Mzaleee
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,069
- 3,899
Mkuu cheki pm.Mi huwa hatuna stori. Kwanza hadi tunarudi hom tushavurugana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu cheki pm.Mi huwa hatuna stori. Kwanza hadi tunarudi hom tushavurugana
Duu jamani ni hatari sana[emoji6]Bora kuachana kuliko kuforce mwisho wa siku Gunia mbili za mkaa nakuombea dua usipate mitihani hiyo ni hatari sna...
Mkuu nimesoma kama ndiyo hayo mmm pole sana yaani ndoa mwaka jana leo haipo duu nakupa pole tena anayejua matizo yule anaye ishi nayo pole tena huyo lilikuwa jipu kubwa lisilo ivaSoma hayo niliyoorodhesha hapo juu kama wewe ungeweza kuvumilia
Kuhusu watoto najua atawalisha sumu ili wanione Baba yao mbaya au sifai maana kuna siku aliwahi kuniambia NIKIMUACHA NISITEGEMEE KWAMBA NINA WATOTO, nikamuuliza wakija kukuuliza "BABA YUPO WAPI?"akanijibu nitawaambia "AMEKUFA"
Kifupi naweza sema hapa nilikosea kuoa
Pole jamani nilI coment kwa wema tuNmepitia km yko ila kwa uwezo mungu yamepita khs watt wala sijari natoa huduma hayo mengine yy na mungu wake...
Duu hata kama sijakamilika lakini sio hivyo, yawezekana maleziMimi pia ilishanitokea hiyo tena nilienda nae shopping, kumuuliza umeuziwa kwa sh ngp akaanza kunijibu kwa nyodo kama anamjibu
Mwanae
Nikamwambia ntakutandika makofi sasa hivi huwezi kunidharirisha mbele ya mkusanyiko wa watu akakaa kimya
Yaani kuanzia hapo ikawa mwisho kuongozana nae sehemu, maana nikitoka nae tu lazima atanitibua
Yaani kifupi anatabia za hovyo
Na hapo vimeshafanyika vikao vya kutosha, akijitahidi kubadilika atakaa wiki tatu baada ya hapo anarudia tabia zake za awali kama kawaida
KESHO NAENDA KUTOA TALAKA RASMI
Mkuu kwa haya yote hata mie hapana1. Alikua anataka kunitawala yaani yeye awe juu mimi niwe chini yake, yaani mimi niwe kama mwanamke na yeye awe mwanaume
2. Tendo la ndoa mpaka atake yeye au ajisikie
3. Jeuri na kiburi vyote vyake ana majibu ya hovyo yaani anaweza kunijibu anavyotaka kama anamjibu mwanae
4. Alikua anatabia ya kunikorofisha makusudi nikichukia ananisema vibaya kwa majirani na ndugu zake mwisho mimi naonekana mbaya ( HII NDIYO SABABU KUU ILIYOPELEKEA NIMUACHE )
Yaani naweza kusema yeye alikua akifurahi kuniona mimi nikiwa matatizoni maana kama kuna mtu ananidai basi yeye atasimama kidete utadhani yeye ndo anayenidai
5. Mbishi...ukimwelekeza kitu kwa nia ya kumwelewesha ye hataki anajiona mjuaji kwa kila kitu
Yaani yeye akishasema kitu ndo kasema hivyo anachotaka ni utekelezaji tu(FINAL SAY )
6. Hataki kusemwa au kukosolewa pindi anapokosea ( kuna kipindi alikua akionea watoto wa dada yangu kumbe wale watoto mmoja ambaye ni mkubwa alikua akiwaambia wazazi wake Baba na Mama ila wao walikua hawamwambii kwa kuhofia ataonekana hapendwi ila siku mtoto akaja kushtaki kwangu nikamchana kwamba anachokifanya sio kitu kizuri....AKANUNA HUYOOO...akaona haitoshi akajitenga yeye na mtoto wetu wa kwanza akawa anamtenga asicheze na wenzie, kuona hivi nikamwita tena kisha nikamwambia tena mbele ya Dada, alichosema dada ni kwamba hizo taarifa ye aliambiwa muda tu ila alishindwa kuniambia mimi kwa kuhofia nitaona anamchukia wifi yake )
