Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu hilo haliuziki??? Pole sana mkuu
Unataka kniambia hiyo kwake ni sawa na ndoa ya kikristo
pole sana mkuu... nadhan muuzaji sa hizi anachekelea tu huko!!!! mtafute mlugaluga kama Shy land na we umuuzie
Nenda microfinance/SACCOS yoyote uiweke kama Dhamana wape na kadi original, chukua mkopo wa maana halafu tokomea jumla ubadilishe na simu, wao ndo watalipiga mnada wapate hela yao. DEAL CLOSED.
Duuuuu 1ltr kwa 3km???? Hilo ni Jini la Uarabuni.
huyo jamaa it seems alitaka heshima mtaani bila kuuliza wataalamu wa magari sasa heshima imekuwa kero na chanzo cha umaskini FULL STRESS. ISUZU sio gari ya kununua kwa mtu mwenye pesa za mawazo bora hata hata angenunua BODA BODA. Tatizo mkishaambiwa ofa za BE FORWARD za gari 10 USD basi mnajiagizia tu bila kuangalia factor nyingine za SPARE PARTS, MAFUTA, MATENGEZO,KODI n.k
mkuu ISUZU BIGHORN utakachofaid ni mgurumo wake unavutia mengine ni disaster tu maana mafuta yake balaa labda uwe unaongea na madereva wa serikalini wakuuzie mafuta ya dili
gari imetembea km 280,000 unategemea nini hill ni screpa tu
Mkuu pole sana hapo umejichungulia mwenyewe.
Waone mafundi wanaoaminika,badili engine weka ya Toyota (3L au 3Y injection) utapeta na utarudisha heshima mtaani
Mkuu mimi hata ukinipa 4m nakuachia gari maana sitaki hata kuliona, maana limeshakula kama 6m kwa matengenezo yasioeleweka. Kun wakati nilitaka nikalikate niuze SPEA tu