Mada maalum kwa wanandoa

Mada maalum kwa wanandoa

Soma hayo niliyoorodhesha hapo juu kama wewe ungeweza kuvumilia

Kuhusu watoto najua atawalisha sumu ili wanione Baba yao mbaya au sifai maana kuna siku aliwahi kuniambia NIKIMUACHA NISITEGEMEE KWAMBA NINA WATOTO, nikamuuliza wakija kukuuliza "BABA YUPO WAPI?"akanijibu nitawaambia "AMEKUFA"

Kifupi naweza sema hapa nilikosea kuoa
Mkuu nimesoma kama ndiyo hayo mmm pole sana yaani ndoa mwaka jana leo haipo duu nakupa pole tena anayejua matizo yule anaye ishi nayo pole tena huyo lilikuwa jipu kubwa lisilo iva
 
Mimi pia ilishanitokea hiyo tena nilienda nae shopping, kumuuliza umeuziwa kwa sh ngp akaanza kunijibu kwa nyodo kama anamjibu
Mwanae

Nikamwambia ntakutandika makofi sasa hivi huwezi kunidharirisha mbele ya mkusanyiko wa watu akakaa kimya

Yaani kuanzia hapo ikawa mwisho kuongozana nae sehemu, maana nikitoka nae tu lazima atanitibua

Yaani kifupi anatabia za hovyo

Na hapo vimeshafanyika vikao vya kutosha, akijitahidi kubadilika atakaa wiki tatu baada ya hapo anarudia tabia zake za awali kama kawaida

KESHO NAENDA KUTOA TALAKA RASMI
Duu hata kama sijakamilika lakini sio hivyo, yawezekana malezi
 
1. Alikua anataka kunitawala yaani yeye awe juu mimi niwe chini yake, yaani mimi niwe kama mwanamke na yeye awe mwanaume

2. Tendo la ndoa mpaka atake yeye au ajisikie

3. Jeuri na kiburi vyote vyake ana majibu ya hovyo yaani anaweza kunijibu anavyotaka kama anamjibu mwanae

4. Alikua anatabia ya kunikorofisha makusudi nikichukia ananisema vibaya kwa majirani na ndugu zake mwisho mimi naonekana mbaya ( HII NDIYO SABABU KUU ILIYOPELEKEA NIMUACHE )
Yaani naweza kusema yeye alikua akifurahi kuniona mimi nikiwa matatizoni maana kama kuna mtu ananidai basi yeye atasimama kidete utadhani yeye ndo anayenidai

5. Mbishi...ukimwelekeza kitu kwa nia ya kumwelewesha ye hataki anajiona mjuaji kwa kila kitu

Yaani yeye akishasema kitu ndo kasema hivyo anachotaka ni utekelezaji tu(FINAL SAY )

6. Hataki kusemwa au kukosolewa pindi anapokosea ( kuna kipindi alikua akionea watoto wa dada yangu kumbe wale watoto mmoja ambaye ni mkubwa alikua akiwaambia wazazi wake Baba na Mama ila wao walikua hawamwambii kwa kuhofia ataonekana hapendwi ila siku mtoto akaja kushtaki kwangu nikamchana kwamba anachokifanya sio kitu kizuri....AKANUNA HUYOOO...akaona haitoshi akajitenga yeye na mtoto wetu wa kwanza akawa anamtenga asicheze na wenzie, kuona hivi nikamwita tena kisha nikamwambia tena mbele ya Dada, alichosema dada ni kwamba hizo taarifa ye aliambiwa muda tu ila alishindwa kuniambia mimi kwa kuhofia nitaona anamchukia wifi yake )

7. Mbinafsi...Changu chake....chake ni chake hata kama mimi ndo nilipambana au nilifanikisha mpaka akakipata ila ni mwiko kunishirikisha...( Kuna kipindi alikua akifanya biashara flani sijawahi kushirikishwa kuhusu mapato wala nini yaani akimaliza biashara hela inafichwa hukooo...ila mimi nikirudi kazini nikitoka tu akawa anasachi mifuko ya suruali zangu ajue kuna pesa kiasi gani akikuta pesa, kesho yake ataanza kuniambia anadaiwa nikimwambia sina hela atanijibu zipo kiasi fulani kwenye suruali yangu yaani hata kama tayari ipo kwenye bajeti ya kodi ya nyumba ye atataka itumike anavyotaka yeye mwisho wa siku naanza kuhangaika peke yangu ye ananiangalia tu )

