witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Haaa haaa haaa.....wanaume wa jf full burudaniHapa navuta muda bar ya Jirani yani nicoment nisicoment moto lazima uwake
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaa haaa haaa.....wanaume wa jf full burudaniHapa navuta muda bar ya Jirani yani nicoment nisicoment moto lazima uwake
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa je...ukija kuzinduka siku mpya hiyo imetia timuNdio ndio ajilewee tu akilewa usingizi unakuja asubuhi unaanza upyaaaa
Hivi ni hiko kumbe
Lkn wakiwa huku jukwaani full mdomo daaah![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu pole mnooo halafu wanaume wengi wa jf mnapitia magumu sana kwenye ndoa zenu jamani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sanaaaa kila mtu ana makubwa yake
Ikitia timu kama upo free unajilewea tena mm nikiwa na stress zangu ni kulewa tuuuuuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kumbe wanapigwa uko na wake zao
Mmmmh....baba...ni kweli tia maji sana..hajitambui...very lazy..aku
Miss u best ake..Ukisema umeolewa nitasikitika sana best[emoji39][emoji39][emoji23][emoji23] kidding [emoji125][emoji125]
Nimecheka kwa sautiKwenye ndoa kuna mambo mengi sana.
Kuna wakati mkeo anakuwa rafiki yako.
Wakati mwingine anakuwa adui yako.
Wakati mwingine anakuwa boss wako vice versa is also true.
Wakati mwingine mume unakuwa polisi na mke mfungwa vice versa is also true
Wakati mwingine chumbani kunageuka ulingo wa masumbwi na watoto washangiliaji
Wakati mwingine mnakuwa majirani kila mtu hajui kinachoendelea kwa jirani yake
Wakati mwingine mnakuwa mtu mmoja indivisible being
Wakati mwingine mmoja anakuwa Mtoto na mwingine ni mzazi.
Na haya ndiyo huwa maisha yetu ya kila siku ndoani.
Asikwambie mtu hakuna Kitu kinachoongeza heshima na hadhi ya mtu kama ndoa.
Onyo. Usiulizie matumizi ya hela za mkeo jifanye huoni yanayoendelea.
Sent using Jamii Forums mobile app
naelewa best hata me napenda sana outing ila that just the way i'm, tena naweza kulilia mimi kutolewa out,nikifika huko i just can't help it [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], na mr huaga ananikomoa ananikabidhi mimi pesa nilipe bill basi anajua kunitesa kisaikolojia nikiona salio linazid kukata naanza kufosi turud nyumbani tu [emoji23][emoji23][emoji23]Outing ni muhimu bana hata kwa wana ndoa mtajifungia ndani 24/7/365? Leo mnaenda movie, club, lunch, dinner, beach na vacation kama pesa inaruhusu.
Anaubaka huu uzi eti kaishatufikia[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]Hahahahahhah tena kesho jioni
naelewa best hata me napenda sana outing ila that just the way i'm, tena naweza kulilia mimi kutolewa out,nikifika huko i just can't help it [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], na mr huaga ananikomoa ananikabidhi mimi pesa nilipe bill basi anajua kunitesa kisaikolojia nikiona salio linazid kukata naanza kufosi turud nyumbani tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko kama mimi...yaan kitu kikinizingua lzm nipige ulabu sitaki stress asee dunia ni tamu hii....kisa cha kukosa usingizi?Ikitia timu kama upo free unajilewea tena mm nikiwa na stress zangu ni kulewa tuuuuuu
Kuna siku nilivurugwa asubuhi yaani kichwa kiliwaka sijawahigi kunywa pombe asubuhi mbona nilizinywaUko kama mimi...yaan kitu kikinizingua lzm nipige ulabu sitaki stress asee dunia ni tamu hii....kisa cha kukosa usingizi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nakutamania, Ila ungeonja ndoa japo kidogo ingependeza
Haaaahaaaa....mpaka mwanaume unaogopa kukomenti eti[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kumbe wanapigwa uko na wake zao
Sure... ingekuwa si watoto,dadeq ningeshampiga mbele. Age nayo sasa, 40+ ukimwacha utaoawa wa aina gani?. Akiwa zaidi ya 30 jua nae kaachika, unachukua mzigo aliotua mwenzako!