7. Mbinafsi...Changu chake....chake ni chake hata kama mimi ndo nilipambana au nilifanikisha mpaka akakipata ila ni mwiko kunishirikisha...( Kuna kipindi alikua akifanya biashara flani sijawahi kushirikishwa kuhusu mapato wala nini yaani akimaliza biashara hela inafichwa hukooo...ila mimi nikirudi kazini nikitoka tu akawa anasachi mifuko ya suruali zangu ajue kuna pesa kiasi gani akikuta pesa, kesho yake ataanza kuniambia anadaiwa nikimwambia sina hela atanijibu zipo kiasi fulani kwenye suruali yangu yaani hata kama tayari ipo kwenye bajeti ya kodi ya nyumba ye atataka itumike anavyotaka yeye mwisho wa siku naanza kuhangaika peke yangu ye ananiangalia tu )
8. Anaigiza....yaani yeye anaishi ili kuwafurahisha majirani au watu, yupo tayari kwenda kumsaidia kazi jirani huku zilizopo ndani hakuzimaliza kisha baadae anaanza kulalamika kuchoka nikimwambia ananijibu mimi MSHAMBA WA MAISHA
9. Ameharibiwa na vipindi vya kwenye runinga hasa hivi vya kina Mama Terry bila kusahau na Bongo Movie
10. Anapenda kujionyesha....yaani anataka kuonekana yeye yupo juu kwa lugha nyepesi hataki kuishi katika uhalisia anataka kuonekana anaishi maisha fulani hivi ya hadhi ya juu
N.B;
KIPINDI CHA UCHUMBA TABIA HIZI SIKUWAHI KUZIONA MAANA NILIANZA NAE MAHUSIANO 2014 HADI 2018 MWISHONI NDO TULIFUNGA NDOA
Huyo hakuwa mke janga, na hapo unapoishi ukitaka kuoa chukua mbali au ikiwezekana hama kabisa kama umepanga, kuna ndugu alikuwa naye aina hiyo kamfirisi jamani mpaka kuachana mmewe hana kitu kabisaHuenda wako kabadilika, ila huyu hawezi kubadilika maana kama angekua wa kubadilika angebadilika tangu nilipompa likizo
Alichokifanya sasa baada ya kusikia namrudisha kwao akafungasha vitu vyote alivyokuja navyo na nilivyonunua kipindi naishi nae
Siku ya pili akaenda kufungua kesi ya madai ya malezi ya watoto ( hapa nikashtuka kwamba anataka kutumia watoto kupata pesa wakati hata asingeenda mimi ningewahudumia wanangu kama kawaida )
Baada ya hapo akawa anakuja kutembelea rafiki zake ( hapo sijui kwao alikua anaaga anaenda wapi maana alikua analala kwa rafiki zake anaondoka siku ya pili ) hapo alikua akinikuta nimekaa nje ananipita kama kisiki nami nikawa namkaushia tu
Akawa akikuta mlango wa chumbani kwangu sijafunga na funguo akawa anachungulia na kusepa sijui alikua anafikiri nimenunua vingine?!![emoji5]
Hao rafiki zake wenyewe hawajaolewa mmoja ndo kamaliza kidato cha nne mwingine anafundishwa kushona nguo
Wiki iliyopita ndo sikumuona kesho naenda kuongea na mzazi wake na kutoa TALAKA rasmi
Aiseee..1. Alikua anataka kunitawala yaani yeye awe juu mimi niwe chini yake, yaani mimi niwe kama mwanamke na yeye awe mwanaume
2. Tendo la ndoa mpaka atake yeye au ajisikie
3. Jeuri na kiburi vyote vyake ana majibu ya hovyo yaani anaweza kunijibu anavyotaka kama anamjibu mwanae
4. Alikua anatabia ya kunikorofisha makusudi nikichukia ananisema vibaya kwa majirani na ndugu zake mwisho mimi naonekana mbaya ( HII NDIYO SABABU KUU ILIYOPELEKEA NIMUACHE )
