falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,189
- 9,299
jamani nishaurin nataka kununua starlet au vitz je ipi inafaa kwa mimi kijana ambaye naanza maisha,namaanisha ipi haitanigharimu gharama za uendeshaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Luqman tafuta Toyota kluger ya mwaka 2004 iwe na engine ya 2AZ VVTi 2400cc full option with 4WD ogopa ile ya 3000cc,kluger inahimili kidogo kulinganisha na Harrier other tafuta Toyota hilux 2RZ 215 hii haibishaniwi
jamani nishaurin nataka kununua starlet au vitz je ipi inafaa kwa mimi kijana ambaye naanza maisha,namaanisha ipi haitanigharimu gharama za uendeshaji
Natak kutafta gari yeny uwezo wa kutembea vzr ktk rough road amby iko economical ktk mafuta... Nlipendkeza Harrier lkn ktk mafuta co nzur... Wataalam nsaidien
Vp ktk mafuta kaka
Kaka mafuta kwenye foleni za mjini inakunywa nafikili 8~9km/liter hata chini ya hapo :nimesema nafikili kwani ni ngumu kupima kwenye foleni za dar lakini kwenye highway inakunywa 10.8 hadi 11.6 !nilisafili toka dar hadi mwanza 1165km nilitumia lita 102.!sijui experience ya wengine wenye magari hayo ila mimi hiyo ndio observation yangu
haha,kiongozi mbona unasonga mbele kurudi nyuma,mi nadhani hizo ni outdated sana aisee,kelele mingi,sio comfortable,ni shida
Habar wapendwa,Ninahitaji ushauri katika hili,kuna mtu anataka kuniuzia hii gari,engine yake iko sawa lakini je,nataka kujua kama hizi gari aina hii combi huwa zina sumbua nini hasa?
Habar wapendwa,Ninahitaji ushauri katika hili,kuna mtu anataka kuniuzia hii gari,engine yake iko sawa lakini je,nataka kujua kama hizi gari aina hii combi huwa zina sumbua nini hasa?