Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mmh!!!kweli Watanzania tuna shida sana,hapa naamini 90% ya waliocomment hawajawahi kumiliki hii gari!anyway nnachotaka kusema ni hivi,hii gari ni bora kuliko wengi mnavyofikiri ndio SUV inayotumika zaidi Marekani,hii gari brand yake inaitwa Isuzu trooper,imetengenezwa na Mjapani kati ya mwaka 1981-2005,hii gari imekuwa ikisambazwa kwa engine moja yenye uwezo tofauti huku ikijulikana kwa majina tofauti kulingana na sehem husika ,majina hayo ni pamoja na Isuzu Bighorn, Isuzu Trooper, Isuzu Trooper II, Caribe 442, Acura SLX, Chevrolet Trooper,Subaru Bighorn, SsangYong Korando Family, Honda Horizon, Opel/Vauxhall Monterey, Holden Jackaroo, pamoja na Holden Monterey.

Watanzania wengi tunapenda kuangalia swala la mafuta bila kujua gari ina engine ya aina gani!,hizi gari zina engine zinazotumia petrol na zingine za diesel,kuna zenye cc 2500,2900,2999,3500,4000,4500 n.k kwa petrol na diesel,kwa hiyo utumiaji wa mafuta itategemeana na wewe umenunua ipi,kwa mfano ukinunua inayotumia petrol na yenye cc 4500 ni nini unatarajia??

Kwa upande wangu mimi nilianza kutumia Nissan Murano,then nikatumia Rav4 1998,alafu nikatua kwenye Isuzu Bighorn 1999 inayotumia diesel na yenye cc 2900,yani toka mwaka 2001 sijatoka hapa na sidhani kama nitatoka tena,hii gari nimekuwa nikienda nayo mikoani kwa miaka zaidi ya kumi sasa na ina km 450,650,lakini mafuta ni 1ltr per 11km,hata rav4 niliyokuwa natumia haifiki hapa.spear za hii gari zipo kuliko watu wanavyofikiri...kkoo kuna maduka manne makubwa yanayouza spear za Isuzu Bighorn tu.

Ushauri wangu ni kwamba, ukiipata hii gari inayotumia diesel, alafu ina cc 2900,alafu in Turbo charger,nakuhakikishia hutajuta kamwe,na gari pekee itakayoyokuacha barabarani ni V8.
 

Mkuu hii gari kama uko serious,weka specification zake hapa alafu tufanye biashara leo leo.
 
Mkuu haitaki kuwa na digrii kung'amua gari kimeo, Formula ni rahisi ukiona gari ambayo serikali haijanunua (ikiwemo BIGHORN) ujue hapo MSALA. Eti wengine wanadai ubadilishe ENGINE ndo lengo la kununua hiyo gari?
 
Habari zenu wakuu.
Natafuta gari ya kununua hapa Bongo. Kuna matangazo ya uuzwaji wa magari kupitia mtandao wa Zoom na nimeona ni bora kupata hapa usafiri.
Kwa mwenye ujuzi na uzoefu wa magari ni mambo gani ya kuzingatia/kuangalia kujua ubora wa gari ambalo limekwishatumika.

Naona uagizaji wa usafiri kutoka japan ni gharama zaidi ukizingatia dola ilivyopaa. Nimeandaa m8 kwa ajili ya IST.
 
Nissan X-TRAIL (SIMTANK) ni janga haswaa maana kwanza body yake ni PLASTIK ukiw unalipitisha kwenye rough road lazima lichoke mapema, sasa kimbembe ukwaruzane na gari nyingine linapasuka kama ndoo ya maji. halafu linasumbua sana kwenye SENSOR.
 
Kuna uzi humu unaohusu magari hebu jaribu kuutafuta
 
Mkuu haitaki kuwa na digrii kung'amua gari kimeo, Formula ni rahisi ukiona gari ambayo serikali haijanunua (ikiwemo BIGHORN) ujue hapo MSALA. Eti wengine wanadai ubadilishe ENGINE ndo lengo la kununua hiyo gari?


Mkuu Serikali hainunui magari used hizi gari toleo la mwisho ni la mwaka 2002,na hizi gari ni ngumu kuipata mpya,hata hivyo kuna office kibao bado zimebakiwa na hizi gari kama hujui,viongozi wetu wanapenda gari mpya zinazotoka sasa hivi,ndio maana unaona mashangingi yamejaa serikalini, vile vile point yako bado haina maana kwa kuwa sio lazma serikali inunue gari ndio uone ni bora,kaa ukijua kuwa the most reliable SUV of all time ni Range Rover,je ushawahi kuona serikali imenunua hii gari??je inamaana ni mbovu?? kwa taarifa yako serikali ndio inaongoza kwa kununua magari mabovu...kwa mfano Ashork leyland,hyundai,ford,Kia...n.k
 



Waone hawa.... nimekopi hii thread kutoka jukwaa kazi;




Yesterday
sisi ni vijana watatu kutoka toyota tz
,tunatengeneza
engine aina zote hasa za V8.Yeyote mwenye
kuhitaj huduma yetu tuwasiliane no.0766981308
tunakufuata ulipo DAR
 

Kwani mkuu hakuna namna ambayo mafundi wetu wanaweza kutengeneza ikawa inatumia mafuta kidogo?
 
Waone hawa.... nimekopi hii thread kutoka jukwaa kazi;




Yesterday
sisi ni vijana watatu kutoka toyota tz
,tunatengeneza
engine aina zote hasa za V8.Yeyote mwenye
kuhitaj huduma yetu tuwasiliane no.0766981308
tunakufuata ulipo DAR

Mkuu Lusungo ubarikiwe sana kwa msaada huu mkubwa, asante kiongozi
 
Waone hawa.... nimekopi hii thread kutoka jukwaa kazi;




Yesterday
sisi ni vijana watatu kutoka toyota tz
,tunatengeneza
engine aina zote hasa za V8.Yeyote mwenye
kuhitaj huduma yetu tuwasiliane no.0766981308
tunakufuata ulipo DAR

Nawapongeza wametumia fursa vizuri mno
 

Kuna mtu aliniambia kwamba afisa wa polisi kwa mujibu wa sheria ni askari polisi mwenye cheo kuanzia koplo, ni sahihi hii?
 
Kuna mtu aliniambia kwamba afisa wa polisi kwa mujibu wa sheria ni askari polisi mwenye cheo kuanzia koplo, ni sahihi hii?

Nafikiri ni hivyo ila nijuavyo mimi ni kwamba si kila askari ana haki ya kusimamisha gari na kuanza kukagua kama ni ukaguzi wa kawaida au makosa ya barabarani
 
jamani naomba kuuliza oil ya pikipiki natakiwa kutembea km ngapi ili nibadilishe.
 
mi sikushauri ununue hyo maana bodi yake ni plastic kbisa ukimgusa mtu kidogo sana ni majanga mchina huyo ni heri nunua harrier iko vizur na haipishani bei sana na xtrail yani hii gar kwa kweli ni heri harrier ni nzur imetulia hata used inauzka.
Nashukuru mkuu kwa ushauri, vipi kuhusu harrier na freeland2 ipi iko njema zaidi
 
Nauliza km sheria inataka tulipe 20000 kama faini ya kosa moja kwanini tunatozwa 30000?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…