Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Now ndoa yangu ni kama majirani..Kwenye ndoa kuna mambo mengi sana.
Kuna wakati mkeo anakuwa rafiki yako.
Wakati mwingine anakuwa adui yako.
Wakati mwingine anakuwa boss wako vice versa is also true.
Wakati mwingine mume unakuwa polisi na mke mfungwa vice versa is also true
Wakati mwingine chumbani kunageuka ulingo wa masumbwi na watoto washangiliaji
Wakati mwingine mnakuwa majirani kila mtu hajui kinachoendelea kwa jirani yake
Wakati mwingine mnakuwa mtu mmoja indivisible being
Wakati mwingine mmoja anakuwa Mtoto na mwingine ni mzazi.
Na haya ndiyo huwa maisha yetu ya kila siku ndoani.
Asikwambie mtu hakuna Kitu kinachoongeza heshima na hadhi ya mtu kama ndoa.
Onyo. Usiulizie matumizi ya hela za mkeo jifanye huoni yanayoendelea.
Sent using Jamii Forums mobile app
I like that...hata kwa kujipendekeza ni vizuri watu wakigombana wapeane nafasi ya kusuluhishana. Naiga mfano huuNdoa ni nzur kama umeoa mkeo, au umeolewa na mumeo, kuna watu wameoa watu ambao hawakupaswa kua pamoja, ninaamin ndo inaweza kua nzuri kama kila mtu atafahamu nafasi yake kwenye ndoa, mume ajifahamu kua yeye ni mume hata kama hana hela, hata kama hajalewla, kuna mtu mpaka awe na fedha ndo furaha inakuwepo nyumbani!
Mim mwaka wa 10 huu, tunagombana, tunapatana, lakini mwisho wa siku tumeweka makubaliano na mwenzangu kwamba hakuna kulala na kinyongo/sumu, tukigombana basi mmoja wetu atajipendekeza mpaka tutapatana hata kama ni kwa unafiki ila tukiamka asubuh ni siku nyingine yameisha!
[emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]%kubwa ya ndoa zipo kwa ajili ya kulea watoto tuu, ukweli ndo huo ndoa nyingi ni vitanzi na mateso yasiyoisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inategemea na utayari na kama bado hisia zipoI like that...hata kwa kujipendekeza ni vizuri watu wakigombana wapeane nafasi ya kusuluhishana. Naiga mfano huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh [emoji22][emoji22]demi jana sijalala..hahaa had saa6 ananitxt..anatia huruma...anaomba msamaha tu...anapiga simu ila sirudi demi...sema watoto wananifanya nilie kweli kweli..[emoji23][emoji23]nikitoboa nitakupitisha nilipopita[emoji23][emoji23]..shoga kuna ugumu..alafu naambiwa eti ww hyo age huez kaa alone lazima utaolewa tena[emoji58][emoji58][emoji58]napata kichefuchefu
Ndoa za vijana wengi ziko katika hali hiiHakuna upendo, hakuna sharing, hakuna majadiliano ya changamoto, ya maumivu ya kushinda na kushindwa, ya kutiana moyo na kufarijiana... Kila mtu kivyake... Kila mtu na lwake...
[emoji15][emoji848]
Ndio maana mafanikio ya Diamond na Magufuli watu hawayapendi wanapenda habari mbaya tuIn short binadamu hatupendi habari nzuri
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Ndio maana mafanikio ya Diamond na Magufuli watu hawayapendi wanapenda habari mbaya tu
Wewe ulikua unajigusa kwake ,tatizo mnataka upande mmojamwenzangu anafanya online shoping had za watoto ila mie ht hajigusi👍
Nyie ndio mnaowafanya watu wachomwe gunia mbili za mkaa,kuwataka watu warudi kwa waume zao kisa watotoNakufatilia sana nakupa pole mnooo lakini ebu waangalie watoto tu huyo mwanaume atakuwa kajifunza mnoo my dear ebu mpe nafasi ya mwisho kwa ajili ya watoto tu
Ukweli mtupu...Nyie ndio mnaowafanya watu wachomwe gunia mbili za mkaa,kuwataka watu warudi kwa waume zao kisa watoto