Mada maalum kwa wanandoa

Mada maalum kwa wanandoa

Kwanini ulioa mtu aliyeishia form two maana uelewa wake mdogo au ndo ile dhana huwa mna assume humu Jf kuoa asiye na shule ila akutii sasa madhara yake ndo haya, hapo nakupa pole umejifunga kitanzi kitakachokutesa the rest of ur life, yani anampa mtoto uji hajafikisha six month's the big problem ninayo ioana hapo mumepishana uelewa na vipaumbele mmoja mtu mzima mwingine hafikirii mbele hapo assume siku haupo duniani watoto wataishije, mumepeleke elimu ya watu wazima bila hivo atakuua Kwa pressure ikiwezekana usizae karibuni tena
Ana miaka 24 mpaka sasa

Nimpeleke elimu ya watu wazima wakati nishaachana nae...!

Yupo kwao, sa hv naangalia watoto tu,

Na wala sina mpango wa kuongeza mtoto kwa sasa
 
Soma hayo niliyoorodhesha hapo juu kama wewe ungeweza kuvumilia

Kuhusu watoto najua atawalisha sumu ili wanione Baba yao mbaya au sifai maana kuna siku aliwahi kuniambia NIKIMUACHA NISITEGEMEE KWAMBA NINA WATOTO, nikamuuliza wakija kukuuliza "BABA YUPO WAPI?"akanijibu nitawaambia "AMEKUFA"

Kifupi naweza sema hapa nilikosea kuoa
Bora umeachana na ilo jjini aise hata mm ikitokea naliachilia mbali mkuu
 
Mkuu mwenyewe sio kama nimependa, hapana ila nimelazimika kuachana nae

Na hapo mdo nimemvumilia tangu akiwa mjamzito, awali nilisema pengine ujauzito ngoja nisubiri ajifungue
Baada ya kujifungua ndo ikawa balaa
Pole Sana.
Ulikosea kuoa aisee
 
Huyu kalelewa na shangazi yake, baada ya kumshirikisha Dada yangu ( baada ya kumpa taarifa ajenda ya kikao ) akaniambia huyo hata shangazi yake aliyemlea na kumsomesha alikua akigombana nae, nikamuuliza kwa nini hukuniambia mapema kabla sijaoa, ye akanijibu kuwa aliona katulia na alishampa kitchen party kama mke mtarajiwa wa kaka yake
Pole sana, tatizo angekwambia usioe lakini wewe ukawa unampenda, mie kuna ndugu yangu nilimwambia huyo utamweza kweli? Jibu lake mbona wewe umeolewa na hakuna aliyekupangia? Nikafunga domo langu, sahizi cha moto anakipata kuniambia anashindwa mie yangu macho
 
Ana miaka 24 mpaka sasa

Nimpeleke elimu ya watu wazima wakati nishaachana nae...!

Yupo kwao, sa hv naangalia watoto tu,

Na wala sina mpango wa kuongeza mtoto kwa sasa
Duu mlichumbiana wadogo sana
 
Ana miaka 24 mpaka sasa

Nimpeleke elimu ya watu wazima wakati nishaachana nae...!

Yupo kwao, sa hv naangalia watoto tu,

Na wala sina mpango wa kuongeza mtoto kwa sasa
Duh ulimuoa akiwa bado mdogo
 
Kwanini ulioa mtu aliyeishia form two maana uelewa wake mdogo au ndo ile dhana huwa mna assume humu Jf kuoa asiye na shule ila akutii sasa madhara yake ndo haya, hapo nakupa pole umejifunga kitanzi kitakachokutesa the rest of ur life, yani anampa mtoto uji hajafikisha six month's the big problem ninayo ioana hapo mumepishana uelewa na vipaumbele mmoja mtu mzima mwingine hafikirii mbele hapo assume siku haupo duniani watoto wataishije, mumepeleke elimu ya watu wazima bila hivo atakuua Kwa pressure ikiwezekana usizae karibuni tena
Lizarazu
 
Miaka 19 naona Ni mdogo.
Uchumba ulikaa nae kwa Muda gani?
Miaka minne, ndoa nimefunga nae mwaka jana mwezi wa kumi na moja

Na kipindi hicho chote cha uchumba alikua akiishi kwao, kwangu kaja mwaka jana tarehe mbili mwezi wa tano na akafikia kwa wifi yake ( Dada yangu ) sikutaka afikie kwangu kwa sababu za kiimani na marafiki nilionao na wanaonifahamu ni watu wenye heshima zao hivyo kuishi nae kama mke bila ndoa nisingeeleweka
 
Miaka minne, ndoa nimefunga nae mwaka jana mwezi wa kumi na moja

Na kipindi hicho chote cha uchumba alikua akiishi kwao, kwangu kaja mwaka jana tarehe mbili mwezi wa tano na akafikia kwa wifi yake ( Dada yangu ) sikutaka afikie kwangu kwa sababu za kiimani na marafiki nilionao na wanaonifahamu ni watu wenye heshima zao hivyo kuishi nae kama mke bila ndoa nisingeeleweka
Duh..
Aisee kumbe umemuoa akiwa na 23.
Basi anafanya makusudi
 
Back
Top Bottom