Xplorer
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 607
- 857
Mmh!!!kweli Watanzania tuna shida sana,hapa naamini 90% ya waliocomment hawajawahi kumiliki hii gari!anyway nnachotaka kusema ni hivi,hii gari ni bora kuliko wengi mnavyofikiri ndio SUV inayotumika zaidi Marekani,hii gari brand yake inaitwa Isuzu trooper,imetengenezwa na Mjapani kati ya mwaka 1981-2005,hii gari imekuwa ikisambazwa kwa engine moja yenye uwezo tofauti huku ikijulikana kwa majina tofauti kulingana na sehem husika ,majina hayo ni pamoja na Isuzu Bighorn, Isuzu Trooper, Isuzu Trooper II, Caribe 442, Acura SLX, Chevrolet Trooper,Subaru Bighorn, SsangYong Korando Family, Honda Horizon, Opel/Vauxhall Monterey, Holden Jackaroo, pamoja na Holden Monterey.
Watanzania wengi tunapenda kuangalia swala la mafuta bila kujua gari ina engine ya aina gani!,hizi gari zina engine zinazotumia petrol na zingine za diesel,kuna zenye cc 2500,2900,2999,3500,4000,4500 n.k kwa petrol na diesel,kwa hiyo utumiaji wa mafuta itategemeana na wewe umenunua ipi,kwa mfano ukinunua inayotumia petrol na yenye cc 4500 ni nini unatarajia??
Kwa upande wangu mimi nilianza kutumia Nissan Murano,then nikatumia Rav4 1998,alafu nikatua kwenye Isuzu Bighorn 1999 inayotumia diesel na yenye cc 2900,yani toka mwaka 2001 sijatoka hapa na sidhani kama nitatoka tena,hii gari nimekuwa nikienda nayo mikoani kwa miaka zaidi ya kumi sasa na ina km 450,650,lakini mafuta ni 1ltr per 11km,hata rav4 niliyokuwa natumia haifiki hapa.spear za hii gari zipo kuliko watu wanavyofikiri...kkoo kuna maduka manne makubwa yanayouza spear za Isuzu Bighorn tu.
Ushauri wangu ni kwamba, ukiipata hii gari inayotumia diesel, alafu ina cc 2900,alafu in Turbo charger,nakuhakikishia hutajuta kamwe,na gari pekee itakayoyokuacha barabarani ni V8.
Watanzania wengi tunapenda kuangalia swala la mafuta bila kujua gari ina engine ya aina gani!,hizi gari zina engine zinazotumia petrol na zingine za diesel,kuna zenye cc 2500,2900,2999,3500,4000,4500 n.k kwa petrol na diesel,kwa hiyo utumiaji wa mafuta itategemeana na wewe umenunua ipi,kwa mfano ukinunua inayotumia petrol na yenye cc 4500 ni nini unatarajia??
Kwa upande wangu mimi nilianza kutumia Nissan Murano,then nikatumia Rav4 1998,alafu nikatua kwenye Isuzu Bighorn 1999 inayotumia diesel na yenye cc 2900,yani toka mwaka 2001 sijatoka hapa na sidhani kama nitatoka tena,hii gari nimekuwa nikienda nayo mikoani kwa miaka zaidi ya kumi sasa na ina km 450,650,lakini mafuta ni 1ltr per 11km,hata rav4 niliyokuwa natumia haifiki hapa.spear za hii gari zipo kuliko watu wanavyofikiri...kkoo kuna maduka manne makubwa yanayouza spear za Isuzu Bighorn tu.
Ushauri wangu ni kwamba, ukiipata hii gari inayotumia diesel, alafu ina cc 2900,alafu in Turbo charger,nakuhakikishia hutajuta kamwe,na gari pekee itakayoyokuacha barabarani ni V8.