujinga sishindwi, yaani haichukui hata saa moja, Mke je?
Ila nitaoa....hahaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
vipi amesharudisha??Kitu siwazi ni kutombewa...yaaaani siwazi kabisaaaaa ... Ikitokea sawa isipotokea hewala...natomber sana nje ... Na wengi ni wake za watu ..la msingi ajiheshimu nisijue... Kama mimi navyotombeer nje.... Juzi kati mdogo wake kaoa basi kachukua saving ya matumizi yetu karibu yote kuokoa jahazi ... Eti bebi ntakopa kikundi ntarudisha ...Unarudishaaaaaaaa na ongeza deni ....
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3],uzuri kuoa hukulazimishwaNilishawahi mara nyingi tu, sema mkifika huko baada ya nusu saa anaanza kuboa na raha yote inakuwa karaha, utasikia ohoo mbona kama tunapoteza tu hela, siturudi tu nyumbani, mara mbona pesa ya kulipa hela ya bima ya gari unasema huna mpaka tunatembea nalo usiku tu kama wanga alafu hapa tunazipoteza tu bure, mtu gani huna mipangilio ya expenditure zako ! Dah yani kero zinakuwa nyingi mpaka naamuua kwa hasira turudi tu home kwani hapo nakuwa nshakwazika sana.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3],ndoa ndoano,hivi huu msemo walimaanisha nini??Dah aisee kumbe tuko wengi sana, tatizo mimi dini hairuhusu, ila kama ningekuwa wa upande ule mapema tu ningerudia maisha yangu ya usela, yani burudani na furaha mda wote, no commitments, no stress, no ishu za leo tukasalimie wakwe, no ishu za baba na mama wanasema mbona kimya sana, no ishu za hiyo nguo uliyovaa haijakupendeza kaibadilishe, ukitoka out hauwazi kumkwaza mtu wala kuangalia angalia saa,
yaani anakupangia matumizi ya hela yako,utumwa gani huu!!![emoji3][emoji3]Nikweli lakini maisha ni pamoja na kujipa raha siku moja moja hata kama majukumu mengine bado, kwani majukumu hayaishi kamwe
ushampiga chini??Tatizo huyu kishabeba mimba tayari, nasubiri ajifungue nimpige chini
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hahahaha mkuu hili jambo la ndoa mara nyingi mtu hujifunza kwa vitendo, ingia ili nawe upate experiences zako, hata ukielezwa vp huwezi pata picha halisi mpaka utie maguu humo, mimi haya yote nilikuwa nayasikia lakini nikajipa moyo kuwa kwangu itakuwa tofauti, hahahahaha kilichonipata ndicho kilimtoa kanga manyoya
Sent from my iPhone using JamiiForums
ahahahaaa, ndio mtihani huoNa ulivyo mtamu sasa....
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] aiseeNikimuacha huyu sioi tena, maana si kwa stress hizi
vipi bado unaye??Duh..! Hii ndoa ikifikiasha mwaka sijui...!!!?!
Maana naona kuna vitu navimiss ukizingatia mwanamke mwenyewe kichwa ngumu, yaani afadhari angekuwa tayari kukusikiliza, yeye nikiwa namwambia kitu kama kumwelewesha ataanza ubishi na kuleta ujuaji
Nikimwambia usifanye hivi ye atafanya
Hakuwahi kufanya kosa akaomba msamaha, yaani yeye muda wote anajiona yupo sahihi, kukiri kakosea hilo kwake halipo
Nnampaango wa kumsafirisha aende kwao ili mi nipumzike,
Maana afadhari angekuwa yupo tayari kunisikiliza, yeye nikimwambia tuongee atanijibu yupo busy
Sa sijui mwanamke wa aina hii nitaishi nae vipi...!
Mliooa mnakwama wapi? maana kila baharia nayemkuta na mchepuko bar,nikimuuliza kwa nini anachepuka utasikia ooo!!! mke wangu mjamzito,ooo!!mke wangu amejifungua,ooo!! mara mke wangu yupo siku zake mwezini,ooo!! mara mke wangu ana kelele sana, nyumbani hapakaliki,utasikia mara ooo!! mke wangu ameenza kuzeeka ili siwezi kumwacha sababu nimetoka nae mbali, mabaharia mnafeli wapi????? mabaharia nini kinawashinda kwenye ndoa???
Aahahahahaaaa nimecheka hiyo, ukizima umeme mwenzio anawasha generator and the chain is going, ukizima generator au mafuta yakiisha anawasha tochi ya mchina betri ikiisha karabai au mshumaa ukiisha simu ya kitochi laaah......
Pongezi kubwa sana kwa kwenye ndoa zao.
Yana umuhimu mkubwa sana mkuuhivi mambo ya out yana umuhimu sana kwenye maisha ya ndoa??
Daaah ndoa ni changamoto sanaa, , nimeishi na huyu hubby kwa miakaa 5 , uchumba miaka 5 hila hakuna alichovuna hadi leo hajui napenda nini, sipendi nini...binafsi nimejitaidi kwa asilimia kadhaa najua nini anapenda nini apendi, , sasa kwangu imekuwa ngumu kila siku kumuelewesha kwamba sipendi hivo nataka hivi, , , so kwa sasa nimeamua kunyamaza afanye anavojiskia.....nimechoka kuwa na mapenzi ya upande mmoja yaani nakuwa kama mimi ndo nampenda sana yeye hanipendi, kwa sasa nimeamua kuishi niwezavyo vyovyote sawaa tu, nafanya vitu nipendavyo kanifundisha kuwa mbinafsi, ...sa hivi ananilalamikia mbona umebadilika , namjibu hakuna niko poa....ko tunaishi ili mladi siku ziende tuu!nimechoka kumuelewesha...
na hapo ndipo mnapokosea nyie wadada.Daaah ndoa ni changamoto sanaa, , nimeishi na huyu hubby kwa miakaa 5 , uchumba miaka 5 hila hakuna alichovuna hadi leo hajui napenda nini, sipendi nini...binafsi nimejitaidi kwa asilimia kadhaa najua nini anapenda nini apendi, , sasa kwangu imekuwa ngumu kila siku kumuelewesha kwamba sipendi hivo nataka hivi, , , so kwa sasa nimeamua kunyamaza afanye anavojiskia.....nimechoka kuwa na mapenzi ya upande mmoja yaani nakuwa kama mimi ndo nampenda sana yeye hanipendi, kwa sasa nimeamua kuishi niwezavyo vyovyote sawaa tu, nafanya vitu nipendavyo kanifundisha kuwa mbinafsi, ...sa hivi ananilalamikia mbona umebadilika , namjibu hakuna niko poa....ko tunaishi ili mladi siku ziende tuu!nimechoka kumuelewesha...