BLACK MARXIST
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 2,458
- 5,352
Umeniacha hapo mkuu 2.4 ni kitu gani, naomba maelezo kidogo.Ziko poa sana ila upate 2.4
Asante mkuuUwezo wa engine Yani kuna 2.4 na 3.0 hizi za 3.0 ulaji wa mafuta uko juu zaidi kwakuwa uwezo wa engine ni mkubwa kuliko 2.4
Ni kweli ni aina ya gari chache sana Mshana na nashukuru Nimekaa nayo mwaka wa tatu sasa Ndo spare part ya kwanza nabadilisha.. Sijui ni ilala sehemu gani haswa.Aisee fika Ilala kwenye maduka ya spare japo hizo gari sio nyingi
View attachment 280415
Nani anaanza kupita hapa?
Rafiki yangu anataka kununua toyota funcargo,sasa anaomba ushauri jamvini humu kwa wataalamu juu ya uimara na matumizi ya mafuata yake.
Natanguliza shukrani
Nakushauri uende master card mtaa wa msimbazi karibu na big bon
wanayo,