Mshana. Jr na wadau wengine
Gari yangu imegongwa na Daladala wote tuna third part insurance nini cha kufanya maana huu ni mwezi wa pili jalada la kesi liko kwa police mpelelezi. Na police huwa wanapeleleza nini ikiwa tukio limesha ripotiwa police? Mambo je kuna muda maalum wa police kukaa na shauri la aina hii?
Mshana. Jr na wadau wengine
Gari yangu imegongwa na Daladala wote tuna third part insurance nini cha kufanya maana huu ni mwezi wa pili jalada la kesi liko kwa police mpelelezi. Na police huwa wanapeleleza nini ikiwa tukio limesha ripotiwa police? Mambo je kuna muda maalum wa police kukaa na shauri la aina hii?
Mkuu kwa jinsi ilivyo Mazda Demio ni imara shida inakuja kwenye spare parts zake ni expensive kidogo..na hiyo Passo ni nzuri sana kwenye fuel consumption shida siyo imara na kwa sisi tunaoishi huku Mpiji Magohe ni barabara yetu inamahandaki kinoma..tafuta gari ya juu kidogo ambayo inaendana na mazingira yetu..achana ni hizi mbili utalia mkuu
Habar wadau na brother mshana!naomba kuuliza,hivi gari za Alteza mbona zinauzwa bei chini sana,yani unakuta M 6 mpaka 8,wakati mi naona huwa ni gari nzuri kwa na yenye mvuto,Je ni kwanini iuzwe cheap sana,je huwa zinakasoro gani kubwa,Ahsante
Tugari tudogo cc650-2000 ni gari za madada, most likely 'wamehongwa'
Habari, Nashukuru sana mleta mada kwa kaunzisha uzi hu muhimu. Mie nina shida na injini ya gari aina ya Mistubishi Pajero V24, inatumia injini aina ya 4D56, naomba mwenye uelewa zinapopatikana hapa mjini pamoja na bei yake anielekeze, au kama anafahamu kampuni ninayoweza kuagiza moja kwa moja nje ya nchi au njia ipi ni bora kununua hapa hapa bongo au kuagiza Japan. Nashukuru.
Nikumbushe kesho nikutumie contacts za Nairobi au ingia online moja kwa moja www.mitsubishikenya.com, weka model ya gari na part number nk
päiva;12287704 said:Habari za wakuu,
mshana jr naomba kujuzwa uimara wa Nissan Xtrail hizi za kuanzia 7/2007 (NT 31). Upatikanaji wa spear parts na mafundi wenye ujuzi nazo. Msaada tafadhali.
Habari, Nashukuru sana mleta mada kwa kaunzisha uzi hu muhimu. Mie nina shida na injini ya gari aina ya Mistubishi Pajero V24, inatumia injini aina ya 4D56, naomba mwenye uelewa zinapopatikana hapa mjini pamoja na bei yake anielekeze, au kama anafahamu kampuni ninayoweza kuagiza moja kwa moja nje ya nchi au njia ipi ni bora kununua hapa hapa bongo au kuagiza Japan. Nashukuru.
naomba kuuliza kama nitaeleweka gari ambayo model yake ni 240gl manake nini
Mara nyingi mawazo na mitizamo yetu katika maisha yanachangiwa na vitu vingi ikiwemo mazingira ya asili tulikozaliwa kwa hiyo kwa kauli hii sikulaumu nalaumu mazingira ya asili uliyotokea
Kwa Uzi huu basi kila mwenye mwenye maswali na tatizo lolote linalohusiana na magari hapa ndio pawe uwanja wake
Karibuni sana
View attachment 225786