Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina gari gx 100,tatizo ni fupi sana. Nikipita ktk tuta barabarani au rough roads chesis huwa inagonga sana. Je kuna uwezekano wa kuiongeza na je hukuna side effects yoyote kwa kufanya hivyo.?!
Nimetokea kuzipenda hizi gari. Naomba msaada wenu kwa anaezijua ipi ni bora zaidi kwa nyanja zote.
Unataka tukuambie ubora wake ili uzipende zaidi?
Nina tatizo kidogo,nikiendesha gari mguu mmoja wa nyuma kushoto unapiga kelele sana kwenye rough road then kuna kipind inasikika harufu kama ya tair inaungua,tatizo litakuwa nini?
Kuchoka kwa bushes, springs, shockups pia inawezekana breakpads zimekufa kabisa halafu hilo sio tatizo dogo chilonge ukiendesha 80+ halafu ushike break ndio utaona ukubwa wa tatizo
Mkuu Mshana nina gari honda crv nataka kuiweka spancer ipande juu kidogo je juna tatizo??kwasasa inatumia lita moja km.11 nimetoka juzi moshi to dom,ni RD1 ya 1996, ntashukru kupata ufafanuzi.
Wadau hivi karibuni nimenunua ISUZU BIG HORN SUV ya mwaka 1998 imetembea 280,000 kms daah sasa nimeanza kutembelea inakula mafuta kama JINI MAHABA ya 1 ltr = 3kms yaani pamoja na kufungua vioo na kuweka FREE mara kibao imekuwa hatari. Najutaa kununua huu mgari na hela ya mkopo jamaa wa NMB ndo wameanza kukata mwezi huu
.Usifanye kosa kama langu mdau
Nina gari gx 100,tatizo ni fupi sana. Nikipita ktk tuta barabarani au rough roads chesis huwa inagonga sana. Je kuna uwezekano wa kuiongeza na je hukuna side effects yoyote kwa kufanya hivyo.?!
Mkuu nimetoka tanga to dsm na kirudi na passo ila tairi moja ya nyuma ni kale ka spar je kunamadhara yakukatumia?pia hiki kigari kinakimbia sijawahi kuona japo kana piston 3 yaani sijapitwa na gari yeyote mpaka nafika mpaka watu wanauliza nimefunga engine yanini?na kwenye mafuta nilijua kabovu hakali kabisa from dar to tanga lita 16 na mpaka sasa hivi natembelea bado wese lipo
Next timw nunua gari according to ur routes mkuu, kuinua gari haishauriwi kabisa na usijaribu kwanza inapoteza shoo, pili unaforce G (centre of gravity) kuwa juu.