Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Hiyo ya milioni 16 ni chakavu zaidi ya hiyo ya milioni 24 kwa tofauti ya kilometa elfu 50...As simple as that

Mkuu mshana jr kuna jamaa alinunua gari yenye kilomita 124,000 kwa ushauri wa fundi kuwa injini iko poa regardless of hizo km. Je kuna ukweli hapo?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mshana jr kuna jamaa alinunua gari yenye kilomita 124,000 kwa ushauri wa fundi kuwa injini iko poa regardless of hizo km. Je kuna ukweli hapo?

Gari iliyotunzwa vizuri na ambayo haijafanya safari nyingi ndefu na za kubeba mizigo mizito mara kwa mara haina shida kabisa Mokoyo
 
Last edited by a moderator:
Jmn tuelimishane bc kdg kuhusu aina na mgawanyiko wa magari wengne tuko shallow bado naona 2 direct injection mara full option
 
Jmn tuelimishane bc kdg kuhusu aina na mgawanyiko wa magari wengne tuko shallow bado naona 2 direct injection mara full option

Chukua muda wako ufuatilie mwanzo wa hii mada n
mpaka hapa utajifuza na kuelewa mengi
 
Mkuu mshana jr kuna jamaa alinunua gari yenye kilomita 124,000 kwa ushauri wa fundi kuwa injini iko poa regardless of hizo km. Je kuna ukweli hapo?

Kuna tax moja hizi toyota Altise ya 2007 nikikuta ina kilometa 700k lkn iko poa mnoo imetumika kwa town trip tu, ila sio Afrika
 
Last edited by a moderator:
Naomba kuuliza. Kama gari inauzwa 16M ina milege 125,000. Na nyengine kama hiyo inauzwa 24M inayo milege 75,000. Ipi ni rahisi ukizingatia milege. Naomba munisaidie mathematical formular

Mkuu mimi nadhani hapo yenye milage chache ndiyo inayofaa na ndiyo maana price yake iko juu ukilinganisha na hiyo nyingine, sjui kama nitakuwa nimejibu swali kwa sababu wewe umeuliza lipi ni "rahisi"
 
Bwana,bteakysnr unapo zungumzia harrir kuna aina nyingi za harrir,kuna zenye 4w driver na kuna yenye 2w driver pia zipo zenye cc 2000 na zenye cc 3000 ambazo ni V eng,bila kusahau zile ambazo ni hybrid harrir ambazo sokoni zipo juu zaidi kuliko zile za kawaida,hvyo basi fafanua ni aina gani ktk hizi una taka??
 
Bwana,bteakysnr unapo zungumzia harrir kuna aina nyingi za harrir,kuna zenye 4w driver na kuna yenye 2w driver pia zipo zenye cc 2000 na zenye cc 3000 ambazo ni V eng,bila kusahau zile ambazo ni hybrid harrir ambazo sokoni zipo juu zaidi kuliko zile za kawaida,hvyo basi fafanua ni aina gani ktk hizi una taka??

Mkuu Zemunda zimegawanyika kama ifuatavyo, 1st generation base model kuna aina tatu za harrier kulingana na muundo wa engine , 5s cc 2200 ambazo zina 4wd na 2wd, kuna 2AZ cc2400 vvti,ambazo pia kuna 4WD na 2wd, then kuna cc3000 4wd&2wd, zaidi ya hapo kuna 2nd generation model zenye cc2400 VVTi na 3000vvti, zaidi ya hapo zipo hybrid na nyinginezo
 
Mkuu MSHANA naomba kujua walau kidogo kuhusu Nissan Note ubora wake na spea zake
 
Mkuu MSHANA naomba kujua walau kidogo kuhusu Nissan Note ubora wake na spea zake
lady L naomba niwe mkweli katika hili, japo Nissan nyingi ni gari imara lakini hii generation ya below cc 1500 nyingi ni vimeo
 
Last edited by a moderator:
Nashkuru sana mkuu kwa nashkuru kwa hilo nilikuwa nafikiria kuagiza hii gari,asante kwa ushauri!

Ukitaka kuagiza gari nzuri isiyo na cc kubwa agiza Duet, Cami IST na zote za gene hiyo
 
Kampuni gani nzuri ya kufungiwa gps system ktk gari langu, pamoja na kulifanya gari langu liwe "bandit car" nitakaloweza kulifanyia monitoring hata kwa kutumia simu yangu!
 
Back
Top Bottom