Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Nawaombeni samahani sana nyie nyote mlio comment utani ktk huu uzi,,,,someni toka mwanzo mpk hapo mlipo anzia naiman hamtakuta tabia kama zenu..huu uzi mshana jr kauanzisha ili kusaidia wenye kuhitaji msaada seriously..hayo mambo yenu yanapatika kule chitchat...samahan kama nitakua nimewakwaza

Hii thread ni ya watu makini na pia tunatumia busara kwenye kuelimishana na hata kukosoana bila jazba ...nafikiri mzaha, kejeli , matusi na upuuzi puuzi mwingine wa kitoto si mahala pake...kuna thread ambazo zinaweza accommodate those things ni bora kabisa mlio na hizo hobbies mkasogea huko...samahani kama nimewakwaza ila mjaribu kufuatilia thread hii yote watu wako serious kwenye kuelimishana na hata kushaurina.
 
Nawaombeni samahani sana nyie nyote mlio comment utani ktk huu uzi,,,,someni toka mwanzo mpk hapo mlipo anzia naiman hamtakuta tabia kama zenu..huu uzi mshana jr kauanzisha ili kusaidia wenye kuhitaji msaada seriously..hayo mambo yenu yanapatika kule chitchat...samahan kama nitakua nimewakwaza

Kaka hata mie nasikitika kabisa ...dah... hii thread isije punguza trust kwa watu na wengi wamenufaika na kuepuka hasara zinazozuilika kwa kutumia uzi huu
 
HONDA HR-V

Naomba kuulizia uwezo wa hii gari katika kusafiri masafa ya mbali maana nimevutiwa na ulaji wa mafuta(1.6L ingine size) pia bei yake si mbaya (mfano gari ya mwaka 2000 inauzwa kwa FOB -2000 USD.) Zaidi ina umbo/size kubwa ukilinganisha na magari mengine yenye ingine size hiyo(1.6L).

Zaidi naomba nijuzwe upatikanaji wa spare za hii gari na bei ya hizo spare zake.....


Nashukuru na Karibuni.

Gari ni nzuri problem ni spare tuuu, ziko bei Juu kiasi.
 
Nipe muda lubajaro nije na majibu ya uhakika lakini la haraka ni kwakuwa ni NISSAN

Mkuu vipi kuhusu gari za NISSAN body type- sedan ? Mfano primera, skyline etc zina uzuri au ubovu gani? Kwanini hazipendelewi hapa kwetu?
 
Last edited by a moderator:
Ngoja takujulisha inakuwa kila weekend

Hizi gari za mnada bandarini huwa zinatoka wapi na kwa nini zinauzwa hapo bandarini?
Je kuna uafadhali wowote wa bei na ubora wa gari ukilinganisha na kuagiza nje moja kwa moja?
Je hamna ujanja ujanja wa kuingizwa mjini?
 
Nawaombeni samahani sana nyie nyote mlio comment utani ktk huu uzi,,,,someni toka mwanzo mpk hapo mlipo anzia naiman hamtakuta tabia kama zenu..huu uzi mshana jr kauanzisha ili kusaidia wenye kuhitaji msaada seriously..hayo mambo yenu yanapatika kule chitchat...samahan kama nitakua nimewakwaza

Wengi tumeelimika kupitia huu uzi. Nadhani ujumbe umewafikia.
 
Nawaombeni samahani sana nyie nyote mlio comment utani ktk huu uzi,,,,someni toka mwanzo mpk hapo mlipo anzia naiman hamtakuta tabia kama zenu..huu uzi mshana jr kauanzisha ili kusaidia wenye kuhitaji msaada seriously..hayo mambo yenu yanapatika kule chitchat...samahan kama nitakua nimewakwaza



Aisee nitake radhi kwa kudandia treni kwa mbele,tena acha kiherehere, mimi uzi nimechangia jana, ukiwa umeanzishwa na innocen na sio mshana jr, zaidi ni kwamba huu uzi umeunganishwa tu, na hujui kwanini watu walicomment hivyo, acha kiherehere siku nyingine. fuatilia kwanza jambo.

Narudia acha kihehere, no reseach no right to speak
 
Last edited by a moderator:
Aisee nitake radhi kwa kudandia treni kwa mbele,tena acha kiherehere, mimi uzi nimechangia jana, ukiwa umeanzishwa na innocen na sio mshana jr, zaidi ni kwamba huu uzi umeunganishwa tu, na hujui kwanini watu walicomment hivyo, acha kiherehere siku nyingine. fuatilia kwanza jambo.

Narudia acha kihehere, no reseach no right to speak

Duuh kazi kwelikweli, kwani ukitumia lugha ya staha usingeeleweka ndugu!!
 
Last edited by a moderator:
Duuh kazi kwelikweli, kwani ukitumia lugha ya staha usingeeleweka ndugu!!


Niandikie hiyo lugha ya staha nii copy basi.

Kitu ambacho hana uhakika nacho asiquote kwa mbwembwe as if sie tuliomjibu innocen ni wajinga over.
 
Last edited by a moderator:
Mambo vp mkuu, karibu Autocom Japan, office zetu zipo hapa Quality Center (ilipo uchumi supermarket) , Nyerere Road Dar es salaam. Tuko na the best price. Check out our website www.autocj.co.jp. Pia waeza nipigia kwa 0767328063. Nitakusaidia katika Hilo. Karibu sana. Autocom Japan.
Nimecheki website yenu naona mna bei nzuri. Mpiga picha awe makini zaidi picha zingine ni out of focus.
 
Hivi bongo ni barabara gani mtu anaweza kutumia cruise control?

Mkuu hiyo unaitumia tu sehem nyingi mfano ukienda Mwanza - Musoma unatumia Cc tu vizuri.

Afu swali lako limekaa kidharau dharau vile bongo ndo kwetu despite tumepewa wapi makazi
 
Wakuu, is there any link between a car's engine capacity and the distance it can be driven before being rested (switched off)? Kindly advice.
 
Wakuu, is there any link between a car's engine capacity and the distance it can be driven before being rested (switched off)? Kindly advice.

Check kwenye thread za nyuma lilishajadiliwa mkuu.
 
Back
Top Bottom