8. Anaigiza....yaani yeye anaishi ili kuwafurahisha majirani au watu, yupo tayari kwenda kumsaidia kazi jirani huku zilizopo ndani hakuzimaliza kisha baadae anaanza kulalamika kuchoka nikimwambia ananijibu mimi MSHAMBA WA MAISHA

9. Ameharibiwa na vipindi vya kwenye runinga hasa hivi vya kina Mama Terry bila kusahau na Bongo Movie

10. Anapenda kujionyesha....yaani anataka kuonekana yeye yupo juu kwa lugha nyepesi hataki kuishi katika uhalisia anataka kuonekana anaishi maisha fulani hivi ya hadhi ya juu

N.B;

KIPINDI CHA UCHUMBA TABIA HIZI SIKUWAHI KUZIONA MAANA NILIANZA NAE MAHUSIANO 2014 HADI 2018 MWISHONI NDO TULIFUNGA NDOA
Mkuu kwa haya yote hata mie hapana
 
Huenda wako kabadilika, ila huyu hawezi kubadilika maana kama angekua wa kubadilika angebadilika tangu nilipompa likizo

Alichokifanya sasa baada ya kusikia namrudisha kwao akafungasha vitu vyote alivyokuja navyo na nilivyonunua kipindi naishi nae

Siku ya pili akaenda kufungua kesi ya madai ya malezi ya watoto ( hapa nikashtuka kwamba anataka kutumia watoto kupata pesa wakati hata asingeenda mimi ningewahudumia wanangu kama kawaida )

Baada ya hapo akawa anakuja kutembelea rafiki zake ( hapo sijui kwao alikua anaaga anaenda wapi maana alikua analala kwa rafiki zake anaondoka siku ya pili ) hapo alikua akinikuta nimekaa nje ananipita kama kisiki nami nikawa namkaushia tu

Akawa akikuta mlango wa chumbani kwangu sijafunga na funguo akawa anachungulia na kusepa sijui alikua anafikiri nimenunua vingine?!![emoji5]

Hao rafiki zake wenyewe hawajaolewa mmoja ndo kamaliza kidato cha nne mwingine anafundishwa kushona nguo

Wiki iliyopita ndo sikumuona kesho naenda kuongea na mzazi wake na kutoa TALAKA rasmi
Huyo hakuwa mke janga, na hapo unapoishi ukitaka kuoa chukua mbali au ikiwezekana hama kabisa kama umepanga, kuna ndugu alikuwa naye aina hiyo kamfirisi jamani mpaka kuachana mmewe hana kitu kabisa
Hapo inawezekana malezi na makuzi yake, pia kabila au malezi ya mzazi mmoja asiyejitambua kumlea mtoto
 
1. Alikua anataka kunitawala yaani yeye awe juu mimi niwe chini yake, yaani mimi niwe kama mwanamke na yeye awe mwanaume

2. Tendo la ndoa mpaka atake yeye au ajisikie

3. Jeuri na kiburi vyote vyake ana majibu ya hovyo yaani anaweza kunijibu anavyotaka kama anamjibu mwanae

4. Alikua anatabia ya kunikorofisha makusudi nikichukia ananisema vibaya kwa majirani na ndugu zake mwisho mimi naonekana mbaya ( HII NDIYO SABABU KUU ILIYOPELEKEA NIMUACHE )
Yaani naweza kusema yeye alikua akifurahi kuniona mimi nikiwa matatizoni maana kama kuna mtu ananidai basi yeye atasimama kidete utadhani yeye ndo anayenidai

5. Mbishi...ukimwelekeza kitu kwa nia ya kumwelewesha ye hataki anajiona mjuaji kwa kila kitu

Yaani yeye akishasema kitu ndo kasema hivyo anachotaka ni utekelezaji tu(FINAL SAY )

