Hahaa yule yule, leten matatizo yenu yote niwape uzoefu, ndoa tamu Sana Kama kweli mlipendana tangu day one, sio ulipenda pesa ukifika ndan unazizoea unaanza kutafuta mambo yako.
Afu mjifunze kuneutralize interest zenu kwa kujali furaha pande zote, ongeen pamoja kwa kila Jambo na kubwa zaidi mkiweza kujua maisha yenu Ni yenu tu hayamhusu yeyote nje itakua poa Sana.
Na ndoa zenye furaha zaidi Ni watu wanaojua kipato Cha mwenzie, ujue ukificha anakufikiria unapata nyingi kumbe huna hata kumi.
Mjifunze pia kuwa na budget like % Fulani ya maendeleo, nyingine ya kula Bata na nyingine kila mtu atume kwao na other personal needs.