Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Very good kizuri gharama ipe roho ile kitu inapenda ....kikubwa roho pesa inatafutwa
Go for it...!!! After all ni unique & xclusiv
Go for it...!!! After all ni unique & xclusiv
Hii ufahamika kama Electronically Controlled Transmission(ECT) hii button uki weka on ina sababisha gear box kuchelewa ku- change gear hutumika hasa kwenye nchi za barafu
Engine take ndogo Sana halafu haina nguvu kimsingi platz ni gari nyanya
Sijakuelewa....!!!
Nataka toka dar kwenda mza na umenambia platz gari nyanya sana, hazina nguvu engine kama vtz tu .vp kwa siku moja naweza tumia njian? Mf nkitoka dar 10 alfajiri tatu usiku siwez kuwa mwanza? Kwa mwendo wa kawaida tu mkuu, ukizingatia tochi kibao saiv.
Unafika bila tatizo nikisema ni nyanya sio kihivyo ndugu yangu
Wadau naombeni msaada wenu nina hitaji engine ya Toyota hiace 5L, used nitapataje na harama zake kiasi gani.