6. Hataki kusemwa au kukosolewa pindi anapokosea ( kuna kipindi alikua akionea watoto wa dada yangu kumbe wale watoto mmoja ambaye ni mkubwa alikua akiwaambia wazazi wake Baba na Mama ila wao walikua hawamwambii kwa kuhofia ataonekana hapendwi ila siku mtoto akaja kushtaki kwangu nikamchana kwamba anachokifanya sio kitu kizuri....AKANUNA HUYOOO...akaona haitoshi akajitenga yeye na mtoto wetu wa kwanza akawa anamtenga asicheze na wenzie, kuona hivi nikamwita tena kisha nikamwambia tena mbele ya Dada, alichosema dada ni kwamba hizo taarifa ye aliambiwa muda tu ila alishindwa kuniambia mimi kwa kuhofia nitaona anamchukia wifi yake )

7. Mbinafsi...Changu chake....chake ni chake hata kama mimi ndo nilipambana au nilifanikisha mpaka akakipata ila ni mwiko kunishirikisha...( Kuna kipindi alikua akifanya biashara flani sijawahi kushirikishwa kuhusu mapato wala nini yaani akimaliza biashara hela inafichwa hukooo...ila mimi nikirudi kazini nikitoka tu akawa anasachi mifuko ya suruali zangu ajue kuna pesa kiasi gani akikuta pesa, kesho yake ataanza kuniambia anadaiwa nikimwambia sina hela atanijibu zipo kiasi fulani kwenye suruali yangu yaani hata kama tayari ipo kwenye bajeti ya kodi ya nyumba ye atataka itumike anavyotaka yeye mwisho wa siku naanza kuhangaika peke yangu ye ananiangalia tu )

8. Anaigiza....yaani yeye anaishi ili kuwafurahisha majirani au watu, yupo tayari kwenda kumsaidia kazi jirani huku zilizopo ndani hakuzimaliza kisha baadae anaanza kulalamika kuchoka nikimwambia ananijibu mimi MSHAMBA WA MAISHA

9. Ameharibiwa na vipindi vya kwenye runinga hasa hivi vya kina Mama Terry bila kusahau na Bongo Movie

10. Anapenda kujionyesha....yaani anataka kuonekana yeye yupo juu kwa lugha nyepesi hataki kuishi katika uhalisia anataka kuonekana anaishi maisha fulani hivi ya hadhi ya juu

N.B;

KIPINDI CHA UCHUMBA TABIA HIZI SIKUWAHI KUZIONA MAANA NILIANZA NAE MAHUSIANO 2014 HADI 2018 MWISHONI NDO TULIFUNGA NDOA
Aiseee..
Akhsante Mungu hukuniumba wa kiume maana ningeumiza watoto wa watu kwa vipigo.
Hivi Kuna wadada wapo hivi kweli!?
Mkuu ungemnyoosha tangu mwanzo wa kiburi chake
 
Soma hayo niliyoorodhesha hapo juu kama wewe ungeweza kuvumilia

Kuhusu watoto najua atawalisha sumu ili wanione Baba yao mbaya au sifai maana kuna siku aliwahi kuniambia NIKIMUACHA NISITEGEMEE KWAMBA NINA WATOTO, nikamuuliza wakija kukuuliza "BABA YUPO WAPI?"akanijibu nitawaambia "AMEKUFA"

Kifupi naweza sema hapa nilikosea kuoa
Watoto Wana umri gani?
 
Mmmm
Afadhari angekua ananiheshimu ila yeye anathamini watu baki na kuwaona wao ndo wathamani kwake kuliko mimi, mwisho wa siku akiumwa mimi ndo nahangaika nae

Hapo rafiki zangu wakija wakimuona tu, kesho yake kazini wataanza kunisifia na kuwaambia watu, "MKE WA KRAIT MZUUURI HALAFU MPOOOLE".

Kimoyo moyo nawajibu, "kaeni nae muone"

Kuna siku aliwahi kunijibu jeuri mbele ya Dada yangu, Dada alimaind siku hiyo hadi akamuuliza, "Siku ukisikia kaka yako anajibiwa hivyo na wifi yako mbele yako utajisikiaje?"