Yaani naweza kusema yeye alikua akifurahi kuniona mimi nikiwa matatizoni maana kama kuna mtu ananidai basi yeye atasimama kidete utadhani yeye ndo anayenidai
5. Mbishi...ukimwelekeza kitu kwa nia ya kumwelewesha ye hataki anajiona mjuaji kwa kila kitu
Yaani yeye akishasema kitu ndo kasema hivyo anachotaka ni utekelezaji tu(FINAL SAY )
6. Hataki kusemwa au kukosolewa pindi anapokosea ( kuna kipindi alikua akionea watoto wa dada yangu kumbe wale watoto mmoja ambaye ni mkubwa alikua akiwaambia wazazi wake Baba na Mama ila wao walikua hawamwambii kwa kuhofia ataonekana hapendwi ila siku mtoto akaja kushtaki kwangu nikamchana kwamba anachokifanya sio kitu kizuri....AKANUNA HUYOOO...akaona haitoshi akajitenga yeye na mtoto wetu wa kwanza akawa anamtenga asicheze na wenzie, kuona hivi nikamwita tena kisha nikamwambia tena mbele ya Dada, alichosema dada ni kwamba hizo taarifa ye aliambiwa muda tu ila alishindwa kuniambia mimi kwa kuhofia nitaona anamchukia wifi yake )
7. Mbinafsi...Changu chake....chake ni chake hata kama mimi ndo nilipambana au nilifanikisha mpaka akakipata ila ni mwiko kunishirikisha...( Kuna kipindi alikua akifanya biashara flani sijawahi kushirikishwa kuhusu mapato wala nini yaani akimaliza biashara hela inafichwa hukooo...ila mimi nikirudi kazini nikitoka tu akawa anasachi mifuko ya suruali zangu ajue kuna pesa kiasi gani akikuta pesa, kesho yake ataanza kuniambia anadaiwa nikimwambia sina hela atanijibu zipo kiasi fulani kwenye suruali yangu yaani hata kama tayari ipo kwenye bajeti ya kodi ya nyumba ye atataka itumike anavyotaka yeye mwisho wa siku naanza kuhangaika peke yangu ye ananiangalia tu )
8. Anaigiza....yaani yeye anaishi ili kuwafurahisha majirani au watu, yupo tayari kwenda kumsaidia kazi jirani huku zilizopo ndani hakuzimaliza kisha baadae anaanza kulalamika kuchoka nikimwambia ananijibu mimi MSHAMBA WA MAISHA
9. Ameharibiwa na vipindi vya kwenye runinga hasa hivi vya kina Mama Terry bila kusahau na Bongo Movie
10. Anapenda kujionyesha....yaani anataka kuonekana yeye yupo juu kwa lugha nyepesi hataki kuishi katika uhalisia anataka kuonekana anaishi maisha fulani hivi ya hadhi ya juu
N.B;
KIPINDI CHA UCHUMBA TABIA HIZI SIKUWAHI KUZIONA MAANA NILIANZA NAE MAHUSIANO 2014 HADI 2018 MWISHONI NDO TULIFUNGA NDOA
Watoto Wana umri gani?Soma hayo niliyoorodhesha hapo juu kama wewe ungeweza kuvumilia
Kuhusu watoto najua atawalisha sumu ili wanione Baba yao mbaya au sifai maana kuna siku aliwahi kuniambia NIKIMUACHA NISITEGEMEE KWAMBA NINA WATOTO, nikamuuliza wakija kukuuliza "BABA YUPO WAPI?"akanijibu nitawaambia "AMEKUFA"
Kifupi naweza sema hapa nilikosea kuoa
Afadhari angekua ananiheshimu ila yeye anathamini watu baki na kuwaona wao ndo wathamani kwake kuliko mimi, mwisho wa siku akiumwa mimi ndo nahangaika nae
Hapo rafiki zangu wakija wakimuona tu, kesho yake kazini wataanza kunisifia na kuwaambia watu, "MKE WA KRAIT MZUUURI HALAFU MPOOOLE".
Kimoyo moyo nawajibu, "kaeni nae muone"
Kuna siku aliwahi kunijibu jeuri mbele ya Dada yangu, Dada alimaind siku hiyo hadi akamuuliza, "Siku ukisikia kaka yako anajibiwa hivyo na wifi yako mbele yako utajisikiaje?"
