Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Asante sana Kaizer, basi mimi nampango wa kununua SUZUKI KEI zenye cc650 hope ni better than hiyo ist.

Alafu kwani magari nayo yana gender?

Mkuu Lusungo hahaha nikikukuta na IST hata sikusalimu. Laizer hapo juu kasema ni vya wasichana angalia sana ubahili wako, alafu hiyo gari haiwez panda ille milima ya mpunguso, na ndizi utapakia wapi sasa?

JUst joking

Hahahahaaaa huu utani huu Jerry BTW nijuavyo mimi kina dada hupendelea vitu vidogovidogo na sisi ndio kama vile VX nk LAKINI sitakubali na sitamshauri mwanaume mwenzangu anunue gari lenye rangi ya PINK never! Hiyo rangi automatically ni ya mama na dada zetu
 
Mkuu Lusungo hahaha nikikukuta na IST hata sikusalimu. Laizer hapo juu kasema ni vya wasichana angalia sana ubahili wako, alafu hiyo gari haiwez panda ille milima ya mpunguso, na ndizi utapakia wapi sasa?

JUst joking

Ha ha ha ha haaaaa kumbe hii kitu mpuguso haifai eeh? Ngoja nibakie na benzi langu lol...
 
Asante sana Kaizer, basi mimi nampango wa kununua SUZUKI KEI zenye cc650 hope ni better than hiyo ist.

Alafu kwani magari nayo yana gender?

Yeah kuna yanayopendelewa zaidi na wadada
 
Mkuu ahsante kwa jukwaa hili.

Mkuu RAUM new model nilikuwa natembea nayo 14 km kwa lita kabla watoto wa mbwa hawajanitenda.

Tangu nimeirudisha ten road ni km mwezi mmoja, ndio nashtuka kuwa fuel consumption ipo juu, sasa hivi natembea 8 km kwa lita.

Msaada kujua tatizo!
 

Ulifanya service hivi karibuni na ukabadili plugs?
 
Mkuu naliza hivi kama gari imepasua sample na haipatikani je ni ruksa kuongeza oili kama imeshuka?ni passo new model
 
Mkuu naliza hivi kama gari imepasua sample na haipatikani je ni ruksa kuongeza oili kama imeshuka?ni passo new model

Imepasuka kabisa au ina leakage? Ni muhimu oil kuwa katika kiwango chake muda wote
 
Imepasuka kabisa au ina leakage? Ni muhimu oil kuwa katika kiwango chake muda wote

Muhimu akaotatue tatizo kwa namna yeyote ni hatari sana mn hajui ni saa ngapi oil itakuwaa imekwisha kabisa hasa kama anasafiri umbali mrefu...
 
Muhimu akaotatue tatizo kwa namna yeyote ni hatari sana mn hajui ni saa ngapi oil itakuwaa imekwisha kabisa hasa kama anasafiri umbali mrefu...

Na ni hatari zaidi kama gari haina indicator warning ya oil
 
Ok wakuu kwenye dash bord huwa inaonesha kama ina low oil so mpaka sahv bado haijaonesha ila niliichomelea lakini huwa kuna vidoti kama mwezi hivi naweka nusu rita,pia nilitoka mwanza nilifanya service ya km 5000 nikafika dar nikatembea km 200 na nikaenda tana so naweza kubadilisha oil tena au mpaka ni fanya service mpya thor km 500 bado?
 

Kaka kwa upande wa service haona neno fanya inapofika muda wake waliokupangia. Okay kumbe haona leakage kubwa.
 

Kama umetumia genuine lubricants na nk hakuna haja ila kibongobongo ongeza
Nakushauri pia pita ngia ya tandale kuna scrapper nyingi sana unaweza kupata hiyo sample, tendo la kuchomelea umeshapoteza vipimo vyake asilia hivyo kwa Afya ya engine si kitu chema sana
 

Usiendeshe gari ikiwa below required oil fill ni hatari mkuu make change ya oil as recommended na manufacturer au peleka kwa gereji inayoaminika
 
Mshana. Jr na wadau wengine
Gari yangu imegongwa na Daladala wote tuna third part insurance nini cha kufanya maana huu ni mwezi wa pili jalada la kesi liko kwa police mpelelezi. Na police huwa wanapeleleza nini ikiwa tukio limesha ripotiwa police? Mambo je kuna muda maalum wa police kukaa na shauri la aina hii?
 

Hapo utapoteza muda tu mwenye makosa ni nani apo? Kama ww ndo mwenye makosa ina maana bima yako ndo imlipe wa dala dala ila ww ndo huwezi kutengenezews gari yako maana bima yako ndogo...appo kila mtu asepe tu mkatengeneze magari yenu polisi na mahakaman mtaingia gharama zaidi ya hiyo laki ya third party mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…