Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Wakuu tafadhal Naomba kujua sifa na udhaifu wa izi gari. FORD ESCAPE matumiz ya mafuta na upatikanaji wa vipuri.
 
Mbona me napiganayo sana trip za tanga,mwanza ila service napiga kwa wakati
 
Nimepoteza funguo ya gari, nini natakiwa nifanye waungwana...nahofia usalama wa gari
 
Wadau nataka nimpeleke kijana wangu DRIVING SCHOOL, naomba wadau mnifahamishe ni driving school gani nzuri, iko wap na bei gani nimpeke kijana. Asanten.

Naomba nikujibu generally na sio specifically...kama ni kwa ajili ya psv/ commercial vehicle driving cheki na VETA kama ni just ordinary chagua chuo ambacho kina magari mazuri by exterior outlook,manual wheels,wakufunzi waliothibitishwa yaani licenced kufundisha nk kama uko tegeta/mbezi kuna chuo kipo njiapanda ya tegetanyuki wana branch pale mbezi nadhani wako vizuri wale! Otherwise maswali mengine wacha waje wadau wengine wasuppliment.
 
Habari wakuu. Naombeni msaada, Nina Suzuki escudo (goldwin) ya Milango mitano. Gari linazima kila wakati ac inapokuwa imewashwa na hasa linapokuwa limepata Moto na bila kukanyaga mafuta. Kama ac ikiwa imezimwa hakuna tatizo. Silence iko sawa.(sina hakika na spelling za neno silence).

Mafundi wawili wameshindwa kubaini tatizo. Kama Kuna fundi mzuri wa Suzuki nitafurahi kupata mawasiliano nae.
Natanguliza shukrani.
 

Hilo tatizo ni dogo a
Na wala huhitaji fundi. Nilipata shida kama hiyo nilipotoa battery na kurudisha (hope u did the same). Tatizo hapo ni kuwa kuna transistors zilipoteza moto hivyo unatakiwa uganye hivi:

Endesha hiyo gari kama manual (mafuta & brake) at once, hii itaongeza rpm ambayo ukiacha bila kukanyaga mafuta na ac iko on rpm inashuka 900,800,700 mpk gari inazima.

Fanya hivyo kwa kama kilometa 30-50 ac on na unakanyaga mafuta kumantain rpm isishuke. Baada ya hapo utaona tu transistor za ac zimekata moto na huhitaji tena kutumia mtindo wa mafuta & brake

Thanks
 
Wakuu nauliza mwenye experience na Toyota prius maana nataka kuagiza moja model ya 2010
 
Habari wadau mwenye uzoefu na Magari aina ya Toyota volts anijuze nayahusudu sana
 
Wadau naomba nipeni sifa au kasoro za pajero io, kwani nimevutiwa nayo sana kwa mda mrefu na nimesha process Loan nataka kuinunua (itakuwa mara yangu ya kwanza kumiliki gari)
 
Salama humu JamiiForums, nahitaji kujua sifa za hizi aina ya Toyota kluger bei na ulaji wa mafuta na seat zake yaani uwezo wa kubeba watu (seating capacity) natanguliza shukrani.

Asanteni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…