Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Habari mshana jr,bado sijapata fundi wa kunibadrishia freelander kwenda rav4,wale vijana ulionielekeza wa toyota hawawezi mzee

Jaribu pale Shauri Moyo opposite Na soko la machinga kama Upo Dar.
 
Mkuu Mshana Jr. katika moja ya coment yako hapo juu kuhusiana na TOYOTA VOLTS Umesema kwamba injini ni imara ila bodi ni laini mno. je unashauri nini kwa Mtu anayehitaji kuagiza gari kama hilo? mimi binafsi nimeliagiza na naona bongo yanaingia kama njugu.
 
Wadau naomba msaada wenu juu ya hii gari,uimara wake na upatikanaji wa spare zake.
Pia itanigharimu kiasi gani mpaka iwe barabarani, iko Japan.

Mazda axela sport, 2004,1990CC,AT,engine code LF, CIF 2850.
 

Haina shida ni kuwa makini tu na matumizi, epuka kuoverload mizigo na abiria, rough ziepuke au nenda mwendo wa kinyonga, epuka madereva wengi
 
Naomba kujuzwa kuhusu hii kodi ya road licence inakuwaje iwapo gari halipo barabarani kwa sababu ya ubovu zaidi ya mwaka mmoja. Je tra wataendelea kuestimate hiyo kodi yao japokuwa gari haipo road.?!
 
Haina shida ni kuwa makini tu na matumizi, epuka kuoverload mizigo na abiria, rough ziepuke au nenda mwendo wa kinyonga, epuka madereva wengi

Mkuu samahani hivi hizi l/rover discovery 3 se unazionaje mkuu especially upande wa performance off road ingawa najua running expenses zake ni kubwa.Mungu akijalia mwezi wa 10 ntaiagiza UK.Thnxs
 
Mkuu samahani hivi hizi l/rover discovery 3 se unazionaje mkuu especially upande wa performance off road ingawa najua running expenses zake ni kubwa.Mungu akijalia mwezi wa 10 ntaiagiza UK.Thnxs

Agiza tu kaka hizo hazina shida landrover mbovu ni freelander hata comfortability ni zero
 
Naomba kujuzwa kuhusu hii kodi ya road licence inakuwaje iwapo gari halipo barabarani kwa sababu ya ubovu zaidi ya mwaka mmoja. Je tra wataendelea kuestimate hiyo kodi yao japokuwa gari haipo road.?!

Kwakuwa lengo la RL ni kukusanya kodi kwahiyo hilo halina msamaha, lakini nipe muda nitakuja na maelezo zaidi jioni
 
Naomba kujuzwa kuhusu hii kodi ya road licence inakuwaje iwapo gari halipo barabarani kwa sababu ya ubovu zaidi ya mwaka mmoja. Je tra wataendelea kuestimate hiyo kodi yao japokuwa gari haipo road.?!

Toa taarifa TRA kwa maandishi. Utapata maelekezo. Kuna uwezekano wa kusimamishiwa hadi litakapokuwa barabarani ukikidhi vigezo na masharti.
 
Toa taarifa TRA kwa maandishi. Utapata maelekezo. Kuna uwezekano wa kusimamishiwa hadi litakapokuwa barabarani ukikidhi vigezo na masharti.

Vizuri sana mkuu. Na je vp kuhusu insurance nayo inakuwaje. Nayo kuna sehemu ya kwenda kutoa taarifa ili isimamishwe kwa kipindi hiko.?!
 
Toa taarifa TRA kwa maandishi. Utapata maelekezo. Kuna uwezekano wa kusimamishiwa hadi litakapokuwa barabarani ukikidhi vigezo na masharti.

Hii ina mushkeli kidogo na ndio mtego wa TRA ulipo kwamba unaandika barua ya kusimamishiwa RL kwa mfano miaka miwili kwa sababu ya ubovu Fulani, wanakuambua hiyo umedhamiria na wengi wanaweza kufanya hivyo
 
Vizuri sana mkuu. Na je vp kuhusu insurance nayo inakuwaje. Nayo kuna sehemu ya kwenda kutoa taarifa ili isimamishwe kwa kipindi hiko.?!

Bima haiuhusiani na serikali bima ni kwa ajili ya ulinzi wako binafsi, gari yako na wengine watakaopata matatizo kupitia gari yako hivyo hiyo haina kutoa taarifa
 
Vizuri sana mkuu. Na je vp kuhusu insurance nayo inakuwaje. Nayo kuna sehemu ya kwenda kutoa taarifa ili isimamishwe kwa kipindi hiko.?!

Insurance kama ipo hai itaendelea 'kuku kava' hadi itakavyoisha.

Kuna uwezekano wa kupatwa na ajali ya moto ikiwa imepaki, kugongwa ikiwa imepaki especially parking zetu hizi za mitaani...

So, At ur own risk unaweza usikate tena bima hasa kwa vile hautotiwa nguvuni kwa kutokuwa nayo kwani gari itakuwa haipo barabarani.

Insurance hata hivyo ni muhimu, jikatie hata wewe mwenyewe. Fika ofisi za bima.
 
Bima haiuhusiani na serikali bima ni kwa ajili ya ulinzi wako binafsi, gari yako na wengine watakaopata matatizo kupitia gari yako hivyo hiyo haina kutoa taarifa


Kwa utashi wangu,hapa bongo sekta ambayo naona ipo/inaendeshwa kimaghumashi ni bima. Yaani hawa jamaa wanajua kupokea michango,ila sasa ukipatwa na tatizo ambalo inabidi bima ikave watakuzungusha mpk utaipata flesh. Yaani nenda rudi nenda rudi hadi ukome,labda uwape kitu kidogo ndio wakulipe pasipo usumbufu,vingimevyo itakula kwako.
 
Hii ina mushkeli kidogo na ndio mtego wa TRA ulipo kwamba unaandika barua ya kusimamishiwa RL kwa mfano miaka miwili kwa sababu ya ubovu Fulani, wanakuambua hiyo umedhamiria na wengi wanaweza kufanya hivyo

Ni kweli, lakini kwa mfano, gari imepata ajali, na umeamua ikae garage / home kwa muda mrefu kabla ya kuitengeneza au kui declare right off...

TRA wanajua namna ya kutambua ukweli...

So jaribu, ukikidhi vigezo unaweza kusimamishiwa!
 

Bima za binafsi nyingi ziko vizuri msiba uko NIC na Zanzibar Insurance, hao ni majanga na usumbufu uko kwenye kupata docs toka jeshi la polisi kitengo cha barabarani pale ndio kuna rushwa iliyoota mizizi ya mbuyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…