Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #1,261
Yaani zinapatikana kwa watu au ni sehemu wanaziuza?
Wana show rooms za magari ya kale lakini pia kwa watu binafsi, na kwa urahisi wa kudrive nunulia Pretoria ukitoka hapo unachapa mwendo mpaka Zimbabwe unaingia Msumbiji au Zambi then Bongo