Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #1,461
Mshana hutu tugari vipi kwenye ubora, naviona old model vingi vya zamani viko njiani tu vikina Samurai, vitara & escudo naona kamekaa vzr
Samurai ndio mwisho wa matatizo pale mjep alipata hasara, vile vigari roho ngumu kuzidi ya paka halafu mafuta yake hata kijiko kimoja kinaenda, Suzuki Escudo na Vitara ndio zinafuatia, kwasasa naona Cami ndio anatamba