Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali


Ufanyeje pia, umepata ajari mathalani kugongwa, kama bima yako ni third party?
 
Continued..........

isipokuwa wawajibishwe kwanza.

Maneno ya Mzee Dr. Hans Kitine yasipite hivi hivi, yafanyiwe kazi ili hizi PhD feki za akina Nchimbi et al, ziondolewe mara moja.

Mbona Kihiyo alishikiwa bango WHY NOT Nchimbi et al

Aliyekugonga ndio Bima yake inahusika kukutengenezea gari lako
 
Msaada kwenye tuta wadau.
Nimetokea kukahusudu ka "baby walker" aina ya Toyota vitz model ya 2005.
Naombeni uzoefu wenu kuhusu ubora wake na mapungufu yake ili nami nifanye maamuzi ya kuanza kutembelea kiuno na kuepuka purukushani za daladala.
 
Gar passo inapopanda mlima ama kuanza kuondoka kwa kukanyagia mafuta kuna vitu vinapiga kelele kwa mbele.. msaada naombeni
 
Naomba ushauri kuhusu gari aina ya Honda CR V, naomba kujua kuhusu upatikanaji wa spear matumizi ya mafuta na mafundi wenye utaalamu.
As ante.
Cc: #preta and #kaizer
 

HARRIER IS THE BEST, Hizo gari zinafanana karibia kila kitu isipokuwa umbile, uzito na uimara Wa milango ambapo milango ya HARRIER ni imara kuliko KRUGER
 
Last edited by a moderator:
Wadau napenda kujua nini kazi ya thermostat kwenye gari na je ikitolewa ina madhara gn?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…