Daaah! WACHA NIISHIE HAPA MAANA NIMEKUTANA NA MENGI KIASI KWAMBA NIKIYAMBUKA NAHISI SITOOA TENA
Wewe Unakunywa pombe??Mbarikiwe sana wanaume wote ambao familia zenu ndo priority zenu
Mwanaume anaspend muda mwingi bar na marafiki kuliko anavyospend na familia yake. Kila siku unarudi usiku wa manane, familia yako unamuachia nani? Huwa inanichosha kwa kweli kuwa wavulana wasiotaka kukua, mtu ameoa ila anataka aendele kuning'iniza miguu bar kama paka na kurudi usiku as if hana watu wanaomuhitaji nyumbani. Siku akipata shida, wakesha bar wenzie huwaoni, ni familia inayosuffer. Sijui kwa nini watu hawajifunzi kuwa hata ukifa wasifu wa marehemu hautosema "marehemu ameacha marafiki 5 aliokuwa anakesha nao bar".
It hurts watoto wanamuona baba labda asubuhi tu wakiwa wanakwenda shule. Bado mama hawezi kulala kwa amani hadi mume arejee nyumbani. Unamtesa mkeo kukesha kukusubiri, afu ndo mtu anaingia mdomo unanuka na anataka kukugusa ptuuuu. Me ujinga wa kuamka saa 9 kumfungulia mlango mtu aliyekuwa kwenye starehe zake nilishasemaga sitosettle for that. Wavulana mbadilike
Hongera kwa kukwepa bomuYupo kwao, nimeshaachana nae baada ya kuona ni Bomu muda wowote lingeweza kulipuka na kusababisha maafa
Upogo? Nilikumiss loveVitimbi gani hvo ulipata pole sana waaminifu wapo wachache
Pole Sana Mkuu hao Viunbe Waitwao Wanawake Hata Mungu Alishamalizanaga Nao.Katika vitu ambavyo siwezi kuishi kwa kukosa Amani nmekubari matokeo siku nyingi ndoa imenishinda nmemuachia nyumba na mtt moja mwingine naishi nae mwenyewe bahati yngu nafanya kazi njee ya nchi nikija likizo kwa miaka 2 mara moja nafikia hotel mwenzi wngu moja nasepa kosea vyote ila ukikosea kuoa au kuolewa ni balaa kuliko kitu chchote duniani usije kbs kutoa lawama ukisikia mtu amejitoa Uhai ndoa zina mengi jamani...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo kweli lilikua bomu1. Alikua anataka kunitawala yaani yeye awe juu mimi niwe chini yake, yaani mimi niwe kama mwanamke na yeye awe mwanaume
2. Tendo la ndoa mpaka atake yeye au ajisikie
3. Jeuri na kiburi vyote vyake ana majibu ya hovyo yaani anaweza kunijibu anavyotaka kama anamjibu mwanae
4. Alikua anatabia ya kunikorofisha makusudi nikichukia ananisema vibaya kwa majirani na ndugu zake mwisho mimi naonekana mbaya ( HII NDIYO SABABU KUU ILIYOPELEKEA NIMUACHE )
Yaani naweza kusema yeye alikua akifurahi kuniona mimi nikiwa matatizoni maana kama kuna mtu ananidai basi yeye atasimama kidete utadhani yeye ndo anayenidai
5. Mbishi...ukimwelekeza kitu kwa nia ya kumwelewesha ye hataki anajiona mjuaji kwa kila kitu
Yaani yeye akishasema kitu ndo kasema hivyo anachotaka ni utekelezaji tu(FINAL SAY )
6. Hataki kusemwa au kukosolewa pindi anapokosea ( kuna kipindi alikua akionea watoto wa dada yangu kumbe wale watoto mmoja ambaye ni mkubwa alikua akiwaambia wazazi wake Baba na Mama ila wao walikua hawamwambii kwa kuhofia ataonekana hapendwi ila siku mtoto akaja kushtaki kwangu nikamchana kwamba anachokifanya sio kitu kizuri....AKANUNA HUYOOO...akaona haitoshi akajitenga yeye na mtoto wetu wa kwanza akawa anamtenga asicheze na wenzie, kuona hivi nikamwita tena kisha nikamwambia tena mbele ya Dada, alichosema dada ni kwamba hizo taarifa ye aliambiwa muda tu ila alishindwa kuniambia mimi kwa kuhofia nitaona anamchukia wifi yake )
