Njia muhimu na inayofaa kuliko zote hakikisha gari linakuwa checked sio na fundi uchwara!
magari ya siku hizi yanahitaji mafundi wenye professional skills na uzoefu ktk magari kwa sababu mengi ni computerized na complicated + yanakuja na new technological advances kila uchao.
Mpate fundi mahiri kama hutojali njoo pm nikupe vijana, au wapate kwenye garage zinazojitambua for checkups, kulijua gari inahitaji system scanner ya kueleweka ili kucheck mifumo kama iko okay,tunacheck kama hakuna leakages za fluids,tunacheck torque levels,transmission workability,industrial chassis balances,na kufanya minor au major diagnosis kama inahitajika.
Kimsingi yanaangaliwa mambo mengi japo laymen huangalia mileage,body condition,yr of mnfctr,fasheni mambo ambayo ni very minor...Injini yako ndo gari lako...ili hiyo business isidode nakushauri seek technical assistance mkuu.
Hata hivyo kuna viashiria vichache kama mitetemo,kuchelewa kuchanganya,kuvuta upande,kunywa mafuta kuzidi kawaida,oil kuisha haraka,overheating,kusinzia kwa viashiria kwenye dashbodi,silencer isiyo-maintain kwa kitambo,kuchakaa matairi upande mmoja,gia kutobadilika kwa haraka/muda mrefu km ni auto,,,dah mambo ni mengi ila jua kwamba second hand vehicle always ina ubovu fulani so get it checked kabla hujainunua au kuuza