Maelezo mazuri kabisaMkuu ukitembelea baadhi ya page za huu uzi watu wamefanya uchambuzi wa hizo taa na maana zake. Ila kulingana na rangi, blue na kijani hazina shida zikiwaka, orange sijui ile kama ya ABS na Tyre pressure maana yake kuna malfunction sehemu ila still unaezaendesha. Nyekundu ndio don't even move kama vile ya oil na check engine, mkanda etc.
Ndio maana ukiwasha gari linajifanyia self diagnosis kwa sekunde chache ambapo taa zote zinawaka na kama gari lipo vizuri zitazima ila kama kuna shida zipo ambazo zitaendelea kuwaka.
Mkuu hembu nicall ipo hiyo au ngoja nicheki namba zako nakupigia.ishu kama hizi mkuu tywe tunachekiana hewani some times huwa mda wakuingia huku ni hafifu sanaLEGE na wengine msaada kwenye pulley ya engine gari ni BMW View attachment 509218modelView attachment 509219
Simu ilipata shida kubwa ndugu yangu ikafuta kila kitu gari iko grounded siku ya nne sasaMkuu hembu nicall ipo hiyo au ngoja nicheki namba zako nakupigia.ishu kama hizi mkuu tywe tunachekiana hewani some times huwa mda wakuingia huku ni hafifu sana
Namba yako ninayo nitakucheki kiongozi now nipo mbali na simu yenye namba yakoSimu ilipata shida kubwa ndugu yangu ikafuta kila kitu gari iko grounded siku ya nne sasa
Funcargo ipo powa sana, ndani nafasi ya kutosha ukilonganisha na hayo mengine.wadau nisaidie gari gani nzuri kati ya IST, FANCARGO, VITZS na stalet
wanasema ikiwa imezima ndio iko on kama nimewaelewa vizuriKingine kwa GARI za auto over drive INA kuwa on kama ile taaa ikiwaka au ikiwa imezima kwenye dashboard
Asante mkuuuwanasema ikiwa imezima ndio iko on kama nimewaelewa vizuri
Ulishawahi kubadili timing belt? Check hill kwanza!Hello, nna shida na check engine kwenye gari, inawaka mda wote hata ukiwa umewasha gari,
Mafundi walisema sensor wamebadili lakini bado, naambiwa tupeleke temeke kucheki kwenye computer Elf 50 checking tu! Ni sahii au napigwa?
Wenye ujuzi tatizo la check engine kuwaka hutokana na nini?
Gari ni Vits ya 1999
Njoo nayo mwenge mm nitakuchekia buree tatizo nitakwambia ila ukitaka nikulekebishie au kama utahitaji spea hapo tutakubaliana garama.Hello, nna shida na check engine kwenye gari, inawaka mda wote hata ukiwa umewasha gari,
Mafundi walisema sensor wamebadili lakini bado, naambiwa tupeleke temeke kucheki kwenye computer Elf 50 checking tu! Ni sahii au napigwa?
Wenye ujuzi tatizo la check engine kuwaka hutokana na nini?
Gari ni Vits ya 1999
Pm mkuu,Thank you in advanceNjoo nayo mwenge mm nitakuchekia buree tatizo nitakwambia ila ukitaka nikulekebishie au kama utahitaji spea hapo tutakubaliana garama.
Mkuu ww ni pm namba yako nitakuchekiPm mkuu,Thank you in advance
Naomba kujuzwa juu ya matumizi ya gari, kwa aliyewahi kutumia gari ya HYUNDAI SANTA FE.Na Kwakweli ni kuichakaza gari kwa mavumbi