Daaah! WACHA NIISHIE HAPA MAANA NIMEKUTANA NA MENGI KIASI KWAMBA NIKIYAMBUKA NAHISI SITOOA TENA
 
Mbarikiwe sana wanaume wote ambao familia zenu ndo priority zenu

Mwanaume anaspend muda mwingi bar na marafiki kuliko anavyospend na familia yake. Kila siku unarudi usiku wa manane, familia yako unamuachia nani? Huwa inanichosha kwa kweli kuwa wavulana wasiotaka kukua, mtu ameoa ila anataka aendele kuning'iniza miguu bar kama paka na kurudi usiku as if hana watu wanaomuhitaji nyumbani. Siku akipata shida, wakesha bar wenzie huwaoni, ni familia inayosuffer. Sijui kwa nini watu hawajifunzi kuwa hata ukifa wasifu wa marehemu hautosema "marehemu ameacha marafiki 5 aliokuwa anakesha nao bar".

It hurts watoto wanamuona baba labda asubuhi tu wakiwa wanakwenda shule. Bado mama hawezi kulala kwa amani hadi mume arejee nyumbani. Unamtesa mkeo kukesha kukusubiri, afu ndo mtu anaingia mdomo unanuka na anataka kukugusa ptuuuu. Me ujinga wa kuamka saa 9 kumfungulia mlango mtu aliyekuwa kwenye starehe zake nilishasemaga sitosettle for that. Wavulana mbadilike
Wewe Unakunywa pombe??
 
Katika vitu ambavyo siwezi kuishi kwa kukosa Amani nmekubari matokeo siku nyingi ndoa imenishinda nmemuachia nyumba na mtt moja mwingine naishi nae mwenyewe bahati yngu nafanya kazi njee ya nchi nikija likizo kwa miaka 2 mara moja nafikia hotel mwenzi wngu moja nasepa kosea vyote ila ukikosea kuoa au kuolewa ni balaa kuliko kitu chchote duniani usije kbs kutoa lawama ukisikia mtu amejitoa Uhai ndoa zina mengi jamani...

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole Sana Mkuu hao Viunbe Waitwao Wanawake Hata Mungu Alishamalizanaga Nao.
 
1. Alikua anataka kunitawala yaani yeye awe juu mimi niwe chini yake, yaani mimi niwe kama mwanamke na yeye awe mwanaume

2. Tendo la ndoa mpaka atake yeye au ajisikie

3. Jeuri na kiburi vyote vyake ana majibu ya hovyo yaani anaweza kunijibu anavyotaka kama anamjibu mwanae

4. Alikua anatabia ya kunikorofisha makusudi nikichukia ananisema vibaya kwa majirani na ndugu zake mwisho mimi naonekana mbaya ( HII NDIYO SABABU KUU ILIYOPELEKEA NIMUACHE )
Yaani naweza kusema yeye alikua akifurahi kuniona mimi nikiwa matatizoni maana kama kuna mtu ananidai basi yeye atasimama kidete utadhani yeye ndo anayenidai

5. Mbishi...ukimwelekeza kitu kwa nia ya kumwelewesha ye hataki anajiona mjuaji kwa kila kitu

Yaani yeye akishasema kitu ndo kasema hivyo anachotaka ni utekelezaji tu(FINAL SAY )

6. Hataki kusemwa au kukosolewa pindi anapokosea ( kuna kipindi alikua akionea watoto wa dada yangu kumbe wale watoto mmoja ambaye ni mkubwa alikua akiwaambia wazazi wake Baba na Mama ila wao walikua hawamwambii kwa kuhofia ataonekana hapendwi ila siku mtoto akaja kushtaki kwangu nikamchana kwamba anachokifanya sio kitu kizuri....AKANUNA HUYOOO...akaona haitoshi akajitenga yeye na mtoto wetu wa kwanza akawa anamtenga asicheze na wenzie, kuona hivi nikamwita tena kisha nikamwambia tena mbele ya Dada, alichosema dada ni kwamba hizo taarifa ye aliambiwa muda tu ila alishindwa kuniambia mimi kwa kuhofia nitaona anamchukia wifi yake )

