Matty96
JF-Expert Member
- Jul 1, 2013
- 215
- 194
Mkuu naomba unishauri kati ya BMW 3 series 318 au 320 zote za 2011 bora ipi? Na zote kwa pamoja ukilinganisha na AUDI A4 ya 2010? Kwa mazingira yetu ntaishi nayo na service zake vipi?
Pia vipi kuhusu gari kutoka Singapore unaweza kushauri mtu kununua kutokea huko?
Naomba uzoefu wako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia vipi kuhusu gari kutoka Singapore unaweza kushauri mtu kununua kutokea huko?
Naomba uzoefu wako.
Mpwa chukua Subaru
Jr[emoji769]
Sent using Jamii Forums mobile app