Abdalah Lyimo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 269
- 153
Hii Gari nzuri Sana iko poa kuanzia ndani ina seat 7 hvyo Kwa nafasi ya ndani ni nzuri na kubwa inatulia barabarani Kwa sababu ni nzito na ni Pana kwenye swala la ajali labda mechanical failure na uzembe tu Ila iko poa Sana Kwa ubaya mi nazani labda ni kwasababu wameinyima spare tyre tu japo wameiwekea kit ambayo ni full ikisumbua wameiwekea compressor ya kujazia tyre upepo ambayo utachomeka ndani ya Gari na tyre itajaa wameweka na dawa ya kuziba sehem iliyo pasuka au kutoboka kwenye hyo tyre Mimi ni mwaka wa pili na nusu sasa sijawahi ipeleka Kwa fundi labda kubadilisha oil ni Gari ngumu kama unataka kununua nunua chap maana zinapanda Sana bei Kwa sasa na zimeingia Kwa wingi sasa hivi
Mzee sorry naomba unijuze uzuri naubaya wa hii gari maana nahitaji kuichukua