Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mimi ni fundi mkuu wa shokomzoba na breki pads humu ndani..........hi hi hi........

Escudo yangu inapiga kelele nikifunga brek, ila siendesh daily inaweza pita wiki hadi mwez nimepark. Tatizo ni nin? Labda kukaa sana au pads kwisha?
 
Mkuu Mshana nifafanulie maana ya hizi alama kwenye gari yangu Toyota allteza M. L2,L3 na kuna batani ya pwr na batani ya snow nataka kufahamu maana zake
 
Mkuu Mshana nataka kufahamu hizi alama kwenye Gari yangu Toyota allteza . M, L2,L3 na kuna batan pwr na batan ya snow
 
Mkuu Mshana nifafanulie maana ya hizi alama kwenye gari yangu Toyota allteza M. L2,L3 na kuna batani ya pwr na batani ya snow nataka kufahamu maana zake

Mkuu Mshana nataka kufahamu hizi alama kwenye Gari yangu Toyota allteza . M, L2,L3 na kuna batan pwr na batan ya snow

Nitakuja kaka nipe muda nimekusoma
 
Mkuu Mshana nataka kufahamu hizi alama kwenye Gari yangu Toyota allteza . M, L2,L3 na kuna batan pwr na batan ya snow

mkuu Ngoja nijaribu KWA kadri nifahamuvyo ingawa sijui kama utanielewa.

hizo alama zote ni za gia. M manual ukifika hapo na kuiselect gear rever hapo ina maana Gari kama utaendeshea hapo haitabadili gia.
L2 L3 hizo nazo ni gia za low hapo ina maana ukiweka hapo Gari haita change gear automatic.

hizo baton ya snow huwa inaendeshewa kwenye barafu.

na power ukibonya gear box huwa inakuwa na nguvu sana
 
Duuuu ngoja nirndelee kusubiri wataalm. Sasa kama M ni manual gear namba 1,2,3,4 na 5 nitazipatia wapi mbona hazipo ?
 
Duuuu ngoja nirndelee kusubiri wataalm. Sasa kama M ni manual gear namba 1,2,3,4 na 5 nitazipatia wapi mbona hazipo ?

hahahaha mkuu usishangae M kuambiwa manually .ndio maana kwenye Gari zingine utaona hivi P ,R ,N D M + na -.

harafu nyingine P,R,N,D,2,L


na kwenye manual ukiwa unaendeshea hapo Gari itamaliza gia zote inategemeana na mfumo upi umetumika mfano kama kwenye harrier au kluger au hata RAV 4 kwenye steering wheel utaona kuna botton za positive + na negative - hizo ni kwaajili ya kuendeshea manually.

sijui kama utanielewa.
 

Hahaaa hainanoma mkuu nimekusoma. Mana imeanza na P,R,D, M then L2,L3
 

mkuu inawezekana tukakufungia TAA za kuwanyanyasa wenzio na wewe kama upo dar tutafutane
 
mkuu inawezekana tukakufungia TAA za kuwanyanyasa wenzio na wewe kama upo dar tutafutane

Nipo geita kikazi mkuu nikipata likizo nikija town nitakucheki unifungie hizo taa
 
Kwanza fuel filter huwa ni ya kubadili na si ya kusafisha hilo ni kosa pia checki na fundi aangalie gearbox

tatizo wao wenye MAGARI ndio chanzo kikubwa cha MAGARI yao kuharibika na kuwa mabovu Mara KWA Mara.

unamwambia fuel filter mbovu ishachoka kabisa anakwambia safisha ,air cleaner anakwambia kapulize upepo plug anakwambia safisha na wire brush au msasa.
hapo lazima FUNDI utazeeka na ufundi aisee.


KWA hiyo ishu hapo gear box haina shida Gari performance ya engine ikiwa fresh gearbox nayo inakuwa fresh engine ikiwa na majanga na gearbox nayo utaiona majanga.

labda cha masingi na cha maana atwambie kama TAA ya engine iliwaka alipima?? kama alipima ilitoa fault code gani??

na kama hajapima basi afanye mpango wakuipima iwe kwa mashine au manually ili ajue tatizo ni nini hasa hapo itakuwa rahisi kwenye kulitengeneza
 
Napenda kuuliza, natumia gari aina ya corona injini 5A, injini imeshachoka je! ni bora kufanya kipi, ovaholi au kununua injini mpya? Na gharama inakuwaje kununu injini au kuovaholi
 
Tangasisi hiyo inatumika kwenye zile nchi ambazo zina majira ya baridi kali kufikia kiwango cha barafu

hahahaha mkuu hapo hilo jibu lako mbona kiboko sana.kwahiyo MAGARI yote yanatengenezwa kwenye nchi zenye joto?? kwahiyo hiyo thermostat inasaidia nini kwenye nchi zenye joto??

unataka kunambia kwenye nchi za joto yatakiwa tuzitoe kabisaaa. au hazina kazi??
 
Last edited by a moderator:
Napenda kuuliza, natumia gari aina ya corona injini 5A, injini imeshachoka je! ni bora kufanya kipi, ovaholi au kununua injini mpya? Na gharama inakuwaje kununu injini au kuovaholi

mkuu utanunua engine mpya toka wapi??

au unataka kununua engine used kwa maana ya mpya??
kama ni used chunga sana hiyo used ni yakutoka wapi??

mm nadhani kuifanyia overall ni nzuri zaidi na niuhakika na bora kama utafanyia kwa spare original.
 
Zipo kaka

basi ukiweka gear rever kwenye M Unaanza kuendesha Gari na kubadili gear kwanjia ya manually kwa kutumia hizo botton.+ kwa kuongeza gear na kama unataka kupangua gear bas unabonya -.
 
basi ukiweka gear rever kwenye M Unaanza kuendesha Gari na kubadili gear kwanjia ya manually kwa kutumia hizo botton.+ kwa kuongeza gear na kama unataka kupangua gear bas unabonya -.

Pouwa nimekuelewa mkuu
 
Sory hizi batan zimeandikwa down upande wa kulia na kushoto kwenye usukani sa sijajua zinamanisha nn ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…