7. Mbinafsi...Changu chake....chake ni chake hata kama mimi ndo nilipambana au nilifanikisha mpaka akakipata ila ni mwiko kunishirikisha...( Kuna kipindi alikua akifanya biashara flani sijawahi kushirikishwa kuhusu mapato wala nini yaani akimaliza biashara hela inafichwa hukooo...ila mimi nikirudi kazini nikitoka tu akawa anasachi mifuko ya suruali zangu ajue kuna pesa kiasi gani akikuta pesa, kesho yake ataanza kuniambia anadaiwa nikimwambia sina hela atanijibu zipo kiasi fulani kwenye suruali yangu yaani hata kama tayari ipo kwenye bajeti ya kodi ya nyumba ye atataka itumike anavyotaka yeye mwisho wa siku naanza kuhangaika peke yangu ye ananiangalia tu )
8. Anaigiza....yaani yeye anaishi ili kuwafurahisha majirani au watu, yupo tayari kwenda kumsaidia kazi jirani huku zilizopo ndani hakuzimaliza kisha baadae anaanza kulalamika kuchoka nikimwambia ananijibu mimi MSHAMBA WA MAISHA
9. Ameharibiwa na vipindi vya kwenye runinga hasa hivi vya kina Mama Terry bila kusahau na Bongo Movie
10. Anapenda kujionyesha....yaani anataka kuonekana yeye yupo juu kwa lugha nyepesi hataki kuishi katika uhalisia anataka kuonekana anaishi maisha fulani hivi ya hadhi ya juu
N.B;
KIPINDI CHA UCHUMBA TABIA HIZI SIKUWAHI KUZIONA MAANA NILIANZA NAE MAHUSIANO 2014 HADI 2018 MWISHONI NDO TULIFUNGA NDOA
Nipo mami nimejaa teleUpogo? Nilikumiss love
Huyu nilishawahi kufuma msg za kimapenzi zaidi ya mara tano, ila hajawahi kuniomba msamaha
Sana sana akawa ananijibu jeuri tu mwisho wa siku nikitaka kumwacha ndo anajifanya kuniomba msamaha kwa kudai ndo alikua anatongozwa, nikahack mawasiliano yake kisha nikawa nachart na jamaa na jamaa akawa ananijibu kama kawaida akifikiri anachart na mubusika (shukrani ziwaendee IT ) hapo ndo nikawa napata uhakika kama kweli jamaa ndo alikua anafukuzia papuchi
HUYU TANGU NIWE NAE AMENIOMBA MSAMAHA MARA MBILI TU TENA HIZO ZOTE NI BAADA YA KUTAKA KUMUACHA ILA SASA HV NDO BASI TENA HATA AKIJA KUNIOMBA TENA MSAMAHA NITAMSAMEHE ILA HATAKIA MKE WANGU TENA MAANA ATASABABISHA NICHUKIE WANAWAKE WOTE
Huenda wako kabadilika, ila huyu hawezi kubadilika maana kama angekua wa kubadilika angebadilika tangu nilipompa likizo
Alichokifanya sasa baada ya kusikia namrudisha kwao akafungasha vitu vyote alivyokuja navyo na nilivyonunua kipindi naishi nae
Siku ya pili akaenda kufungua kesi ya madai ya malezi ya watoto ( hapa nikashtuka kwamba anataka kutumia watoto kupata pesa wakati hata asingeenda mimi ningewahudumia wanangu kama kawaida )
Baada ya hapo akawa anakuja kutembelea rafiki zake ( hapo sijui kwao alikua anaaga anaenda wapi maana alikua analala kwa rafiki zake anaondoka siku ya pili ) hapo alikua akinikuta nimekaa nje ananipita kama kisiki nami nikawa namkaushia tu
Akawa akikuta mlango wa chumbani kwangu sijafunga na funguo akawa anachungulia na kusepa sijui alikua anafikiri nimenunua vingine?!![emoji5]