7. Mbinafsi...Changu chake....chake ni chake hata kama mimi ndo nilipambana au nilifanikisha mpaka akakipata ila ni mwiko kunishirikisha...( Kuna kipindi alikua akifanya biashara flani sijawahi kushirikishwa kuhusu mapato wala nini yaani akimaliza biashara hela inafichwa hukooo...ila mimi nikirudi kazini nikitoka tu akawa anasachi mifuko ya suruali zangu ajue kuna pesa kiasi gani akikuta pesa, kesho yake ataanza kuniambia anadaiwa nikimwambia sina hela atanijibu zipo kiasi fulani kwenye suruali yangu yaani hata kama tayari ipo kwenye bajeti ya kodi ya nyumba ye atataka itumike anavyotaka yeye mwisho wa siku naanza kuhangaika peke yangu ye ananiangalia tu )

8. Anaigiza....yaani yeye anaishi ili kuwafurahisha majirani au watu, yupo tayari kwenda kumsaidia kazi jirani huku zilizopo ndani hakuzimaliza kisha baadae anaanza kulalamika kuchoka nikimwambia ananijibu mimi MSHAMBA WA MAISHA

9. Ameharibiwa na vipindi vya kwenye runinga hasa hivi vya kina Mama Terry bila kusahau na Bongo Movie

10. Anapenda kujionyesha....yaani anataka kuonekana yeye yupo juu kwa lugha nyepesi hataki kuishi katika uhalisia anataka kuonekana anaishi maisha fulani hivi ya hadhi ya juu

N.B;

KIPINDI CHA UCHUMBA TABIA HIZI SIKUWAHI KUZIONA MAANA NILIANZA NAE MAHUSIANO 2014 HADI 2018 MWISHONI NDO TULIFUNGA NDOA
Hilo kweli lilikua bomu
 
Move on acha kuishi na kichomi aisee
Huyu nilishawahi kufuma msg za kimapenzi zaidi ya mara tano, ila hajawahi kuniomba msamaha

Sana sana akawa ananijibu jeuri tu mwisho wa siku nikitaka kumwacha ndo anajifanya kuniomba msamaha kwa kudai ndo alikua anatongozwa, nikahack mawasiliano yake kisha nikawa nachart na jamaa na jamaa akawa ananijibu kama kawaida akifikiri anachart na mubusika (shukrani ziwaendee IT ) hapo ndo nikawa napata uhakika kama kweli jamaa ndo alikua anafukuzia papuchi

HUYU TANGU NIWE NAE AMENIOMBA MSAMAHA MARA MBILI TU TENA HIZO ZOTE NI BAADA YA KUTAKA KUMUACHA ILA SASA HV NDO BASI TENA HATA AKIJA KUNIOMBA TENA MSAMAHA NITAMSAMEHE ILA HATAKIA MKE WANGU TENA MAANA ATASABABISHA NICHUKIE WANAWAKE WOTE
 
Yani rafiki yake MTU wa form four, na mshonaji hapo nimepata kujua uelewa wa mkeo jinsi ulivo mdogo, mda wote alificha makucha baada ya ndoa kayatoa
Huenda wako kabadilika, ila huyu hawezi kubadilika maana kama angekua wa kubadilika angebadilika tangu nilipompa likizo

Alichokifanya sasa baada ya kusikia namrudisha kwao akafungasha vitu vyote alivyokuja navyo na nilivyonunua kipindi naishi nae

Siku ya pili akaenda kufungua kesi ya madai ya malezi ya watoto ( hapa nikashtuka kwamba anataka kutumia watoto kupata pesa wakati hata asingeenda mimi ningewahudumia wanangu kama kawaida )

Baada ya hapo akawa anakuja kutembelea rafiki zake ( hapo sijui kwao alikua anaaga anaenda wapi maana alikua analala kwa rafiki zake anaondoka siku ya pili ) hapo alikua akinikuta nimekaa nje ananipita kama kisiki nami nikawa namkaushia tu

Akawa akikuta mlango wa chumbani kwangu sijafunga na funguo akawa anachungulia na kusepa sijui alikua anafikiri nimenunua vingine?!![emoji5]

Hao rafiki zake wenyewe hawajaolewa mmoja ndo kamaliza kidato cha nne mwingine anafundishwa kushona nguo

Wiki iliyopita ndo sikumuona kesho naenda kuongea na mzazi wake na kutoa TALAKA rasmi
 
