Pale kwenye gearlever kuna kirungu kidogo kimeandwa 2WD na 4WD unachagua, nafikiri mbele ni 2WD na nyuma ni 4WD
Pale kwenye gearlever kuna kirungu kidogo kimeandwa 2WD na 4WD unachagua, nafikiri mbele ni 2WD na nyuma ni 4WD
Hii ni Mitsubishi pajero GDI, Sio Toyota kaka! Hiyo miss yawezekana ni plugs, sensors za breezer, aircleaner au gari ilipitishwa kwenye maji aidha wakati wa kuoshwa au kwenye dimbwi. Hapa inabidi apatikane fundi mjuzi acheki kwa hakika tatizo ninini kabla ya kukimbilia kununua vipuri
Okay thanks...
Je ni Ushauri UPI unanipa katika kutumia njia hizo? Kwamba 4wd na 2wd IPI bora kutumia muda wote?
Je ulaji Wa mafuta kwa 2wd na 4wd unatofautiana?
Wakuu niko na honda crv i5, miezi michache iliyopita ilipunguza nguvu yake mara siku zinavozidi kwenda inaanza kusinzia kupandisha miinuko, mbaya zaid siku hizi inashituka kila inapobadili gear. Tukafikiri labda ni plugs lakin pia baada ya kubadilisha plugs hali iko vile vile haiwezi kubadili gear bila kushituka. MSAADA WADAU
Kaka Mshana, hongera kwa kazi ya kutuelimisha kuhusu magari. Naomba kujua wapi naweza kupata engine na gear box mount ya pajero mini na bei zake zipoje. Pia kama nitapata contacts za wauzaji wa hicho kifaa utakuwa umenisaidia sana.
Kwa bei sina hakika lakini nakushauri tembelea njia ya Tandale uzuri wanakata sana magari ya aina mbalimbali kule (samahani upo Dar lakini?) Au ukikosa nenda Ilala
Hilo ni tatizo la gearbox aidha hydraulic imepungua au inahitaji service, nakushauri onana na mafundi wajuzi wazoefu
Mshana jr. Nashukuru kiongozi ngoja nicheki mafundi kwa hiyo gearbox ila service niko makini sana kuifanya sipitishi klm.
Mkuu nilikuuliza 4WD kwenye ESCUDO unawekaje au ni full time 4WD huwezi itoa?
Jamani wanajamvi naomba kujua mambo ya msingi ya kuangalia ili kujua kama gari ni nzima au kimeo kwani nahitaji kununua na kuuza used cars...Asanteni sana kwa ushirikiano!
Viongozi mbarikiwe kwa maswali na majibu mazuri, uzi huu ni mmojawapo ambao wachangiaji wametanguliza hekima na busara kwa aina yeyote ya swali najibu lake inapendeza kwa kweli, asante Mshana kwa uzi huu,
Wandugu nina Toyota landcruiser 1HZ manual , nimeinunua serikalini kwa kweli imetumika vibaya sana na imechoka, nahitaji kuifufua ili iwe vzr jee niende gerage gani ama nimuone fundi yupi kwa ushauri then matengenezo, niko dar, nashukuru sana wanaJF
Wakuu naombeni mwenye uzoefu wa kuendesha CVT transmision anipe utofauti wake na AT transmission
Viongozi mbarikiwe kwa maswali na majibu mazuri, uzi huu ni mmojawapo ambao wachangiaji wametanguliza hekima na busara kwa aina yeyote ya swali najibu lake inapendeza kwa kweli, asante Mshana kwa uzi huu,
Wandugu nina Toyota landcruiser 1HZ manual , nimeinunua serikalini kwa kweli imetumika vibaya sana na imechoka, nahitaji kuifufua ili iwe vzr jee niende gerage gani ama nimuone fundi yupi kwa ushauri then matengenezo, niko dar, nashukuru sana wanaJF
Njia muhimu na inayofaa kuliko zote hakikisha gari linakuwa checked sio na fundi uchwara!
magari ya siku hizi yanahitaji mafundi wenye professional skills na uzoefu ktk magari kwa sababu mengi ni computerized na complicated + yanakuja na new technological advances kila uchao.
Mpate fundi mahiri kama hutojali njoo pm nikupe vijana, au wapate kwenye garage zinazojitambua for checkups, kulijua gari inahitaji system scanner ya kueleweka ili kucheck mifumo kama iko okay,tunacheck kama hakuna leakages za fluids,tunacheck torque levels,transmission workability,industrial chassis balances,na kufanya minor au major diagnosis kama inahitajika.
Kimsingi yanaangaliwa mambo mengi japo laymen huangalia mileage,body condition,yr of mnfctr,fasheni mambo ambayo ni very minor...Injini yako ndo gari lako...ili hiyo business isidode nakushauri seek technical assistance mkuu.
Hata hivyo kuna viashiria vichache kama mitetemo,kuchelewa kuchanganya,kuvuta upande,kunywa mafuta kuzidi kawaida,oil kuisha haraka,overheating,kusinzia kwa viashiria kwenye dashbodi,silencer isiyo-maintain kwa kitambo,kuchakaa matairi upande mmoja,gia kutobadilika kwa haraka/muda mrefu km ni auto,,,dah mambo ni mengi ila jua kwamba second hand vehicle always ina ubovu fulani so get it checked kabla hujainunua au kuuza
Mukwano jebaleko nini maana ya jebaleko? Mukwano najua ni Mapenzi kwa kiganda jebaleko je?We kweli nyadikwa mkuu...maana yake mbegu kwa lugha ya mama yangu mzazi.....na sifa ya mbegu lazima ipandwe na kuzaa HAHAHAH NTAKU-PM MKUU