Hao rafiki zake wenyewe hawajaolewa mmoja ndo kamaliza kidato cha nne mwingine anafundishwa kushona nguo
Wiki iliyopita ndo sikumuona kesho naenda kuongea na mzazi wake na kutoa TALAKA rasmi
Huyu mkeo ni mwanamke mpumbavu mno hasa number 4 ka kubuhu au ulioa mwanamke wauswahilini maana duh ana akili za kushikiwa huyo mambo ya ndoa na majirani wapi na wapi1. Alikua anataka kunitawala yaani yeye awe juu mimi niwe chini yake, yaani mimi niwe kama mwanamke na yeye awe mwanaume
2. Tendo la ndoa mpaka atake yeye au ajisikie
3. Jeuri na kiburi vyote vyake ana majibu ya hovyo yaani anaweza kunijibu anavyotaka kama anamjibu mwanae
4. Alikua anatabia ya kunikorofisha makusudi nikichukia ananisema vibaya kwa majirani na ndugu zake mwisho mimi naonekana mbaya ( HII NDIYO SABABU KUU ILIYOPELEKEA NIMUACHE )
Yaani naweza kusema yeye alikua akifurahi kuniona mimi nikiwa matatizoni maana kama kuna mtu ananidai basi yeye atasimama kidete utadhani yeye ndo anayenidai
5. Mbishi...ukimwelekeza kitu kwa nia ya kumwelewesha ye hataki anajiona mjuaji kwa kila kitu
Yaani yeye akishasema kitu ndo kasema hivyo anachotaka ni utekelezaji tu(FINAL SAY )
6. Hataki kusemwa au kukosolewa pindi anapokosea ( kuna kipindi alikua akionea watoto wa dada yangu kumbe wale watoto mmoja ambaye ni mkubwa alikua akiwaambia wazazi wake Baba na Mama ila wao walikua hawamwambii kwa kuhofia ataonekana hapendwi ila siku mtoto akaja kushtaki kwangu nikamchana kwamba anachokifanya sio kitu kizuri....AKANUNA HUYOOO...akaona haitoshi akajitenga yeye na mtoto wetu wa kwanza akawa anamtenga asicheze na wenzie, kuona hivi nikamwita tena kisha nikamwambia tena mbele ya Dada, alichosema dada ni kwamba hizo taarifa ye aliambiwa muda tu ila alishindwa kuniambia mimi kwa kuhofia nitaona anamchukia wifi yake )
7. Mbinafsi...Changu chake....chake ni chake hata kama mimi ndo nilipambana au nilifanikisha mpaka akakipata ila ni mwiko kunishirikisha...( Kuna kipindi alikua akifanya biashara flani sijawahi kushirikishwa kuhusu mapato wala nini yaani akimaliza biashara hela inafichwa hukooo...ila mimi nikirudi kazini nikitoka tu akawa anasachi mifuko ya suruali zangu ajue kuna pesa kiasi gani akikuta pesa, kesho yake ataanza kuniambia anadaiwa nikimwambia sina hela atanijibu zipo kiasi fulani kwenye suruali yangu yaani hata kama tayari ipo kwenye bajeti ya kodi ya nyumba ye atataka itumike anavyotaka yeye mwisho wa siku naanza kuhangaika peke yangu ye ananiangalia tu )
8. Anaigiza....yaani yeye anaishi ili kuwafurahisha majirani au watu, yupo tayari kwenda kumsaidia kazi jirani huku zilizopo ndani hakuzimaliza kisha baadae anaanza kulalamika kuchoka nikimwambia ananijibu mimi MSHAMBA WA MAISHA
9. Ameharibiwa na vipindi vya kwenye runinga hasa hivi vya kina Mama Terry bila kusahau na Bongo Movie
10. Anapenda kujionyesha....yaani anataka kuonekana yeye yupo juu kwa lugha nyepesi hataki kuishi katika uhalisia anataka kuonekana anaishi maisha fulani hivi ya hadhi ya juu
N.B;
KIPINDI CHA UCHUMBA TABIA HIZI SIKUWAHI KUZIONA MAANA NILIANZA NAE MAHUSIANO 2014 HADI 2018 MWISHONI NDO TULIFUNGA NDOA