Ndesalee
JF-Expert Member
- Apr 17, 2014
- 1,092
- 520
Bima za binafsi nyingi ziko vizuri msiba uko NIC na Zanzibar Insurance, hao ni majanga na usumbufu uko kwenye kupata docs toka jeshi la polisi kitengo cha barabarani pale ndio kuna rushwa iliyoota mizizi ya mbuyu
Polisi Tanzania kwa mizengwe na rushwa wamezidi aisee.