Nakushauri badili engine.. Hiyo imechoka na mafundi wetu sio wazuri kwenye kubadili spares hasa za kwenye engine. Kuna mark muhimu sana huwa hawazizingatii kabisaMzee mimi nina shida nina gari aina ya toyota corsa ile ndogo; tumefunga valve seal na piston rings mpya. Baada ya kufunga hivyo vitu, engine imekuwa na mngurumo mzito utafikiri trekta.
Nimebadilisha plugs, nimeosha MAFS, wamerekebisha sailensa lakini wapi
Nimelipeleka veta wakafanya diagnosis lakini wanasema hakuna shida
Hebu mzee nisaidie nifanyeje?
Asante kwa ushauri mujarabu, mzee wangu. Nitalifanyia kazi na nitaleta mrejesho hapa boss wangu.Nakushauri badili engine.. Hiyo imechoka na mafundi wetu sio wazuri kwenye kubadili spares hasa za kwenye engine. Kuna mark muhimu sana huwa hawazizingatii kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikushauri uchukue nissan XtrailHabari wakubwa, nina bajeti ya sh 22milion, ninahitaji gari kati ya hizi naombeni ushauri ni gari gani itanifaa zaidi.
1. Toyota crown 182 g.
2.Toyota premio new model
3.Nissan Xtrail t31.
4.Mitsbish outlander.
Mahitaji yangu ni comfort,space, ngumu, gari yenye nguvu, economy and status.
Napokea any advice hata kama natakiwa kuongeza kidogo pesa nitavumilia ila lengo nahitaji kupata gari nzuri kati ya hizo, zote nazipenda sana sasa cjui nifunge ndoa na demu yupi kati ya hao, wajuzi wa mambo nipeni tabia zao ili nijue nani atakuwa wife material
Kwa nini bro
Kwa hiyo kati ya hizo tatu zilizobaki ni ipi itanifaa?
Mkuu mbona watu wengi wenye crown zilizotumika wanauza bei rahisi kulinganisha na premio hii imekaaje
Habari wakubwa, nina bajeti ya sh 22milion, ninahitaji gari kati ya hizi naombeni ushauri ni gari gani itanifaa zaidi.
1. Toyota crown 182 g.
2.Toyota premio new model
3.Nissan Xtrail t31.
4.Mitsbish outlander.
Mahitaji yangu ni comfort,space, ngumu, gari yenye nguvu, economy and status.
Napokea any advice hata kama natakiwa kuongeza kidogo pesa nitavumilia ila lengo nahitaji kupata gari nzuri kati ya hizo, zote nazipenda sana sasa cjui nifunge ndoa na demu yupi kati ya hao, wajuzi wa mambo nipeni tabia zao ili nijue nani atakuwa wife material
Premio ni nzuri kwa ulaji wa mafuta crown ni comfortability na space.. Premio ni aina ya gari zisizoshuka Bei naturallyMkuu mbona watu wengi wenye crown zilizotumika wanauza bei rahisi kulinganisha na premio hii imekaaje
Okay kwahiyo kwaupande wauimara niipi kati yahizo ambayo nibora zaidPremio ni nzuri kwa ulaji wa mafuta crown ni comfortability na space.. Premio ni aina ya gari zisizoshuka Bei naturally
Sent using Jamii Forums mobile app
Utunzaji ndio kila kitu ila Premio is betterOkay kwahiyo kwaupande wauimara niipi kati yahizo ambayo nibora zaid
Ukitaka fuel economy, chukua Premio yenye 1NZ-FE engine. Ukitaka power and speed chukua Crown. Kama bajeti iko vizuri (20mil+) chukua Premio 2nd generation. Zinaanzia mwaka 2007 kama sio 08.Okay kwahiyo kwaupande wauimara niipi kati yahizo ambayo nibora zaid
Habari za muda huu wakubwa
Samahani Naomba Majibu ya Maswali haya
1. Nimeagiza Gari toka Japan Meli imefika Ijumaa je ni kweli process za kuitoa bandarini pamoja na TRA haziwezi kufanyika weekendy ?
2. Naomba Kujua Mahesabu Sahihi ya Bima ya Gari hususani Comprehensive Insurance?
Nawasilishaa
Mfumo wa majiJaman habali za humu !!? Naomba msaada nmeulizwa mifumoo mikuu minne inayoisaidiaa injini kufanya kazi!??
Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app