Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Kaka mshana VP kuhusu injini yake?in aina gani na hasara zake?kuhusu ishu uliyoshaur awali c tatzo maana barabara ya vumbi ni ka mita mia 3 baada ya hapo lami hadi kazn ,nakaa chanika VP kuhusu wese kwa umbali ule ?I hope wadau mnapajua chanika

Engine ni za kawaida tu, unaweza kuchukua yenye 1Zz ambazo pia zipo kwenye spacio na opa pia kuna 1AZ ambazo pia zipo kwenye rav 4, noah au voxy.

Hizo engine zinataka uweke oil yake ya kwenye kitabu cha gari wanazijua mafundi wengi ma bei zimesimama kwa lita na sio pungufu ya elfu 20 kwa lita, so service ya gari Uwe na Kama 150,000 ndo utazipenda hizo noah voxy au hiyo wish, ila ukiweka oil zetu za elfu 30 engine itakufa mapema sana coz hizo engine katika vvti ni sensitive sana katika lubricant. Thats y wengi voxy zimewashinda.

Pili chukua ushauri wa mshana katika ubora wa miguu. Hizo Link nk zinakera zinapoisha na gari inapiga sana kelele ukiingia rough road.
 
Wakuu kuna jamaa yangu ana Toyota Cami model J100E matumizi ya mafuta ni lita 1 kwa kilometa 6, Je hii ni sawa kwa aina hii ya gari?kama sio nini tatizo kitaam na utatuzi wake?
 
Wakuu kuna jamaa yangu ana Toyota Cami model J100E matumizi ya mafuta ni lita 1 kwa kilometa 6, Je hii ni sawa kwa aina hii ya gari?kama sio nini tatizo kitaam na utatuzi wake?

Hilo ni tatizo
 
wakuu me natamani saana biashara ya usafirishaji abiria (daladala) .,natamani niagize basi jamii ya coaster au ya chini yake (hiace) kutoka nje, ila sijui hua zauzwaje huko nje na kuna usumbufu wowote bandalini, je nitaagizaje! namanisha haya makampuni kama yatakua na mawakala tz au naagiza online.......natanguliza shukrani...
 
wakuu me natamani saana biashara ya usafirishaji abiria (daladala) .,natamani niagize basi jamii ya coaster au ya chini yake (hiace) kutoka nje, ila sijui hua zauzwaje huko nje na kuna usumbufu wowote bandalini, je nitaagizaje! namanisha haya makampuni kama yatakua na mawakala tz au naagiza online.......natanguliza shukrani...

Wapo wadau watakuja kukupa mwongozo
Langu ninalotaka kukwambia ni hili kama huna rohombaya na kama huna muda wa kutosha kufuatilia achana na hiyo biashara
 
Wakuu vipi kuhusu volkswagen golf, kuna moja nimeipenda jamaa yangu anaiuza ya mwaka 2010
 
Back
Top Bottom