1. Alikua anataka kunitawala yaani yeye awe juu mimi niwe chini yake, yaani mimi niwe kama mwanamke na yeye awe mwanaume

2. Tendo la ndoa mpaka atake yeye au ajisikie

3. Jeuri na kiburi vyote vyake ana majibu ya hovyo yaani anaweza kunijibu anavyotaka kama anamjibu mwanae

4. Alikua anatabia ya kunikorofisha makusudi nikichukia ananisema vibaya kwa majirani na ndugu zake mwisho mimi naonekana mbaya ( HII NDIYO SABABU KUU ILIYOPELEKEA NIMUACHE )
Yaani naweza kusema yeye alikua akifurahi kuniona mimi nikiwa matatizoni maana kama kuna mtu ananidai basi yeye atasimama kidete utadhani yeye ndo anayenidai

5. Mbishi...ukimwelekeza kitu kwa nia ya kumwelewesha ye hataki anajiona mjuaji kwa kila kitu

Yaani yeye akishasema kitu ndo kasema hivyo anachotaka ni utekelezaji tu(FINAL SAY )

6. Hataki kusemwa au kukosolewa pindi anapokosea ( kuna kipindi alikua akionea watoto wa dada yangu kumbe wale watoto mmoja ambaye ni mkubwa alikua akiwaambia wazazi wake Baba na Mama ila wao walikua hawamwambii kwa kuhofia ataonekana hapendwi ila siku mtoto akaja kushtaki kwangu nikamchana kwamba anachokifanya sio kitu kizuri....AKANUNA HUYOOO...akaona haitoshi akajitenga yeye na mtoto wetu wa kwanza akawa anamtenga asicheze na wenzie, kuona hivi nikamwita tena kisha nikamwambia tena mbele ya Dada, alichosema dada ni kwamba hizo taarifa ye aliambiwa muda tu ila alishindwa kuniambia mimi kwa kuhofia nitaona anamchukia wifi yake )

7. Mbinafsi...Changu chake....chake ni chake hata kama mimi ndo nilipambana au nilifanikisha mpaka akakipata ila ni mwiko kunishirikisha...( Kuna kipindi alikua akifanya biashara flani sijawahi kushirikishwa kuhusu mapato wala nini yaani akimaliza biashara hela inafichwa hukooo...ila mimi nikirudi kazini nikitoka tu akawa anasachi mifuko ya suruali zangu ajue kuna pesa kiasi gani akikuta pesa, kesho yake ataanza kuniambia anadaiwa nikimwambia sina hela atanijibu zipo kiasi fulani kwenye suruali yangu yaani hata kama tayari ipo kwenye bajeti ya kodi ya nyumba ye atataka itumike anavyotaka yeye mwisho wa siku naanza kuhangaika peke yangu ye ananiangalia tu )

8. Anaigiza....yaani yeye anaishi ili kuwafurahisha majirani au watu, yupo tayari kwenda kumsaidia kazi jirani huku zilizopo ndani hakuzimaliza kisha baadae anaanza kulalamika kuchoka nikimwambia ananijibu mimi MSHAMBA WA MAISHA

9. Ameharibiwa na vipindi vya kwenye runinga hasa hivi vya kina Mama Terry bila kusahau na Bongo Movie

10. Anapenda kujionyesha....yaani anataka kuonekana yeye yupo juu kwa lugha nyepesi hataki kuishi katika uhalisia anataka kuonekana anaishi maisha fulani hivi ya hadhi ya juu

N.B;

KIPINDI CHA UCHUMBA TABIA HIZI SIKUWAHI KUZIONA MAANA NILIANZA NAE MAHUSIANO 2014 HADI 2018 MWISHONI NDO TULIFUNGA NDOA
Huyu mkeo ni mwanamke mpumbavu mno hasa number 4 ka kubuhu au ulioa mwanamke wauswahilini maana duh ana akili za kushikiwa huyo mambo ya ndoa na majirani wapi na wapi
 
Huyu mkeo ni mwanamke mpumbavu mno hasa number 4 ka kubuhu au ulioa mwanamke wauswahilini maana duh ana akili za kushikiwa huyo mambo ya ndoa na majirani wapi na wapi
Kuna baadhi ya tabia huja kujitokeza baadaye kabisa
 
Back
Top Bottom